Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Kuwa makini hao Wachina na Waarabu ni dugu moja.No,kuna wachina wanavuna californium huku kigoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa makini hao Wachina na Waarabu ni dugu moja.No,kuna wachina wanavuna californium huku kigoma
Lazima akasirike, mwalimu mafao yake ni million 10 wakati watu wanalipwa kwa mwezi.Mbona una hasira sana mwalimu Mpwayungu?
Kama nakuona vile mkurugwa rara ree🤣🤣🤣Allah mungu wa kiarabu atampa utajiri wa mafuta mkuu🤣🤣🤣🤣
Machoni kwa wengine siyo ndani ya moyo wake. Superficial not felicity.Kwahiyo mondi hana raha???
Hapana, jina siyo lazima kama alilonalo siyo kero kwa binaadam wengine.Bibi kwahiyo aanze kusali kiarabu na jina achukue la kiarabu....Uafrika aukane????
Hivi vitanisaidiaje kwenye mbio za kuutoroka umasikini?Kwanza akiri kwa kushahadia m, Kusali mwanzoni wakati anajifunza atakuwa anasali nyuma ya imamu. Simpo.
Weka uthibitisho wa kipande cha mkataba sehemu ya mshahara jike stupa weweNaombeni ushauri jaman.
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kansan.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini, Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Mental illness is realMbona wewe muasherati, hukumbuki juzi ulinipa 0713
Utajiri wa kwanza ni juwa na thamani za utu (human values).Hivi vitanisaidiaje kwenye mbio za kuutoroka umasikini?
Hiyo ni gross kabla ya Makati hivyo ni sawa.wfp take home hasa wale WA Dodoma ni 9 millionKigoma hakuna NGO ya kukulipa Mshahara wa Milioni Kumi acha UONGO,hata kama ni Mashirika kama WFP,UNHCR,DRC,CWS,IOM,Good Neighbors lakini bado Milioni Kumi UNADANGANYA
[emoji15]loh!wewe ni mkorofi, kakukosea Nini mpaka umjibu hvyo ?Mbona wewe muasherati, hukumbuki juzi ulinipa 0713
Got you...ndiomaana nimejikita zaidi kuomba msaada wa process zipi nizifanye au kuwekeza kwazo ili niwe kwenye njia nzuri ya kuutoroka umasikinMkuu kuna muda ukifikiria sana utajiri ndio njia nyepesi zaidi ya kuingia kwenye umasikini. We waza kufanya vitu in a right way. Utajiri just utakuja wenyewe tu coz Utajiri ni result so deal na process iliyo bora.
Kosa unalolifanya ni kuelekeza sana akili yako kwenye result badala ya how the process should be well executed. I hope umenielewa
Ni TATEPA product hiyo mkuuUlishawahi kuona wapi mtu mwenye busala anataka ushauri kwenye mitandao?
Sasa madam mimi sijaja kuomba ushauri wa kuwa bora. Mimi naomba ushauri wa kuwa tajiri.Utahuri wa kwanza ni juwa na thamani utu.
Waislam unatufundisha, mbora kati yetu ni yule. Mwenye kumcha Mwenyezi Mungu. Siyo mali au utajiri wetu.
Let's fantasize togetherFantasy