Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, mimi ni mwajiriwa, ili niweze kuacha kazi

Wakuu habari.

Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, nimechoka kufanya kazi, nataka kujiajiri

Nawasilisha
Nunua tour coaster kwa 20 milion tu, unamvua mtu. kisha nistue nikusimamie pesa inarudi bila presha ndani ya miezi 18 tu.
 
Wakuu habari.

Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, nimechoka kufanya kazi, nataka kujiajiri

Nawasilisha
Wewe endelea na kazi maana hiyo ndo dhamana yako kama biashara fanya
 
Baby nina uzoefu mbaya na viumbe kama ninyi.
Pesa ikiingiamo haitoki.

Badala yake unaweza kuishia kupewa bidhaa isiyo ya kibiashara[emoji23][emoji23]
Mbona unaniharibia sasa [emoji849][emoji849]hupendi huyo mwekezaji awekeze kwangu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…