Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
[emoji3][emoji3]Kazi ushapata Bado kufukuzwa tu Kwa ujinga wako mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Kazi ushapata Bado kufukuzwa tu Kwa ujinga wako mwenyewe
Yesu kafa hajamiliki hata punda...wale punda aliotumia kwenda jerusalemu aliwaiba. (Alituma wanafunzi wake wakamwibie)nahisi ukiwa na wa imani utapata wa fedha.. so aanze na wa imani
You got something in mind boy! 👏👏Huwa sina muda wa kuandika mengi, lakini kwaufupi ushauri kwa vijana.
Iwe kwenye biashara au kazi.
Cha kwanza Tambua tatizo la hiyo sehemu (,problem identification), kuna sehemu wana tatizo ila hawajijui kama wanalo..hivyo problem identification ni skill mojawapo kubwa.
Mfano kabla ya Jeff bezos kuleta Amazon online shopping watu hatukuona tatizo kwenda supermarket na kupanga foleni ili upate bidhaa, utembee nusu siku duka hadi duka kutafuta bidhaa tofauti, tuliona sio tatizo bali ndivyo maisha yalivyo.
Kabla ya Uber kujabwatu hatukuaoana tatizo kwenda kituon kusubiri daladala au kusubiria taxi..infact tuliona ni luxury kufanya hivyo ila uber akatuonesha kuwa hilo ni tatizo na akaoffer solution.
Cha pili tengeneza viable,efficient and convenient solution.
The bigger the problem the better the solution the more money utakuwa offered au utamake kama ni busines.
Yangu kwa leo ni hayo tu.
God forbidAnza kula pombe, utakuja kunishkuru...😉
Njoo nikutengenezee website na mobile application upate pesa ukiwa umelalaNaombeni ushauri jamani,
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Mwenyewe aisee...😕God forbid
Kwahyo jf hakuna ushauri au?uwe na hio hela uje kuomba ushauri jf? haha vituko haviishi
Ushauri wangu kwa kuwa utakuwa Kigoma ukifika huko tafuta mganga mzuri utanishukuru badaeNaombeni ushauri jamani,
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Wenye walisema hatufiki mbali hapa ni wapi?Kwanin unafikiri hivi? Kwakuwa nimepost huku?
Nimepost huku kwakuwa hamna mtu anayenijua.
Watu wanaonijua wengi nimewaambia nimepata kazi ya laki4 kule kigoma
🤣🤣Ulishawahi kuona wapi mtu mwenye busala anataka ushauri kwenye mitandao?
KibokoHao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
FaizaFoxy njoomaisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdul
Kasulu UNHCR nimenunua Landcruiser Hardtop DFmacho ya Panzi kwa 20M kabla ya kodiHao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
Makere kuna nyama choma tamu sana pale kwenye ile centre.Na wewe ni MUONGO,Mashirika yanayolipa vizuri Kigoma ni CWS(Church World Service,IOM na WFP kisha UNHCR,naongea kutokana na uzoefu nilionao maana Wafanyakazi wote wa Mashirika tunajuana,tunakula na kunywa pamoja hapa MAKERE karibu na Kambi ya Wakimbizi Nyarugusu
Na wewe muanzisha UZI kama ni kweli karibu MAKERE,nitakuwa mwenyeji wako,njoo PM
Ni probability tu maana Kuna muda dollar ikishuka hamna kitu kabisaMkuu hiv unaweza pata 2M kwa 10M per year kupitia UTT?
Why? Kwanini?Ushauri wangu kwa kuwa utakuwa Kigoma ukifika huko tafuta mganga mzuri utanishukuru badae
Basi acha kuaminiHii ni uongooo