King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Hakuna kupandisha kama wanafamilia so what? Kama familia ndo tatizo wauze na wao elf8 kama jamaa au wauze elf5 kabisa!Toa taarifa na uhakikishe kipindi wanakutisha kuwa na simu unawa record kwa siri halafu peleka polisi ila wahurumie kidogo wapandishie kilo 10,000 kumbuka nao wana familia
Polisi hata wasipochukulia siriaz ni vyema aripoti tu na pia yeye binafsi ajihamiPolisi ipi mnayoongelea Nyie. Naona Kila MTU hapa nenda Polisi nenda Polisi. Ukute Polisi ndo wenye bucha.
Unamfuata ili umfanye nini?Hata mimi ningekufata, hawa watu humu wanakuvimbisha kichwa ila ukweli ni kuwa unaharibu biashara za watu na watakufanya kitu mbaya ukizidi kuwa kichwa ngumu.
Pandisha bei hadi 11500 au 11000 utaeleweka.
na kiyahudiAnaishi kiislamu na kisabato
Sio lzm kuwa kitu kimoja mm nilipo nauza Gas Oryx kg 15 ni 55000 wakat wenzangu 57,58 wakat ndogo nauza 23,000 wengine 24,25 .Kuna kijiji kimoja niliwah kukuta kuna maduka mawili,hao majamaa wenye hayo maduka ni mamafia balaa,wengi wanaokuja kuanzisha hapo biashara kama hyo wanapigwa mikwara na kuibiwa pia wanabomoa usiku na ukija na bei ndogo ndogo kila siku wanakuwa wanakufata
Kwenye biashara lazima wafanyabiashara muwe kitu kimoja kumkandamiza mnyonge
kwahiyo wakimwaga mboga unamwaga ugali 😅😅Hakuna kupandisha kama wanafamilia so what? Kama familia ndo tatizo wauze na wao elf8 kama jamaa au wauze elf5 kabisa!
Acha ujingaPolisi ipi mnayoongelea Nyie. Naona Kila MTU hapa nenda Polisi nenda Polisi. Ukute Polisi ndo wenye bucha.
Wasabato na hao uliowataja tuko pamoja mkwa mzungu mwenye pua yakeAnaishi kiislamu na kisabato
Nchi ni ya wenye pesa, nguvu na mamlaka.Kuna wapumbavu hii nchi mtaka kuifanya ya Baba yenu, kwanini umpangie mtu bei ya kuuza? Kama anauza bei ya hasara automatically hatachukua round biashara itakufa yenyewe, huku shinyanga na geita miaka ya nyuma jamaa wa kaskazini waliiteka biashara ukanda huu Kwa bei za kuumiza Ila tangu mnyantuzu kaijua biashara jamaa wote wamechora. Wote mnaotaka na kulazimisha kufix bei ni wapuuzi na wapumbavu wakubwa.
Kupiga nae story tu.Unamfuata ili umfanye nini?
Habari ndo hiyo wakiweka ugoko naweka kigingi.kwahiyo wakimwaga mboga unamwaga ugali 😅😅
Price skimmingHeri ya Pasaka!
Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.
Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.
Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.
Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.
Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
MkuuHeri ya Pasaka!
Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.
Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.
Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.
Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.
Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
Nani kakudanganya biashara zote ndo zilivyo? Hizo ni pigo za washamba wachache kupangiana bei, soko ndo huamua bei na kuna factors kadha wa kadha zinazoweza kufanya mtu auze either juu au chini ya bei ya soko na huwa hakuna kulazimishana.Biashara zote ndio ziko hivyo, ndio maana kunakuwa na bei elekezi; atakayeenda tofauti na makubaliano ndio wanakutana na changamoto kama zako.
Kwa ushauri, kama una uwezo wa kuuza chini ya bei zao, jaribu kujadiliana nao wewe ndio uwe 'major supplier' wao, uwe unawauzia wao nyama kwa bei ya jumla.
Nani kakudanganya biashara zote ndo zilivyo? Hizo ni pigo za washamba wachache kupangiana bei, soko ndo huamua bei na kuna factors kadha wa kadha zinazoweza kufanya mtu auze either juu au chini ya bei ya soko na huwa hakuna kulazimishana.