Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #81
sio kazi yangu, sikukuambia u comment broken english!A coping mechanism for the masses.
Nioneshe kosa liko wapi.
Weka parts of speech, grammar, spelling, hiki hakitakiwi kuwa hivi, hiki hakitakiwi kuwa hapa, kwa sababu hii.
Tuone utanifundisha mimi au mimi ndiye nitakufundisha wewe.
nani huyo?Mume umepata BIla kusali
Hujaionesha hiyo broken english.sio kazi yangu, sikukuambia u comment broken english!
Na kwa uzushi huu wa kumtaja Yesu kimkakati hapa, wakati tunaona maneno yao hapa hayafanani na mafunzo ya Yesu bado watahangaika sana.Kwa kawaida hii ni mishangazi iliyochezea ujana kwa nyodo kibao
ikiwemo kuolewa kwa ndoa bubu na vibaharia visivyo na malengo yo yote huko vyuoni sasa imevuka 30yrs ipo kwenye panic mode inasaka wanaume kila kona na kwa mbinu zo zote zile. Mingi imeshatumika sana kingono sasa inatafuta mtu wa kumtwisha mtu zigo la misumari. Nenda kwa Mwamposa ukaone ilivyojazana. Sad! [emoji706][emoji706][emoji706]
bwana we tulia na english yako ya manzese,Na kwa uzushi huu wa kumtaja Yesu kimkakati hapa, wakati tunaona maneno yao hapa hayafanani na mafunzo ya Yesu bado watahangaika sana.
Inaonekana watu wanaenda kanisani kudanga sasa.
Wamemaliza bar, saluni, club, mitandao, sasa kivumbi kanisani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
watu wameolewa na miaka 38, 48, 53, 60, 70 itakuwa 30?Kwa kawaida hii ni mishangazi iliyochezea ujana kwa nyodo kibao
ikiwemo kuolewa kwa ndoa bubu na vibaharia visivyo na malengo yo yote huko vyuoni sasa imevuka 30yrs ipo kwenye panic mode inasaka wanaume kila kona na kwa mbinu zo zote zile. Mingi imeshatumika sana kingono (ikiwemo kutoa mimba kadhaa) sasa inatafuta mtu wa kumtwisha mtu zigo la misumari. Nenda kwa Mwamposa ukaone ilivyojazana. Sad! 🚮🚮🚮
Ila wewe bado ni mzushi, tena mzushi Maimuna.bwana we tulia na english yako ya manzese,
ila i thank you though! unachangamsha uzi unazidi kukaa namba 1 kwa comment zako!
ningekuwa mzushi usingekuwa hapaIla wewe bado ni mzushi, tena mzushi Maimuna.
Ili kama tangazoskia hii, jana nilikuwa napewa stori na dada mmoja anakaribiwa kuolewa
nikamwuliza amempataje mpenzi wake
akanijibu
Dada: nimempata kwenye morning and evening glory nilikuwa naenda kila siku kanisani, kumbe huyo kaka akaniona akanipenda akawa anapima frequency ya kuja kanisani kama na beep au namaanisha
basi baada ya mwaka mmoja akani approach asijue kuwa niko singo mimi tena kwa muda wa miaka 3
tuka exchange namba, tukaanza mawasiliano, baada ya mwaka akaomba wazee wake waje akutane na wazazi wangu!
Money Penny: kwahiyo hamjazini mwaka wote huo?
Dada: hatujazini boss hata ku kiss! nilimwambia nimetoka kwenye very painfull relationship, nimekaa miaka 3 sitaki kusikia kuzini mpaka kwenye ndoa....
ni kweli yale maombi ya morning na evening glory yamenisaidia sana, nilikuwa naenda kwa Bwana Yesu, Bwnaa Yesu akanipa Bwana Mume (My Lord)!
Money Penny: Haya haya sasa! nyie wenzetu mnaendaga wapi kupata waume?
jamani muende kanisani, ohooo! Yesu anatoa waume kama mvua huku Morning Glory!, ila usiende kudanga tu!
umejifunza nini sasa?!Ili kama tangazo
nimwage mchele sio?Tuendeleeni na story
Sawa,we mwaga, kuku wakula waponimwage mchele sio?
jioni saa 1 jiandae
sawa sawa boss usiku basi!Sawa,we mwaga, kuku wakula wapo
Suala la kuolewa Tanzania liko overrated 🤠Hivi kwa sasa kupata mchumba wa kiume mwenye nia ya kuoa ni big deal hivyo?
Au hizi habari ni anxiety ya kawaida ya wanawake tu?
Ndiyo na mimi nashangaa bidada anaanzisha uzi baada ya uzi kwenye maada hii, kama yupo obsessed vile.Suala la kuolewa Tanzania liko overrated [emoji1783]
Inawezekana mengine masharti ya mganga haya.Ila mleta mada unanichanganya,Leo tu nimekutana na avatar tatu tofauti una uhakika hawajahack account Yako?
HahahahaSuala la kuolewa Tanzania liko overrated 🤠