Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Allah mungu wa kiarabu atampa utajiri wa mafuta mkuu🤣🤣🤣🤣Mufti Menki aliwasema ukitaka kuishi kitajiri mtumikie allah kwa uamninifu. Naungana na wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allah mungu wa kiarabu atampa utajiri wa mafuta mkuu🤣🤣🤣🤣Mufti Menki aliwasema ukitaka kuishi kitajiri mtumikie allah kwa uamninifu. Naungana na wewe.
Wewe ulisema unashinda kanisani kwa waumini wa mungu wa kiyahudi aitwae yesu...Mara hii unapia kwa allah mungu wa kiarabu 🤣🤣🤣🤣 ?????Hii naapa kwa Allah lazima ntafanya
Mbuzi uwe bilioneaNdio na inawezekana
Mimi naapia kwa mungu yeyote yule. Hiwa Nafanya kubahatisha labda ipo siku karata yangu itamuangukia mungu wa kweli.Wewe ulisema unashinda kanisani kwa waumini wa mungu wa kiyahudi aitwae yesu...Mara hii unapia kwa allah mungu wa kiarabu 🤣🤣🤣🤣 ?????
Mtu anayeanza maisha hawezi kwenda kuweka Hela UTT ,Yaani hujaonja hata hustle Moja unaenda kuweka pesa bank labda km umezaliwa familia za mboga nne.Yes hapa ndipo nataka hoja. Namsubiri aje kujibu.
ila nachojua kifupi hiyo 2m ni uhakikaz huku kwingine 'kwenye mzunguko' kuna risks nyingi kuasi kwamba unaweza kuipoteza hata hiyo million 10
Ya nyoko [emoji28][emoji28][emoji28]Hasbunallahu wa ni’mal-Wakil.
Kwahiyo mondi hana raha???Kuna kutajirika kwa kuuza utu wako kwa Shetani na kuna kutajirika kwa kuwa na furaha ya moyoni, amani na utulivu wa roho yako (felicity).
. Usione mapicha picha tu ukafikiri kina Diamond wana raha moyoni.
Naona una I'd mbili, hongeraNa wewe ni MUONGO,Mashirika yanayolipa vizuri Kigoma ni CWS(Church World Service,IOM na WFP kisha UNHCR,naongea kutokana na uzoefu nilionao maana Wafanyakazi wote wa Mashirika tunajuana,tunakula na kunywa pamoja hapa MAKERE karibu na Kambi ya Wakimbizi Nyarugusu
Na wewe muanzisha UZI kama ni kweli karibu MAKERE,nitakuwa mwenyeji wako,njoo PM
Ninachukua hii ya alizeti singida..hii ya bajaji naachana nayo .Ongeza idadi ya boda boda na Bajaj barabarani, nyingine nenda singida nunua hekari za kutosha lima alzet utanishuru kingine kamwe usiende kulima vanila utalia ukiwa kwenye kalo la Choo
Kwanza hiyo ni ID yako mwenyewe....usituletee maigizo hapaNaona una I'd mbili, hongera
Apia kwa mungu wa kiarabu allah atakupa utajiri na mabikira sabini mkuuMimi naapia kwa mungu yeyote yule. Hiwa Nafanya kubahatisha labda ipo siku karata yangu itamuangukia mungu wa kweli.
Utajiri atanipaje kwa hapa duniani?Apia kwa mungu wa kiarabu allah atakupa utajiri na mabikira sabini mkuu
Mbona una hasira sana mwalimu Mpwayungu?Hao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
Koma!Mbona una hasira sana mwalimu Mpwayungu?
No,kuna wachina wanavuna californium huku kigomaUmepata "mwarabu" huko Kigoma?
Haya wahi haraka sana ni big business nyingine ni karanga SumbawangaNinachukua hii ya alizeti singida..hii ya bajaji naachana nayo .
Muulize bibi FaizaUtajiri atanipaje kwa hapa duniani?
Maana mimi interest yangu kubwa ni utajiri wa hapa duniani.
Hivyo vya mbinguni nikishakufa sijali sana.