Nimepata mshtuko mkubwa Ubungo Bus Terminal leo alfajiri!

yani kituo cha daladala cha mawasiliano kina international standards everything is just perfect hata wakora hamna
iyo bullshit ya ubungo terminal cjui kwanini wasiifanye soko la ndizi na kuku
ndo maana campany kubwa kama kilimanjaro wameanzisha office zao wenyew
 
Mkuu ulikuwa ukiishi nje ya nchi, umerudi hivi Karibuni kwa pipa au ni mkazi wa kawaida wa Dar? Mbona Dar yote iko hivyo hata Posta madimbwi tu. Miundombinu huko ni changamoto.
 
nilijua labda ulitaka kubakwa, au umekuta polisi anaibiwa na kibaka.
 
Hapana umhimu hapo,pesa nyingi zinatakiwa kutumika kulinda nchi kwa kuwalipa vizuri Polisi ili wapate moyo wa kuteka,kutesa na kuua wapinzani,hivyo pambana na hali yako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
muongo mkubwa..kwani ilikua lazima upaki gari hapo kwenye maji tuu
 
Huko unakokuita tandale kwa mfugambwa kumbuka wanaishi watu ambao tumeridhika na maisha yetu
 
Choo kipo, ila ww inaonekana sio mtumiaji mzuri wa hii stend ya ubungo....ndio maana umepata huo mshtuko. Ila naungana na ww stend haieleweki yaan kwa mgeni anapata tabu sana kujua wapi pa kutokea na kama amefuatwa mfano ww hukujua mabasi ya kondoa wapi yalipo... Kingine ndio hiko pa kukosekana kwa mahali pa kupumzikia hakuna hata vibanda vya kupumzika au kujikinga na jua au mvua.....wale mawakala wa magar nao wanaboa sana yaan stend inashindwa na ile ya dodoma au mbeya au morogoro
 
mkuu stend ya ubungo haiwezi kukarabatiwa kwasababu inatakiwa iondoke
 
choo kipo bwana na sehemu ya kupumzikia/kusubiria abiria pia ipo, labda kama limevunjwa. hapo kwenye mazingira ndio nakubaliana na wewe hasa kama unatafuta basi ukiwa umechelewa ndio kasheshe. utaloa jasho kwa kuzunguka kutafuta basi
 
na omba sana maana mle ndani kuna miti miti hiyo ndio huwa inatumika kama ramani ya kuonyeshea gari unalotaka kupanda,maana utaambiwa aaah sai baba anapak karibu na ule mwembe nenda kwa hivi kidogo,sasa siku wakikata na hiyo miti ndio kimbembe zaid,kikubwa kuku si anataga mayai ya nini watawala waangaike na wapi na jinsi gani anaishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…