Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Appartments ndogo tu.
Yani inakuwa na vyumba vi4 vyote self na jiko la wote na fensi kwa nje.
Yani isizidi 20M. Halafu
Kila chumba napangisha laki na nusu.
Itawezekana?
Maana 20M ×4 ni 80M
Ambayo naipata kwa 9 months
Haiwezekani.. milioni 20 haijengi appartment ya vyumba vi4 self.. hapo huna kiwanja.. na hata ukiwa na kiwanja bado jiyo haijengi na kumaliza.
 
Haiwezekani.. milioni 20 haijengi appartment ya vyumba vi4 self.. hapo huna kiwanja.. na hata ukiwa na kiwanja bado jiyo haijengi na kumaliza.
So kwa nyumba ya design hiyo, haina sebule wala mbwembwe zingine.
Inaweza kucost shingapi kujenga?
 
Naombeni ushauri jamani,

Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.

Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.

Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Tuunganishe mkuu,me utakuwa unakula 2m kutoka kwangu
 
IMG_3172.png

Dogo kamaliza shule mwaka jana kumbe… anaota ndoto tu hizo 10m.
 
View attachment 2656513
Dogo kamaliza shule mwaka jana kumbe… anaota ndoto tu hizo 10m.
Correction: mwaka juzi,huo uzi ni wa mwaka jana.

Uzuri kwenye talent scouts ya hii organization hakukuwa na wabongo ambao wamekariri kuangalia vyeti. Hawa wameangalia talent.

By the way jf isingekuwa na maswala privacy ningeeleza mbinu nilizotumia kujisell kuipata hiyo kazi.
Nimekutana interview na wababa wenye experience za miaka 100 ila nimewazidi kwasababu nimedemonstrate skills zangu.
Nakupa hii.
Efficiency,consistency,simplicity.
That's the key.

NB: hongera tumejua una iphone
 
Correction: mwaka juzi,huo uzi ni wa mwaka jana.

Uzuri kwenye talent scouts ya hii organization hakukuwa na wabongo ambao wamekariri kuangalia vyeti. Hawa wameangalia talent.

By the way jf isingekuwa na maswala privacy ningeeleza mbinu nilizotumia kujisell kuipata hiyo kazi.
Nimekutana interview na wababa wenye experience za miaka 100 ila nimewazidi kwasababu nimedemonstrate skills zangu.
Nakupa hii.
Efficiency,consistency,simplicity.
That's the key.

NB: hongera tumejua una iphone

Ohoo sawasawa ila experience za miaka 100 is it possible?

Pia ni vema ukawapa mbinu wengine wanaotafuta na wenye ndoto kama zako waoneshe ABC umefikaje

Utakua umewasaidia san
 
Acha zako wewe ,,Huwa mnaipamba sana UTT ,Maskini kuweka pesa UTT ni ulofa. Nichukue 10m halafu niweke huko halafu mwisho wa mwaka nipatie faida 2m ni utoto ...
Wekeza kwenye biashara ya mzunguko ,wekeza wenye long-term projects ie kilimo ukishindwa Jenga ...
Mkuu hiv unaweza pata 2M kwa 10M per year kupitia UTT?
 
Yes hapa ndipo nataka hoja. Namsubiri aje kujibu.
ila nachojua kifupi hiyo 2m ni uhakikaz huku kwingine 'kwenye mzunguko' kuna risks nyingi kuasi kwamba unaweza kuipoteza hata hiyo million 10
Amekadiria tu au ndo kwa usahihi kwamba unaweza pata 2M kwa 10M kupitia UTT?
 
Ohoo sawasawa ila experience za miaka 100 is it possible?

Pia ni vema ukawapa mbinu wengine wanaotafuta na wenye ndoto kama zako waoneshe ABC umefikaje

Utakua umewasaidia san
Huwa sina muda wa kuandika mengi, lakini kwaufupi ushauri kwa vijana.
Iwe kwenye biashara au kazi.

Cha kwanza Tambua tatizo la hiyo sehemu (,problem identification), kuna sehemu wana tatizo ila hawajijui kama wanalo..hivyo problem identification ni skill mojawapo kubwa.

Mfano kabla ya Jeff bezos kuleta Amazon online shopping watu hatukuona tatizo kwenda supermarket na kupanga foleni ili upate bidhaa, utembee nusu siku duka hadi duka kutafuta bidhaa tofauti, tuliona sio tatizo bali ndivyo maisha yalivyo.
Kabla ya Uber kujabwatu hatukuaoana tatizo kwenda kituon kusubiri daladala au kusubiria taxi..infact tuliona ni luxury kufanya hivyo ila uber akatuonesha kuwa hilo ni tatizo na akaoffer solution.

Cha pili tengeneza viable,efficient and convenient solution.
The bigger the problem the better the solution the more money utakuwa offered au utamake kama ni busines.
Yangu kwa leo ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom