Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Salaaam Wakurungwa,
Katika harakati zangu za mtu mweusi nimejikuta nikiishi mitaa isiyopungua mitano katika mikoa tofauti tofauti. Harakati zangu zimenifanya kila nikihamia mtaa niwatafute viongozi wa Serikali za Mitaa kupata huduma mbalimbali. Kautafiti kangu kwa mitaa yote niliyopita ofisi zote nimehudumia na Madingi tu, na Ofisi moja tu nilihudumiwa na mmama.
Sijawahi bahatika kumkuta kijana akishika nafasi ya Uongozi wa Serikali za Mtaa kwa huko nilikopita. Kwanini wana hatushobokei nafasi hizi? Au nyie ndo kama mimi Mzee wa sijihusishi na siasa?
Katika harakati zangu za mtu mweusi nimejikuta nikiishi mitaa isiyopungua mitano katika mikoa tofauti tofauti. Harakati zangu zimenifanya kila nikihamia mtaa niwatafute viongozi wa Serikali za Mitaa kupata huduma mbalimbali. Kautafiti kangu kwa mitaa yote niliyopita ofisi zote nimehudumia na Madingi tu, na Ofisi moja tu nilihudumiwa na mmama.
Sijawahi bahatika kumkuta kijana akishika nafasi ya Uongozi wa Serikali za Mtaa kwa huko nilikopita. Kwanini wana hatushobokei nafasi hizi? Au nyie ndo kama mimi Mzee wa sijihusishi na siasa?