Nimepata accident mapema asubuhi ya leo

Nimepata accident mapema asubuhi ya leo

Kusema ukweli boada boda ninawachukia....hala akishagonga mtu kwenye zebra, anakimbia anajichanganya kwenye kijiwe cha wenzake...anasikilizia kama kuna noma...

Kama kuna mazingira yasiyo na ushahidi, boda boda ni wakusukumia tu mtaroni
Kama uko karibu na kituo cha polisi vinginevyo ni wajinga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimegundua huna gari ama unaleta mapenzi ya gari unazosimuliwa au kuziona barabarani, unachopenda ww si kila mtu anakipenda, kwamba kluger ndio unarecomend iongelewe humu[emoji3][emoji2][emoji2]
Anyway msipokuwepo watu kama nyie jukwaa halichangamki
Kwani kupenda gari mpaka niwe nayo. Kweli sina gari lakini naifagilia Kluger.
 
Nnayo mkuu nimewapigia simu na kuwatumia picha ila walichonieleza itanipasa nisubiri kwa mwezi mmoja mimi mipango yangu mingi inategemea niwe na gari nasafiri mara kwa mara.
Mwezi m'moja ili iwaje?!

Halafu kuwa makini na hawa mawakala ukiona anakuzingua zingua mwite pembeni muulize bro, premium yangu ulipeleka au ulikula?!

Kama amekula mwambie haya janga ndio limeshatokea niambie tunajiongeza vipi!
 
Hawa wapuuzi nimewahama. Walichukua almost a year kunilipa kitu ambacho kiko straightforward.
Kampuni ya bima wakikuzingua kulipia claim yako, waambie wakuandikie kwa maandishi barua ya kushindwa kulipa claim yako.

Baada ya hapo tumia pesa yako binafsi kutengeza gari. Baadae tafuta kampuni ya mikopo au mtu binafsi. Muandikishiane mkataba kuwa alikukopa pesa za hayo matengenezo kwa riba. Kisha kaa kimya wacha muda uende hata miezi sita endelea kutumia gari.

Baada ya miezi kadhaa mfano miezi sita nenda kwa wakili akusindikize mahakamani mtengeneze kesi ya kuishitaki kampuni ya bima kushindwa kusettle claim yako na kukutia hasara ya kuingia madeni ya mkopo wa riba kinyume na mkataba.

Supportive documents ni hizo nyaraka nilizokutajia hapo juu. Wapelekee barua ya Summon ya mahakama.

Kaa nyumbani ukila popcorn [emoji897] ukitazama namna huu mtanange utakavyowafanya waje kukupigia magoti mana hela watayokulipa ni zaidi ya bei ya gari yako.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kampuni ya bima wakikuzingua kulipia claim yako, waambie wakuandikie kwa maandishi barua ya kushindwa kulipa claim yako.

Baada ya hapo tumia pesa yako binafsi kutengeza gari. Baadae tafuta kampuni ya mikopo au mtu binafsi. Muandikishiane mkataba kuwa alikukopa pesa za hayo matengenezo kwa riba. Kisha kaa kimya wacha muda uende hata miezi sita endelea kutumia gari.

Baada ya miezi kadhaa mfano miezi sita nenda kwa wakili akusindikize mahakamani mtengeneze kesi ya kuishitaki kampuni ya bima kushindwa kusettle claim yako na kukutia hasara ya kuingia madeni ya mkopo wa riba kinyume na mkataba.

Supportive documents ni hizo nyaraka nilizokutajia hapo juu. Wapelekee barua ya Summon ya mahakama.

Kaa nyumbani ukila popcorn [emoji897] ukitazama namna huu mtanange utakavyowafanya waje kukupigia magoti mana hela watayokulipa ni zaidi ya bei ya gari yako.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitachukua huu ushauri kwa matumizi ya baadae.
 
Hakuna longolongo, lazima wahakikishe namna ajali ilivyotokea. Sio unalipwa hovyohovyo tu. Labda mtoto wako amebonda gari lako alafu unataka malipo. Achana na habari za waduanzi wapenda sifa.
Wewe lazima utakuwa mchawi au unaukaribia uchawi sheitwan kabisa wewe. Shida zako zinakufanya unachukia mafanikio ya wengine. Pambana kutafuta pesa nyumbu wewe
 
Back
Top Bottom