Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
123
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningefanya tatizo hela niliyoitumia jaman nitalala na njaafanya kama umenunua kwa ajili ya matumizi yako.
litumie mwenyewe na familia yako
Arusha & Babati tuna Migorori yetuTafuta mteja wa arusha babat na nyanda za juu kusin
AhsantePole sana.
SawaArusha & Babati tuna Migorori yetu
Upo serious?fanya kama umenunua kwa ajili ya matumizi yako.
litumie mwenyewe na familia yako
mmmm ngumu kumesa, nisawa na kununua mswaki used ama chupi iliyotumikaMteja ALINIGIZA hii blanket alitaka nimfanyie delivery,nikaenda kariakoo kununua nikaanza safari kumpelekea,nafika nichukue cm nimpgie nimwambie nimefika ananiambia basi mume wangu atanunua mliman city,na KANIBLOCK juu
Sasa jamani nauza naomba kuludsha hela niliyonunulia tu,nauza 40,000
Hili ni blanket soft/laini kwaajili ya kujifunika.
Namba zangu hizi nipo dar mbezi ya kimara
0754088347View attachment 2983192
huwezi kufa njaa, ina maana umetumia akiba yote?Ningefanya tatizo hela niliyoitumia jaman nitalala na njaa
changamoto imetokea, kwa kuwa ni mzazi, hilo blanket funikia mtoto wako.Upo serious?
Daahhuwezi kufa njaa, ina maana umetumia akiba yote?
Sawa"Nobody comes for bussiness in jamii forum " naomba huu usemi uendelezwe.
Kalipost Facebook muda huu. Utapata mteja. Huku labda kama unataka tu post engagement ujibu comment za watu basi
Sawammmm ngumu kumesa, nisawa na kununua mswaki used ama chupi iliyotumika