Nimepotea naona giza kwa hii anasa

Hapendi analofanga, muite mumcharaze hizo bakora 100. Aombe msamaha na umuozeshe binti yako.
 
Pole sana.

1. Usithubutu kuoa.
Eti ili uache kununua malaya
Kwanza wengi waliooa na kuolewa ndio
wanaongoza kula na kuliwa saana.

Indirect walioolewa ndio wauzaji
(Michepuko mingi na kugongwa nje Kwa
Sana).

Kwahiyo utaoa na kutokana na
changamoto za ndoa utajikuta kwenye
hali mbaya zaidi ya tatizo lako.

Oa utakuwa umeolea wenzako.

2. Tafuta mpenzi kitaa. Tongoza, usiogope.
Wanawake wanapenda kutongozwa. Tongoza hata 20 huwezi kosa wawili watatu.

3. Tafuta kitu cha kufanya kama mazoezi, stori na washkaji, movies, games, jifunze vitu vipya Kwa kusoma au kuuliza. Muda mwingi uwe na dhumuni pia malengo. Jipende Pia

4. Muombe Mungu awe pamoja nawe siku zote.
 
Achukue huu ushauri aufanyie kazi Nina imani utamsaidia
 
Ok Shukran
 
Ok Shukran
 
Ok Shukran
 
Ushauri Wa Kishikaji Sana Nimekusoma
 
Wapelekee moto kijana.. ndio mda wake huu.

Baadae utatulia. Trust me.
 
Huu ushauri unafiti kote kote
 
But kipi ni Bora uwe hivyo as man au gay...shukuru unahulka hiyo .kunawengine hawana hisia na wanawake ..wamegueka wao kuwa wanawake
 
Dogo unaswali kwa mazoea na sio kiimani.

Au na nyie mna sala za kukalili kama wakatoliki. ??
Haimaanishi Ukisal Hutokosea,nabii Musa Licha Ya Kuwa Nabii Na Kuswal Bado Aliuwa Mtu Hisia Zilimtawala.Ndo Maumbile Ya Bin Adam Yalivyo
 
Acha Utapeli Mkuu Hiyo Tabia Haihitaji Maombi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…