miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji28][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]nimeamini panatisha Kidimbwi na Wanachuo upo sahihi
View attachment 1661923
Umeshatuma ctedit mkuu?nimeamini panatisha Kidimbwi na Wanachuo upo sahihi
View attachment 1661923
Nami nipajueNdo wapi huko mbona sipafahamu mie.
Solution for what????...leave them,we can't loose money and time upon the non senseDuuhhh!! Aisee, basi inaonekana mabinti wa chuo kikuu wanatumia mbinu sana kujiuza na sio direct kama ulivyosema (kulinda reputation zao).
Nadhani hii kitu ndo mkuu The Boss alinishtua kule kwenye ule uzi wangu.
Hapa inahitajika kuumiza kichwa zaidi katika kutafuta njia za kufanya tafiti ili kuibua masuala ya aina hii na kutafuta solutions.
Mama.e..hapa vilamba mwiko hatu/hawa sogeiAcha kabisa , kuna club inaitwa Maison iko Seacliff ... angalia bei zao ..na watu wanakula maji kama kawaidaa ! Bongo hii usiseme "vyuma vimekaza" sema MIMI sina hela!!
View attachment 1661589
Lazima nifike this new year
25,000/=
Kuna niliyonunua last year duka la vinywaji elf 22. Maybe bei zinatofautiana na sehemu uliko
liko bunju sehemu gani mkuu na panaitwaje hilo chimbo
Usiniambie mzee baba, mbona nikutiana dhambi [emoji85]
Ndo nn iyo mkuu VSOP
Itakuwa visabuni vidogo vidogo kama vile vya gestNdo nn iyo mkuu VSOP
Thank you in advance mkuu, kuna mpumbavu anajiita chizi maarifa mimi nipo serious kupata elimu nisioifahamu yeye analeta utani usio na maana.Very Superior Old Pale
Hongera sana kwa kunijibu vema.Itakuwa visabuni vidogo vidogo kama vile vya gest
Acha wivu shekhee[emoji23][emoji23][emoji23] wewe anasa yako ni nini yakhe
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] dhekana na kiasaka cho.Anasa yake ni kufanya utafiti kwa wachaga juu ya krismasi eti kama kweli wnakula bata au wanatania