Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
kisa nivigor doctor 😂😂Daah ndugu yako baada ya kwenda nae taratibu unamsema kisa dawa ya meno aisee....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kisa nivigor doctor 😂😂Daah ndugu yako baada ya kwenda nae taratibu unamsema kisa dawa ya meno aisee....
Tangu siku hiyo mkuu nimejifunza sana. Siku hizi sicheki na Mtanzania. Sasa hivi nimenyooka sipindishi mambo ingawa wananiona nina roho mbaya.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Safi sana. Ukicheza na mbwa atakufuata mpaka msikitini. Wengine wangekuja hapa JF kuulizia wafanyeje?Baadhi ya watz ni watu wa ajabu. Jamaa alinipigia simu anakuja kwenye interview ya kazi nikasema fresh njoo tu nakupokea hakuna shida. Eeehh naenda stendi kumpokea huyu rafiki yangu "Y" naona yuko na mtu mwingine "x" anatufata nyuma nyuma tunaingia kwenye gari naona "x" anaingia nauliza nani huyu ndo jamaa "Y" anasema huyu ni rafiki yangu. Namuuliza je na yeye "X" kaja kwenye interview? Jamaa anasema hapana yeye kaja kutembea tu.
Kufika home yule mwamba X aliyekuja kutembea kumbe anavuta sigara kama kichaaa. Mimi na moshi wa sigara hatupatani hata kidogo mwamba akiingia ndani nyumba nzima moshi unanuka.
Nikamuambia yule mwamba X mimi na sigara hatupatani naomba usivute sigara nyumbani kwangu mwamba akanielewa. Baada ya kufanya interview yule rafiki yangu Y akasema hawezi kuondoka hadi majibu yatoke nikasema fresh. Baada ya majibu kutoka akawa amekosa nafasi nikajua sasa anasepa heee naona siku na kwanza, ya pili, ya tatu wapo tu.
Nikaona yule mwamba Y mvuta fegi ameanza kufukuzia mwanamke nyumba ya jirani ambao tunaheshimiana sana nikaona wema utaniponza. Mimi nika deal na rafiki yangu tu. Nikamwambia sasa mimi nasafiri rafiki yangu akasema we nenda utatukuta tu mkuu ukirudi. Nikamwambia hapana kubaki mimi nasafiri kesho kutwa nyinyi mnaondoka kesho asubuhi mapema. Ndio ulikua mwisho wa mawasiliano.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Issue sio kutoa Boko au kutotoa boko, kwanza most of the time kati ya vitu ninavyopack nikiwa safari ni pamoja na dawa ya menoDawa hata unapoanza mara ya 1 unatakiwa uanze kuminya chini. Haiminywi kuanzia juu. Kama ulikua hujui chukua hiyo usije kutoa boko ugenini.
na unategemea kila kitu utafunzwa kwenye haya maisha..?Wew ulibahatika kufunzwa na mama yako namna ya kuminya dawa, so utamlaumu vp yeye ambae hakufunzwa juu ya huo ustaarabu.
= glass1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.
4. Inshort things are mess
Nakubaliana na maneno yako. Malezi yna-play part kubwa. Pia kuna watu kwa asili wako rafu tu. Yaani hawajishtukii. Unakuta mtu anaingia chooni, (hivi vya kuvuta) ''anapiga baruti'' paa, anachafua choo na mfuniko wake kwa ''cheche za kinyesi'' na kuacha hivyo hivyo hivyo. Yaani yeye akishavuta kinyesi kikienda ni basi. Au anaacha ''ukoko'' kwenye choo kwa ndani wakati brashi ya kusafishia iko.Wakati mwingine tukubali tu
Kuna watu wamekulia mazingira ambayo hakuna utaratibu wa kurudisha kitu chochote ulichotumia mahali pake.
Yaani maisha yao hayana mpangilio.
Usimlaumu, we akienda kinyume na utaratibu wako wewe rekebisha.
Malezi hayo
Sasa, kuwa moja ya hao watu(jamii), mfundishe ustaarabu mbalimbali apate kubadirika. Niamini huyo anaweza badirika. Au ni ndugu upande wa mume basi unakosa confidence ya kumuelekeza mambo.na unategemea kila kitu utafunzwa kwenye haya maisha..?
Nini maana ya kuishi na watu na kujifunza...?? Mbona vingine hatujafunzwa tumekuja kuona kwa watu tukaona ni kitu chema tukakibeba..?
Ni kweli, swala la kuminya lina ustaarabu wake.😀kuminya dawa kuna ustaarabu wake pia, sisi tulifunzwa na Mama yetu toka udogoni kabisa..!!
Mfano mzuri, kwetu nyumbani tukiwasha jiko la mkaa huwa hatushiki mkaa na mikono toka utotoni tena Mama ndiye alitukataza..!
Huwa tuna gloves flani ngumu tunavaa ndiyo unaweka mkaa, Mimi till date kugusa mkaa ugenini nababaika sana..!! Niliwahi semwa ugenini mpaka nikakosa raha..!
Hivyo mara nyingi ni malezi tu..!!
Tumia ujanja huu:1. Uchafu anaweka popote, anaweza kula embe kisha maganada akaacha hapo chini ndani yani akawa yuko comfortable kabisa.
2. Dawa ya meno anaminya popote tu.
3. Jagi la maji anakunywa kwa kushika lote na mmekaa wengi mnakula na grass zipo.
4. Inshort things are mess
Ila kwa ukweli dawa inatakiwa kuminywa from bottom, sio randomly tu kama unafinyanga unga wa nganoIla hiyo namba mbili ni unamuonea tu jamani??? Yani unataka kumpa masharti ya namna ya kuminya dawa?
Nyuma zenye ustaarabu zaidi mgeni akifika tu anapewa dawa yake ya meno na mswaki,,,,yote ni kwa ajili ya kupunguza huu udharirishaji wa kuanikana mitandaoni.Ila kwa ukweli dawa inatakiwa kuminywa from bottom, sio randomly tu kama unafinyanga unga wa ngano
Maelezo marefu sana.Issue sio kutoa Boko au kutotoa boko, kwanza most of the time kati ya vitu ninavyopack nikiwa safari ni pamoja na dawa ya meno
Ninachojaribu kusema Mimi ni kwamba, mgeni akiminya kuanzia juu au chini, sioni kama ni issue kubwa sana, inavumilika.
Labda nikuulize, ukiachana na shape/muonekano wa hiyo dawa, ni yapi madhara yatokanayo na kubinya dawa tokea kati?