12% ya 4,500,000 ni 540,000
12% ya 5,040,000 ni 604,800
12% ya 5,644,800 ni 678,000
Kwa miaka mitatu ungepata 1,823,000
NB; Bado uwekezaji wa ardhi ni mzuri kwako.
Mkuu hesabu zako hizi ni iwapo atakua hachukui faida yake kwa mwaka, kama atakua nachukua faida ita drop
Ikiwa kwenye kodi anachukua 30,000 per month
30,000 x 12 = 360,00 per year
Ukizidisha kwa miaka 3
360,000 x 3 = 1,080,000 Faida kodi kwa miaka 3
Faida ya utt toa faida ya kodi
1,823,00 - 1,080,00 = 743,000
Hapo maana yake una “hasara” ya 743,000 kwa miaka 3 ambayo ungeipata kwenye utt.......
Jambo la msingi kuzingatia hapo ni thamani nzima ya uwekezaji kwa ujumla kadiri siku zinavyokwenda
Je baada ya miaka kumi itakuaje?
Kwenye nyumba utakua unachukua kodi unajikumu halafu nyumba inabaki palepale na thamani yake inazidi kuongezeka
Utt kama utakua unachukua faida na kujikimu thamani ulioiwekeza itabaki pale pale 4,500,000
Kupanga ni kuchagua