Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

[emoji599][emoji599]7 years mtu una kojoa upepo tu afu from nowhere unyanyue kombe ..think outside the box labda kama ume amua kukaza fuvu alama ? wtf is alama[emoji28] Good luck
 
Ubarikiwe na hongera pia🙏

Acha kujichulia Kwa kauli Yako kuwa " Hata ukiondoka Leo...", omba maisha marefu Ili umlee mwanao na WADOGO zake na uone Hadi vitukuu nk nk
 
Hongera
 
Hongera sana!

Nilishuhudia ndoa ya afisa mmoja haikupata mtoto hadi uzee!

Walisubiri bila mafanikio na kwa kuwa walikua wakristo hawakua na namna!
 

Si bure huenda karogwa.!
Kwa hao nduguze Sawa labda ni watu wa husuda, sasa hata wazazi nao kweli jamani ?!
Labda mwaya.
 
Nimecheka ujue[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kwenye ndoa ndo wanaongoza kutoa mimba eti
Naweza nikakubaliana na wewe..sikuwah kuwa na mawazo ya abortion kioindi chooote za ujana wangu ila jaribu hili nilikutana nalonkwa mara ya kwanza nikiwa tayar nimeoa
 
H

Hongera sana mkuu...jambo la kher Hilo na kwakuwa uliamni Kwa Allah... hongera pia kwakuwa na uvumilivu wa Hali ya juu.🫡
 
Hongera saaaaaaana kwa kupata mtoto. Hongera kwa kuwa na subira kusimama na mkeo katika huzuni na furaha. Natambua unayo furaha isiyo kifani, basi jitahidi kufurahi mwenyewe ili kujiepusha na kumuepusha mwanao na husda za walimwengu.

Sisi tunao comment hapa ni mfano wa jamii inayokuzunguka. Usituone na roho mbaya zetu, inawezekana sisi ndio jirani/nduguzo.
Watu wanakukejeri hapa sababu ya husda. Husda ni mbaya zaidi ya uchawi. Kutamani jambo LA kheri limponyoke mtu ni husda.

Hizi comment zikupe funzo kuwa wapo majirani/ndugu wanaotamani hata huyo mtoto asiwe wako. Omba sana katika imani yako ulindwe na husda.
Hasidi mtu mbaya
 
mimi sijataka kumuumiza moyo tena watu wenyewe hawa hawana Mungu wa kweli, naomba niishie hapa. ila mpende tu mwanao na mshukuru mkeo amekufichia aibu iwe wakwako au si wa kwako umheshimu sana. ulikuwa unaumbuka hivyo
Kumbe kukosa mtoto ni aibu na kuumbuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…