Sure aisee mie nilipata kamgao ka 100 kwenye michakato january hii nikatupia hapo 35, 5 nakanywa bia na 60 nakajipongeza kwa gari bora ningeizika yote hapo saa hizi ingekuwa kicheko tu. january ijayo sifanyi masihara.Mimi now 60+ml sina papara na biashara za high return kifupi kila mtu ashinde mechi zake
Litaendelea kuwa normal tu mpak Mambo mazuri yaje tenaSo ina maana leo gawio la siku litaendelea km kawaida
Dah addiction million inakata chap kindege haramu😅😃😃😃😃😃 hiyo Aviator sio ya kujaribu
Mkuu hesabu zako hizi ni iwapo atakua hachukui faida yake kwa mwaka, kama atakua nachukua faida ita drop12% ya 4,500,000 ni 540,000
12% ya 5,040,000 ni 604,800
12% ya 5,644,800 ni 678,000
Kwa miaka mitatu ungepata 1,823,000
NB; Bado uwekezaji wa ardhi ni mzuri kwako.
Nimejikuta na ongezeko la 1,100,000 ndani ya siku 10Imagine wenye mil 50 kwenda mbele wamevuta sio haba, laki tano kw week 🙌🙌
Shida huenda ameshikiliwa akili kwa maagano.Basi hiyo nyumba itakuwa sio standard, yani kodi 30k kwa mwezi??
Hivi hii huwa inatokeaga mara kwa mara au juz mfuko wa Liquid fund ulitoa gawio la ukubwa ule kwa mara ya kwanza?Nimejikuta na ongezeko la 1,100,000 ndani ya siku 10
Hongera sana aiseeNimejikuta na ongezeko la 1,100,000 ndani ya siku 10
Ngoja tuone km itatokea tenaHongera sana aisee
Iyunga, Hi-soap,Ituta,au Iwambi?mbeya njia ya kwenda mbalizi
Kodi lazima iwepo au apo unakuta imeshakatwa, kwa maana hiyo ni interest lazima ikatwe kodi ya zuio (Withholding tax) ,ambayo ipo -Land~rent(WHT rental)Hamna kodi?
imekuaje tenaWenye Bond Fund leo mambo ni yenteyente
Vipande vyao vimeongezeka kwa sh 1 kila kipande so km mtu anavipande 200,000 maana yake anapata 200,000 leoimekuaje tena
MmmmmmhVipande vyao vimeongezeka kwa sh 1 kila kipande so km mtu anavipande 200,000 maana yake anapata 200,000 leo
Duh mbona wanashawishi hiviVipande vyao vimeongezeka kwa sh 1 kila kipande so km mtu anavipande 200,000 maana yake anapata 200,000 leo
Afu mkuu nimeshastuka kila Jumanne huwa kunakua na ongezeko la hizi percentageWenye Bond Fund leo mambo ni yenteyente
Jnne inakuwa ni ongezeko la siku za jmos, jpil na jtatuAfu mkuu nimeshastuka kila Jumanne huwa kunakua na ongezeko la hizi percentage
Duh mbona wanashawishi hivi
Aisee hii UTT ni very serious. Ni pesa nzuri yenye faida isiyo na stress. Ukiwa na uwezo ukadondoshamo 100 hivi, aisee Tanzania utaifurahia kama middle class country.Wenye Bond Fund leo mambo ni yenteyente