Mimi cha kwangu nilikaacha kaende ,kwa sababu kalikua na bibi yake.,ila nilishangaa siku moja kaliniambia dini ina kautapeli , nilishangaa sana😁😁😁Waache waendelee kwenda tu
Dini sio kuhusu kwenda mbinguni tu, ni sehemu ya maisha.
Fikiria watoto wako wakiwa shule wanaambiwa wasali au waende kwenye vipindi vya dini, wataanzaje kujieleza kwamba sio waumini?
Wakiwa na marafiki zao, au ndugu?
Waache wakue kwanza. Kama ni wakubwa kwenye rika la chuo hivi ndo watachagua wenyewe, usiwalazimishe.
Huo ni ushauri kutoka kwa mpinga dini mwenzako....
Wewe ni miongoni mwa watu wapumbavu kuwahi kutokea duniani. Unawaweka watoto wako katika wakati mgumu bila sababu ya msingi. Pia kuachana na mkeo kisa imani yake ni upumbavu uliovuka mipaka. Zaidi ya uasherati hakuna sababu nyingine ya watu kuachana.Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Kifungu cha 19 cha katiba ya TanzaniaKifungu gani hiki?😅😅😅
Mama Samia, soma vizuri uelewe?Wewe ni miongoni mwa watu wapumbavu kuwahi kutokea duniani. Unawaweka watoto wako katika wakati mgumu bila sababu ya msingi. Pia kuachana na mkeo kisa imani yake ni upumbavu uliovuka mipaka. Zaidi ya uasherati hakuna sababu nyingine ya watu kuachana.
Una uhakika yale ni maneno ya Mungu.Hao watoto unaowakataza kwenda kusikia maneno ya Mungu ipo siku watakuinukia wakukate vipande vipande.
Wewe jamaa huwa unakurupuka sana katika kusoma au uwezo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo kama chawa.Wewe ni miongoni mwa watu wapumbavu kuwahi kutokea duniani. Unawaweka watoto wako katika wakati mgumu bila sababu ya msingi. Pia kuachana na mkeo kisa imani yake ni upumbavu uliovuka mipaka. Zaidi ya uasherati hakuna sababu nyingine ya watu kuachana.
Kwahiyo unaenda Kanisani/mskitini ili ukifa uzikwe ? Kwani ukishakufa hata wasipokuzika au wakikutupa wewe kwako itakuw na faida gani ilhali hauelew chochote na haupo Duniani ?Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
hilo waachie ndugu zake watajuaUkifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Huyu ananyima watoto ile social capital.Mimi cha kwangu nilikaacha kaende ,kwa sababu kalikua na bibi yake.,ila nilishangaa siku moja kaliniambia dini ina kautapeli , nilishangaa sana😁😁😁
Mfano wewe una uhakika kuwa mama yako mzazi ndie huyo kuwa labda walikuokota jalalani baada ya kutelekezwa na mama yako halisiUna uhakika yale ni maneno ya Mungu.
Yaani yeye atuambie kuwa samehe saba mara sabini ila adam na Eva walikuwa tunda moja tu tena walimegeana ila hakuwasamehe mwishowe katoa laana mpaka kizazi na kizazi kina laana ya kuhasi.
Ni uongo tu wakenya wanasema hizo ni stori za jaba
Ndio brain washing yenyewe hii..Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
ndio mshahara anaotafuta.....Hao watoto unaowakataza kwenda kusikia maneno ya Mungu ipo siku watakuinukia wakukate vipande vipande.
Kitu siwezi kufanya ndio hicho japo sina dini mimi, mwanangu wa kiume yeye kachagua kuwa mkristo wa kike naona anapenda uislamu kama bibi yake.Huyu ananyima watoto ile social capital.
Watashindwa kuchangamana na watu....
Mwishowe wakose fursa za muhimu
Ajiulize yeye alipokuwa mdogo alilazimishwa kutokwenda kanisani?
Sawa alilazimishwa kwenda, ila watu wanaona kwenda ndo vizuri, hawakuona ni kosa.
Ajiulize ni watu wangapi aliweza kuwa nao karibu kupitia dini, aidha kukutana kanisani au kupiga stori tu....
Naungana na mtoa mada, Samaki mkunje angali mbichi.....Waache waendelee kwenda tu
Dini sio kuhusu kwenda mbinguni tu, ni sehemu ya maisha.
Fikiria watoto wako wakiwa shule wanaambiwa wasali au waende kwenye vipindi vya dini, wataanzaje kujieleza kwamba sio waumini?
Wakiwa na marafiki zao, au ndugu?
Waache wakue kwanza. Kama ni wakubwa kwenye rika la chuo hivi ndo watachagua wenyewe, usiwalazimishe.
Huo ni ushauri kutoka kwa mpinga dini mwenzako....
Wa kwangu hakuna anayejua kanisa linafananaje wala Msikiti. Nina majembe yenye Tabia njema, upendo na akili tele.Mimi cha kwangu nilikaacha kaende ,kwa sababu kalikua na bibi yake.,ila nilishangaa siku moja kaliniambia dini ina kautapeli , nilishangaa sana😁😁😁
Na hifadhi comment yangu kwa sasa.Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Mkuu, ningepata mda wa kuishi nao wangekua kama mimi ila binafsi sioni kama ni vibaya watoto wakichangamana na wenzao.Wa kwangu hakuna anayejua kanisa linafananaje wala Msikiti. Nina majembe yenye Tabia njema, upendo na akili tele.
Unahitaji kuwalisha watotp chakula bora, kuwasomesha na kuwafundisha kufanya kazi kwa bidii kwa vitendo.
Hakika Mbinguni wanaenda.
Malaya, mafisadi, mashoga, wezi na matapeli wanaahidna makanisani na misikitini. Na wengine wanasema kabisa nitalawiti yule then nikaombe msamaha😅😅😅