Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

Kama pesa ipo na management ipo vyema, unakula na kushiba vizuri shida nini
Hakuna shida
Ujinga maradhi haswa afya ya akili na umasikini wa fikra uliotopea ndio hasa mtu anaweza kutoa maoni kama hayo.
Pole sana punguza idadi ya watoto
Kuwa na watoto wengi ni upumbavu hawana faida yoyote zaidi ya kuoneana wivu
 
Mwana alikuwa na hobby ya kufyatua.. Apumzike kwa amani
 
Jamaa mmoja simple sana..
Simjui lakini wanao mjua wafanya biashara wenzake wame huzunika sana..
 
Nyoko kabisa 😂😂😂 ameishi kifala sana marehemu😂
Anyway ndo wasomi wetu wa siku hizi bao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…