Nimepewa onyo na wafanyabiashara wenzangu nisipopandisha bei watakatisha uhai wangu

Sio lzm kuwa kitu kimoja mm nilipo nauza Gas Oryx kg 15 ni 55000 wakat wenzangu 57,58 wakat ndogo nauza 23,000 wengine 24,25 .
 
Hao jirani zako hawajui kutumia fursa na mbinu za biashara kwanini wasingeungana alafu wakawa wanakuja kununua hizo nguruwe kwako kwa bei hiyo ya Tsh 8,000/= alafu wakawa wanauza kwao kwa bei hiyo hiyo wanayouza ya Tsh 12,000/= ?, Wajanga sana hao wangekuwa na akili wangekutumia wewe kama fursa na siyo kuwaza kukutishia maisha.
 
Nchi ni ya wenye pesa, nguvu na mamlaka.
 
Price skimming
 
Hii Ni dunia huru ya kibepari. Yaani hao jamaa wamekuwa wa kufunguliwa mabucha Kama Mia na Bei iwe 5k kwa kilo.

Kila mtu huwa anapenda ubabe ili awe mtawala.
Mfano wanasiasa wanatumia nyumbu wenzetu kuwalinda wao ili watunyonye wote na viongozi wa dini wanatumia uwoga wa wanadamu na kifo wanawatala na kuwaamrisha kutoa sadaka ili wapate mibaraka
 
Biashara zote ndio ziko hivyo, ndio maana kunakuwa na bei elekezi; atakayeenda tofauti na makubaliano ndio wanakutana na changamoto kama zako.
Kwa ushauri, kama una uwezo wa kuuza chini ya bei zao, jaribu kujadiliana nao wewe ndio uwe 'major supplier' wao, uwe unawauzia wao nyama kwa bei ya jumla.​
 
Mkuu
Umeshapata RB yao hao jamaa zako?

Nenda central kawashtaki maana hiyo ni serious threat
 
Nani kakudanganya biashara zote ndo zilivyo? Hizo ni pigo za washamba wachache kupangiana bei, soko ndo huamua bei na kuna factors kadha wa kadha zinazoweza kufanya mtu auze either juu au chini ya bei ya soko na huwa hakuna kulazimishana.
 
Nani kakudanganya biashara zote ndo zilivyo? Hizo ni pigo za washamba wachache kupangiana bei, soko ndo huamua bei na kuna factors kadha wa kadha zinazoweza kufanya mtu auze either juu au chini ya bei ya soko na huwa hakuna kulazimishana.
Tatizo wewe bado uko kwenye 'theory' za supply vs demand; uhalisia sio hivyo, ndio maana kuna taasisi au umoja unao 'regulate' bei; tofauti na hivyo mtoa mada akichukua ushauri wako anaweza kujikuta yuko mbinguni, kama alivyoonywa.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…