Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So saaaddd 😭😭😭Marehem alikua analalamika tumbo
Umri wake n miaka 2 na miez 8
Alifika hospital kubwa ya mkoa WA morogoro mjini.
Alifia mapokez na alipo fika hakuchukua ata do 10 akafarik pale mapokez ata wodin hakwenda.
Na msiba upo morogoro mjini forest KILEKA
Kwann mifanye masihara Kwenye mambo ya MSiba mkuu,kumbuka uyu n mwanangu amefariki Alie kalibu au maeneo ya morogoro mjini aje kuwakilisha,na nimepata nguvu ya kuandika apa mda huo ulio sema sababu umu nyinyi nawachukulia kama ndugu na jamaa
Shukraan mkuuPole sana.
pole sana Mwenyezi Mungu awatie nguvuHabar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Pole sana mkuuHabar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Pole sana!Habar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Kuwa makini usije kosea ukaweka emoji za kucheka.So saaaddd 😭😭😭
Pole sana Mungu amlaze mahala pema peponi mtoto wetuHabar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Pole sana mwenzetu.Habar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
Habar ya usiku huu,
Nimepata msiba wa mtoto wangu wa pili ana miaka 2 amefariki usiku wa saa tisa.
Msiba upo Morogoro mjini forest KILEKA
[/QUO