Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Nimepata kazi ya millioni 10, nifanyeje kuutoroka umasikini?

Why not? Kuna mtu namfahamu, mtanzania pure, analipwa zaidi ya $10,000 kwa mwezi
Mshahara tu huo.
Inawezekana sana sio lazima wazungu ndo wawe zaidi all the time
Yes mshahara unalipwa kulingana na skills ulizonazo na gain unayoinufaisha kampuni/organisation. Na wala sio taaluma yako kwenye makaratasi.
Ni concept rahisi sana lakini inatusumbua wabongo wengi.
 
Naombeni ushauri jaman.
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kansan.

Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.

Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini, Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Kigoma hakuna NGO ya kukulipa Mshahara wa Milioni Kumi acha UONGO,hata kama ni Mashirika kama WFP,UNHCR,DRC,CWS,IOM,Good Neighbors lakini bado Milioni Kumi UNADANGANYA
 
Naombeni ushauri jaman.
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kansan.

Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.

Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini, Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Ebu fafanua vizuri bwana, ni milioni kumi kwa mwezi, kwa mwaka au kwa maisha yako yote, au ni utani tu?
 
Why not? Kuna mtu namfahamu, mtanzania pure, analipwa zaidi ya $10,000 kwa mwezi
Mshahara tu huo.
Inawezekana sana sio lazima wazungu ndo wawe zaidi all the time
Sipingi ila sio kigoma, amesema kigoma Sasa kigoma NGO ipi hiyo yenye tawi au ofisi kigoma itoe pesa hiyo. Kwa dar Es salaam hiyo ipo sikatai yapo makampuni kama ya oil na gas (Total)
 
Hii nimeiweka kwenye droo kwanza.
Lakini pia mkuu hizi hatifungamani,hisa pia huongezeka thamani na unaweza kuombea mkopo pia.
Hazihitaji usimamizi pia.

Na uzuri wake sio kubaharisha unakuwa na uhakika wa muongezeko wa thamani kwa kiasi kadhaa.

Ni kweli ardhi inaongezeka thaman lakini kuijua ipi itaongezeka na ipi haitaongezeka ndiyo mtihani.
Kuna ndugu yangu mwaka 98 aliambiwa achague kiwanja Mbagala au Goba, yeye akachagua Mbagala rafiki yake akachukua kile cha goba kwa laki 2.
Hakupenda Goba maana ilikuwa mapori tu kidogo mbagala kumechangamka.

Yule rafiki yake alikuja kuuza pale goba kwa million 40
Fanya vyote nusu kwa nusu
 
Ninachopinga ni hiki : Kwa mkoa WA kigoma watu pekee wanaolipwa pesa kubwa kama ya mtoa uzi ni wazungu kutoka UN waliopo kambi ya wakimbizi nje ya hapo hakuna NGO inayotoa malipo zaidi ya million tano Kwa wazawa
Na wewe ni MUONGO,Mashirika yanayolipa vizuri Kigoma ni CWS(Church World Service,IOM na WFP kisha UNHCR,naongea kutokana na uzoefu nilionao maana Wafanyakazi wote wa Mashirika tunajuana,tunakula na kunywa pamoja hapa MAKERE karibu na Kambi ya Wakimbizi Nyarugusu
Na wewe muanzisha UZI kama ni kweli karibu MAKERE,nitakuwa mwenyeji wako,njoo PM
 
Wekeza UTT Amis, nunua Bonds kwenye banks nk
Biashara ya hisa , bonds inafanywa na mtu ambaye ana excess . Kitendo Cha kuweka fedha yako fixed kwa kipindi kirefu wenzako wenye akili wafanyie biashara na kukulipa kafaida ni matumizi mabaya ya ubongo kwenye nchi yenye fursa ntyingi rahisi na zenye faida kubwa.

Nunua shmba kubwa ,weka Fensi , Kila mwezi nunua ngombe waliokokonda huko vijijini, weka kijana ,mlipe lakini 2 kwa mwezi, wapige chanjo za minyoo lisha mashudu, uza baada ya miezi 4. Kabla hujawapeleka sokoni wasafishe vizuri na uwakaushe wangae kama mengi alivyoelezea kwenye kitabu chake alivyoanza utajiri wake kwa biashara ya mbuzi
 
Na wewe ni MUONGO,Mashirika yanayolipa vizuri Kigoma ni CWS(Church World Service,IOM na WFP kisha UNHCR,naongea kutokana na uzoefu nilionao maana Wafanyakazi wote wa Mashirika tunajuana,tunakula na kunywa pamoja hapa MAKERE karibu na Kambi ya Wakimbizi Nyarugusu
Na wewe muanzisha UZI kama ni kweli karibu MAKERE,nitakuwa mwenyeji wako,njoo PM
Soon ntakuwa huko..tutaungana
 
Biashara ya hisa , bonds inafanywa na mtu ambaye ana excess . Kitendo Cha kuweka fedha yako fixed kwa kipindi kirefu wenzako wenye akili wafanyie biashara na kukulipa kafaida ni matumizi mabaya ya ubongo kwenye nchi yenye fursa ntyingi rahisi na zenye faida kubwa.

Nunua shmba kubwa ,weka Fensi , Kila mwezi nunua ngombe waliokokonda huko vijijini, weka kijana ,mlipe lakini 2 kwa mwezi, wapige chanjo za minyoo lisha mashudu, uza baada ya miezi 4. Kabla hujawapeleka sokoni wasafishe vizuri na uwakaushe wangae kama mengi alivyoelezea kwenye kitabu chake alivyoanza utajiri wake kwa biashara ya mbuzi
Mkuu na wewe unaamini mengi alianza na mbuzi???
 
Biashara ya hisa , bonds inafanywa na mtu ambaye ana excess . Kitendo Cha kuweka fedha yako fixed kwa kipindi kirefu wenzako wenye akili wafanyie biashara na kukulipa kafaida ni matumizi mabaya ya ubongo kwenye nchi yenye fursa ntyingi rahisi na zenye faida kubwa.

Nunua shmba kubwa ,weka Fensi , Kila mwezi nunua ngombe waliokokonda huko vijijini, weka kijana ,mlipe lakini 2 kwa mwezi, wapige chanjo za minyoo lisha mashudu, uza baada ya miezi 4. Kabla hujawapeleka sokoni wasafishe vizuri na uwakaushe wangae kama mengi alivyoelezea kwenye kitabu chake alivyoanza utajiri wake kwa biashara ya mbuzi
Hii naapa kwa Allah lazima ntafanya
 
Back
Top Bottom