Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Kafanye kazi MkuuNdiyo maana ninapanga niwekeze kwa nguvu hata nikifukuzwa niwe tayari nimeshakimbia umasikini milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanye kazi MkuuNdiyo maana ninapanga niwekeze kwa nguvu hata nikifukuzwa niwe tayari nimeshakimbia umasikini milele
Safi dada. Umelizidi akili hilo dume jinga.Mimi sina busala ila Busara ninazo tele
HongeraSina hela hiyo
SitakuangushaKafanye kazi Mkuu
Kuna kutajirika kwa kuuza utu wako kwa Shetani na kuna kutajirika kwa kuwa na furaha ya moyoni, amani na utulivu wa roho yako (felicity).Asante, lakini madam kuna watu hawafanyi vyote hivyo lakini bado ni masikini.
Na kuna watu wanafanya vyote hivyo na bado wanazidi kutajirika mfano Diamond.
Unaweza kunisaidia labda mbinu gani uislam unafundisha katika uwekezaji au biashara ili kumfanya mtu kuwa tajiri?
Maana naona ni kweli waarabu wako vizuri kwenye biashara
Acha njaa[emoji38]Njoo pm nikwambie kitu
Hiyo pesa uliyoandika hapo $4500 ukibadilisha kuwa Tsh ni zaidi ya 10million. Sasa sijajua unapinga niniHao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
Acha njaa!Hapa sina bundle
Njoo pm
Mimi madam kwa jinsi ninavyouchukia umasikini ninachotaka ni kutajirika tu.Kuna kutajirika kwa kuuza utu wako kwa Shetani na kuna kutajirika kwa kuwa na furaha ya moyoni, amani na utulivu wa roho yako (felicity).
. Usione mapicha picha tu ukafikiri kina Diamond wana raha moyoni.
Safi. Umeliweza hilo taahira.Pm sina bundle
Kazi kwako.Mimi madam kwa jinsi ninavyouchukia umasikini ninachotaka ni kutajirika tu.
Hayo mengine sijali
Acha zako wewe ,,Huwa mnaipamba sana UTT ,Maskini kuweka pesa UTT ni ulofa. Nichukue 10m halafu niweke huko halafu mwisho wa mwaka nipatie faida 2m ni utoto ...Wekeza UTT Amis, nunua Bonds kwenye banks nk
Sawa. Je kuna njia yoyte unayoijua itakayonisaidia kuhakikisha natokomeza umasikini kwa mshahara wa millioni 10?Kazi kwako.
Yes hapa ndipo nataka hoja. Namsubiri aje kujibu.Acha zako wewe ,,Huwa mnaipamba sana UTT ,Maskini kuweka pesa UTT ni ulofa. Nichukue 10m halafu niweke huko halafu mwisho wa mwaka nipatie faida 2m ni utoto ...
Wekeza kwenye biashara ya mzunguko ,wekeza wenye long-term projects ie kilimo ukishindwa Jenga ...
Jamiiforum imevamiwa na wahuniNimeshtuka kidogo hata mimi. Yaani anafanya kazi gani hadi apewe huo mzigo
Hao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
Wala usijali 😊Asante,niandalie migebuka tu.
Mbona wewe muasherati, hukumbuki juzi ulinipa 0713Kwanza kabisa katika Uislam utatakiwa kuwachana na pombe, kamari, uasherati na uzinzi. Vyote hivyo ni haramu.
Hivyo ndivyo vichocheo vikubwa vya umasikini.
Ninachopinga ni hiki : Kwa mkoa WA kigoma watu pekee wanaolipwa pesa kubwa kama ya mtoa uzi ni wazungu kutoka UN waliopo kambi ya wakimbizi nje ya hapo hakuna NGO inayotoa malipo zaidi ya million tano Kwa wazawaHiyo pesa uliyoandika hapo $4500 ukibadilisha kuwa Tsh ni zaidi ya 10million. Sasa sijajua unapinga nini