Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Mbona hapo tu ushauaga umasikini.. jitulize, usibadili maisha yako, kuwa na nidhmu ya fedha.. wekeza pesa yako. Kama ni mijengo ya kupangisha ganya hivyo, nunua sehemu ambazo nyumba/vyumba kupangisha bei yake nzuri, jenga, atlest kila miezi 10 unatoa mjengo mmoja mkali...
 
Naombeni ushauri jamani,

Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.

Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.

Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Sasa unawaza ukoo
Wakati haujatoka
 
Hao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
Kiongozi,

Dollar 4500 si ni kama madafu 10M ?

Kama huyu jamaa ni Expert haswa kwenye masuala ya afya huenda ikawa kweli analipwa hicho kiasi.
 
Mbona hapo tu ushauaga umasikini.. jitulize, usibadili maisha yako, kuwa na nidhmu ya fedha.. wekeza pesa yako. Kama ni mijengo ya kupangisha ganya hivyo, nunua sehemu ambazo nyumba/vyumba kupangisha bei yake nzuri, jenga, atlest kila miezi 10 unatoa mjengo mmoja mkali...
Nimewaza na naona itakuwa ngumu sana kutobadilisha lifestyle....maana ntajikuta watu wote wa karibu kuanzia wafanyakazi wenzangu ba wengine wa chini yangu wanamiliki magari makali halafu mimi ndo niwe naenda kazini na baiskeli?
Sema ntajitahidi sana kutumia only 1M kwa mwezi na nyingine kuinvest.
Kwa mwaka siwezi kutoa nyumba kali 4?
 
Nimewaza na naona itakuwa ngumu sana kutobadilisha lifestyle....maana ntajikuta watu wote wa karibu kuanzia wafanyakazi wenzangu ba wengine wa chini yangu wanamiliki magari makali halafu mimi ndo niwe naenda kazini na baiskeli?
Sema ntajitahidi sana kutumia only 1M kwa mwezi na nyingine kuinvest.
Kwa mwaka siwezi kutoa nyumba kali 4?
Nyumba kali 4!!? ya vyumba vingapi ni appartments?? Huwezi.. Ukitoa moja kila mwezi unabaki na 9.
Na sijasema ujinyime saana, hapana, Pata mahitaji ya msingi tu, mengine vumilia kukamilisha ndoto. Sasa wenzako kazini kitambo, kwakuwa ana range ya 2020 nawe unataka kuvuta hiyo? Ishi vizuri, lala pazuri, kula vizuri, vaa vizuri inatosha.
 
Nyumba kali 4!!? ya vyumba vingapi ni appartments?? Huwezi.. Ukitoa moja kila mwezi unabaki na 9.
Na sijasema ujinyime saana, hapana, Pata mahitaji ya msingi tu, mengine vumilia kukamilisha ndoto. Sasa wenzako kazini kitambo, kwakuwa ana range ya 2020 nawe unataka kuvuta hiyo? Ishi vizuri, lala pazuri, kula vizuri, vaa vizuri inatosha.
Appartments ndogo tu.
Yani inakuwa na vyumba vi4 vyote self na jiko la wote na fensi kwa nje.
Yani isizidi 20M. Halafu
Kila chumba napangisha laki na nusu.
Itawezekana?
Maana 20M ×4 ni 80M
Ambayo naipata kwa 9 months
 
Naombeni ushauri jamani,

Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.

Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.

Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Million 10?
NGO'S?
KIGOMA?

#MyCountryPeople[emoji1241].
 
Back
Top Bottom