jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Mkuu naomba maekezo zaidi kuhusu hili suala la proprietors na partnerships linafanyikajeTuanze na haya maswali hapa:
1. Kwanini mmesajili kampuni?
2. Hao wamiliki wenzako mmekosa mawazo yakujua muanzie wapi?
Ila naona kama mmekimbilia mbali sana kusajili kampuni, wengi wanafikiri tenda za serikali lazima kuwe ni kampuni ila bado zipo tenda wanaingia proprietors na partnerships pia. Kampuni ni gharama zisizo na ulazima hasa kwa wanaoanza.
Samahani mchango wangu upo nje kidogo ya uhitaji wko ila nimeona nikupe alarm kichwani Mkuu.
Utakuja kutusimulia, hahaNikishaliwa si na mimi nitakula? Au ndio niliwe mie tu?
Tenda nyingi za halmashauri naona zinakubali hizo aina za wafanyabashara, sasa sijajua unataka kufahamu kitu gani Mkuu labda ufafanue swali lako kiongoziMkuu naomba maekezo zaidi kuhusu hili suala la proprietors na partnerships linafanyikaje
Hakika.Azingatie sana huu ushauri.
Maana anaweza akawa anaomba ushauri kwa watu ambao hata kazi hawana wala ajira wala biashara wapo wapo tu.
Tunadai madeni 2023/2024 serikali inadhurumuKuna kamsemo kamoja kutoka Kwa gwiji Mmoja wa siasa za bongo kanafanana na "Liwa kwanza ndio ule"
Huko lazima uwe na pesa na uwezo wa kisaamehe madeni pia, huko sio kama biashara za sokoni lipa kwanza ndio update huduma au bidhaa. Huko toa huduma tukutane mwakani na Chao walishachukua mapema.
Kila mkuu akibadirika utaanza kudai Mwanzo Kwa kuonesha vielelezo unaweza kwenda Hata miaka mitano. Ila uhakika serikali haidhurumu mtu.
Aaah hiyo ngumu bwasheeUtakuja kutusimulia, haha
Jenga uhusiano na CCMKwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Yaani mkuu hapa ndio umenichanganya kabisa, hivi kumbe ningepata tenda ya serikali bila kuwa na kampuni?Tuanze na haya maswali hapa:
1. Kwanini mmesajili kampuni?
2. Hao wamiliki wenzako mmekosa mawazo yakujua muanzie wapi?
Ila naona kama mmekimbilia mbali sana kusajili kampuni, wengi wanafikiri tenda za serikali lazima kuwe ni kampuni ila bado zipo tenda wanaingia proprietors na partnerships pia. Kampuni ni gharama zisizo na ulazima hasa kwa wanaoanza.
Samahani mchango wangu upo nje kidogo ya uhitaji wko ila nimeona nikupe alarm kichwani Mkuu.
Sidhani kama inadhulumu labda ni hawana pesa tu,Tunadai madeni 2023/2024 serikali inadhurumu
Nataka tenda za serikali, sitaki za chama, huko kuna wenyeweJenga uhusiano na CCM
Chama kitatoa maagizo serikalini,Nataka tenda za serikali, sitaki za chama, huko kuna wenyewe
Mkuu mahindi hayaoti mjiniKwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Hapo umeongea sasa, ishu ni namuanzeje sasaMkuu ungetwambia unataka tender zipi?
Labda jaribu ujenge urafiki na yule bwana wa Trab na Trap!
Sijui lakini!
Asante, ngoja nichanfamkie hizi tuone itakuweje ingawa nyingi mda umetupa mkonoHizi hapa ushindwe wewe tu
Pole humu JF yamejaa mambula tupu na bodaboda wehu
yamepeleka uzi fasta page kadhaa kuongea utumbo tupu
Tanzania Tenders | Tanzania Government Tenders | PPRA Tanzania Tenders
547 records found for Tanzania Tenders 2021 - Find latest updates on tenders from various dept of Tanzania Govt like: bank of Tanzania Tenders, Tenders Tanzania TANESCO, tender MPYA Tanzania, Tanroads tenders, TANEPS Tanzania and world vision Tanzania Tenders.www.tendersontime.com
View attachment 3066492
Tenders Tanzania
Find a wide range of the latest tenders in Tanzania at Online Tenders.www.onlinetenders.co.za
View attachment 3066493
1. Hakikisha una comply na sheria kanuni na taratibu, mfano leseni ya biashara, TIN, tax clearance etcKwa anaejua, ili nianze kupata tender za serikali natakiwa nianzie wapi?
Tafadhali sana
Karibuni
Sawa vizuri sana na nikubali kuliwa ili nami nile au sio?1. Hakikisha una comply na sheria kanuni na taratibu, mfano leseni ya biashara, TIN, tax clearance etc
2. Jiunge na mfumo manunuzi w serikali yaani NeSt kama hujui tafuta kijana anayeweza kukufanyia hiyo kazi na inatakiwa most of the time awe anachungulia tender zilizitangazwa.
3. Tender nyingine huwa zinatolewa na single source fika ofc husika km inafikika kuweka nazingira.
4. Usiwe na mkono wa birika kwa maafisa manunuzi.