Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

poleni Mungu awatie nguvu na kuwapa faraja kuu itokayo kwake katika kipindi hiki kigumu.
 
Marehem alikua analalamika tumbo
Umri wake n miaka 2 na miez 8
Alifika hospital kubwa ya mkoa WA morogoro mjini.
Alifia mapokez na alipo fika hakuchukua ata do 10 akafarik pale mapokez ata wodin hakwenda.
Na msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Kwann mifanye masihara Kwenye mambo ya MSiba mkuu,kumbuka uyu n mwanangu amefariki Alie kalibu au maeneo ya morogoro mjini aje kuwakilisha,na nimepata nguvu ya kuandika apa mda huo ulio sema sababu umu nyinyi nawachukulia kama ndugu na jamaa
So saaaddd 😭😭😭
 
Aaaah, niliposoma tu kichwa cha habari tumbo la kuhara likanipata, wakuu kufiwa na mtoto kunauma vile sijaona yani nilihisi kama moyo unakatwa katwa na viwembe pumzi siipati, pole sana sana mkuu maumivu unayopitia ni makubwa Mungu wa mbinguni akujazi😪😪😪😪
 
Sa msiba wako iyo nguvu yakuandika umeitoa wap

Ukijibiwa vbya huone watu hawana huruma au wanadharau kumbe ni
 
Back
Top Bottom