mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
-
- #41
Mkuu nipo serious sana na kampuni tayari na baadhi ya leseni tayari na pia naangalia fursa iliyopo mbele, kutengeneza leseni yeyote siyo ishu maadamu itafanya kazi, so lete tender tuWewe jamaa naona umeamua tu kuja hapa kuchangamsha watu. Kama hayo mambo huyajui nini kilikutuma kusajili kampuni? Kuna comment yako umesema upo tayari kusupply chochote ikiwemo kujenga barabara. Sasa wewe hujui kila biashara ina leseni yake? Ina maana una leseni nyingi zaidi ya 5? Acha fiksi bro. Inakera sana kusoma ujinga ujinga wako kwenye jambo serious kama hili.
Pamoja sana, nimejifunza kitu hapaNgoja waje wataalam watakuelezea hapo coz mimi sio mtaalam wa haya mambo ila kuna ofisi niliwahi kuwepo nilikua nashuhudia vile bid zinavyofanyika.
Inshort hizo tender huwa zinakuja na maelezo kamili pamoja na vigezo na masharti yake then wewe utapitia utaona kama uko na hivyo vigezo vya kuitekeleza hiyo tender na ukishajiridhisha basi unaandaa proposal then unaituma.
Toa upumbavu hapa.Mkuu nipo serious sana na kampuni tayari na baadhi ya leseni tayari na pia naangalia fursa iliyopo mbele, kutengeneza leseni yeyote siyo ishu maadamu itafanya kazi, so lete tender tu
Kazi zote zitakuwa halali, ila je kutoa chochote ili kupata chochote kwani ni vibaya?Hapo cha kukushauri usifanye biashara haramu, wala kutoa au kupokea RUSHWA.
Otherwise piga kazi ili mradi tu iwe halali
Usisite kukaa na waliokutangulia uone jinsi wanavyoandaa hizo proposal coz shida kubwa ni hapo kwenye kuandaa proposal pia unatakiwa utengeneze connection na watu kadhaa wa ndani... maana ushindani huwa ni mkubwa lakini wateule huwa wanajulikana.Pamoja sana, nimejifunza kitu hapa
Kampuni inahusu nini?Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Ushauri wa bure katafute tenda private sector sio serikalini, ninawajua watu ambao wamesupply bidhaa na huduma serikalini ni miaka sasa imepita kulipwa imekuwa mtihani. Mmojawapo mtaji umekatika na company ipo juu ya mawe. Ila kama ndo wito ulopewa na Mungu haya kila la kheri.Kwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Ingia kwenye industry ya tailoring services. Unapiga uniform za hospitality, security, safety kitsMkuu nipo serious sana na kampuni tayari na baadhi ya leseni tayari na pia naangalia fursa iliyopo mbele, kutengeneza leseni yeyote siyo ishu maadamu itafanya kazi, so lete tender tu
ToaKazi zote zitakuwa halali, ila je kutoa chochote ili kupata chochote kwani ni vibaya?
πππππ€£π€£π€£π€£
πIngia kwenye industry ya tailoring services. Unapiga uniform za hospitality, security, safety kits
Yaani sasa hivi sioni sisikii na hizo tenda, yaani hata sijui kuna niniUshauri wa bure katafute tenda private sector sio serikalini, ninawajua watu ambao wamesupply bidhaa na huduma serikalini ni miaka sasa imepita kulipwa imekuwa mtihani. Mmojawapo mtaji umekatika na company ipo juu ya mawe. Ila kama ndo wito ulopewa na Mungu haya kila la kheri.
General companyKampuni inahusu nini?
Nitakaa nao ila nimeambiwa kuna wataalamu wanaotayarisha hizi tenda na wanapatikana humo humo kwenye tenda , yaani kwa kweli nimepania kweli kweliUsisite kukaa na waliokutangulia uone jinsi wanavyoandaa hizo proposal coz shida kubwa ni hapo kwenye kuandaa proposal pia unatakiwa utengeneze connection na watu kadhaa wa ndani... maana ushindani huwa ni mkubwa lakini wateule huwa wanajulikana.
Bila shaka na wewe una kampuni sasa umeona labda nakuja kuharibu? Kila moja atapata riziki yake, wacha makasirikoToa upumbavu hapa.