Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
SisYaani bado sijakupata .
Oky ni mjasilia mali katika kundi lipi ...
Aunt
Sis
Au wa makamo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SisYaani bado sijakupata .
Oky ni mjasilia mali katika kundi lipi ...
Aunt
Sis
Au wa makamo
Sawa mkuuuuweka namba za huyo mteja aliekublock hapa nikurudishie nusu hasara ....... alafu unaposema utalala njaa kwani unategemea hela ya blanketi faida ndio ule au????
kama ni hivyo tafuta kitu kingine ufanye unakoelekea utajiuza
Ile ya mwezi wa sita saba ni moto wa kuotea mbali Kuna siku nlikuwa na jamaangu alikunywa chai ya moto kinoma bila kujua ni ya motoHaitoshi mkuu kuna barid inachanganya mwez wa sita na saba
Nimejifunza sitoludia tena,Bora nimwambie atoe advance kama hataki basiKamwe usiwaamini wateja wa online narudia , usiwaamini wateja wa online hasa ambaye humjui na haujawahi kufanya NAE biashara. Usinipe uhakika kuwa umepata mteja
Aaaah oky anaweza akawa ni msaada kwangu kwani connection huanzia huku....
Nunua blanket kwanzaAaaah oky anaweza akawa ni msaada kwangu kwani connection huanzia huku....
Dar pia Kuna maeneo huwa Kuna baridi mfano kibambadar blanket mnatumia wakati gani? miaka yangu yote 30 plus sijawahi tumia blanket dar na sidhani kama itatokea. nyie mnatumia wapi?
AhsantePole sana mpambanaji. Wanakera sana.
Ndiyo ndiyo 😄😄Mkuu hii jamii forum kuna watu hovyo sana..
Unalosema wala sio uwongo mkuu
Hata mtu akija na shida ukajaribu kumfata umsaidie bado atakua muhuni muhuni tu.
Me siyo mshangazi 😁😁😂😂0754088347
Hatimaye ndoto zangu zinaweza kutimia 😋😋😋😋😋😋😋
Nimeelewa sis an mi sina baya na wewe...Me siyo mshangazi 😁😁😂😂
Typing errorALINIGIZA!?
Daaah aiseeee 🙏🙏🙏🙏Nunua blanket kwanza
kibamba ipi ina baridi ?????????????? jamani acheni masikhara nyie Dar kuna baridi?????????????? Urusi, Uk, Mbeya, Rukwa, Iringa wasemeje??????????????????????? Mimi nimezaliwa na kukulia Dar hakuna baridi hata siku moja. hapa nina miaka zaidi ya 5 sijawahi oga maji ya moto nikiwa DarDar pia Kuna maeneo huwa Kuna baridi mfano kibamba
Kwanza umenicheka nguvu ya kukutafutia natoa wapi 😔😔😂😂Nimeelewa sis an mi sina baya na wewe...
Nasapot sana hatakati zako..
Nipo nakutafutia hapa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ila na mimi nizingatie sasa mana huwenda ukawa una wajua aiseee 😂😂😂😂😂😂😂😂
Huenda tumetofautiana Hadi ASUBUH ya Leo nimeoga maji ya motokibamba ipi ina baridi ?????????????? jamani acheni masikhara nyie Dar kuna baridi?????????????? Urusi, Uk, Mbeya, Rukwa, Iringa wasemeje??????????????????????? Mimi nimezaliwa na kukulia Dar hakuna baridi hata siku moja. hapa nina miaka zaidi ya 5 sijawahi oga maji ya moto nikiwa Dar
Nop hiyo ni smile tuu sijacheka sis....Kwanza umenicheka nguvu ya kukutafutia natoa wapi 😔😔😂😂
Huenda tumetofautiana Hadi ASUBUH ya Leo nimeoga maji ya moto
Pole sana mkuu kwa kadhia hiyo.Typing error