mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Dah! kaazi kwelikweli.Nilidhani unashangaa professa kusali kabisa.
Yani mtu amesoma halafu bado anaamini akifumba macho kuna invisible man hewani huko juu ya mawingu anamsikiliza na atakuja kumsaidia???
Kweli sisi bado tuna unyani fulani ndani yetu.
Ndomaana wanasema DNA ya Binadamu na ya nyani vinapishana 2% tu
Tobaa!Kumshangaa MTU anamwabudu mama maria mtakatifu ni sawa kumshangaa MTU anamsujudu Muhammad aliyekuwa na totoz kibao.Mi naona kila MTU asimamie imani yake
Ni miongoni mwa watakatifu wachache waliopalizwa mbinguni wakiwa hai.Alikwenda wapi Sasa kama hakufa ?
Allah anapenda kuwa lonely,Ndio , ni Muumba mbingu , Ardhi vilivyomo na viumbe wote hana mshirika , hafanani na kitu wala kiumbe chochote ndiye muangalizi na muendaeshaji wa ulimwengu wote.
Yani unakuta unaamini na unaona maji ya H2O vitu vitatu unakubali ndio ukamilifu wa majiWewe unamshangaa profesa,na Mimi nakushangaa wewe.
Fanya marekebisho Yesu sio mungu.
Yohana 5:37
"Naye baba aliyenituma amenishuhudia.Sauti yake hamkuisikia wakati wowote.wala SURA yake hamkuiona ."
Sent using Jamii Forums mobile app
Qur'an 3:161Ila alieandika Koran 😂😂😂 Allah anawachamba watu balaa 😂😂😂
Chupi imepotea wafuasi wa muhammad wanasema Muhammad kaiba , badala Allah amtaje Alie iba ana wachamba tu
Koran 3:161. Haisihi kuwa Nabii yeyote kukhuni katika ngawira kama walivyo eneza kwa uzushi wanaafiki waongo.... Tafsir al-Jalalayn 3:161 When some red velvet cloth went missing on the Day of Badr and some people began to say ‘Perhaps the Prophet took...
Acha kuleta Koran fake, nimekuwekea mpaka tafsir nenda kasomeQur'an 3:161
Na haiwezekani kwa nabii yeyote kufanya khiyana.na atakayefanya khiyana,atayaleta siku ya kiyama aliyoyafanyia khiyana Kisha kila mtu atalipwa kwa aliyoyachuma,kwa ukamilifu Wala hatodhulumiwa
Qur'an gani unatumia!?
Unahangaika Sana na Qur'an mzee,wewe siyo wa kwanza, hahahaaa uliokota wapi ile Aya!?..poleAcha kuleta Koran fake, nimekuwekea mpaka tafsir nenda kasome
Aya ilishuka sababu ya Muhammad kuiba chupi nyekundu
Allah badala amtaje mwizi anawachamba waliomwambia Muhammad kaiba
Soma vizuri na soma tafsir ya Kwanini Aya ilishuka kama kingereza hujui semaUnahangaika Sana na Qur'an mzee,wewe siyo wa kwanza, hahahaaa uliokota wapi ile Aya!?..pole
Pole mzee,tafuta Aya nyingineSoma vizuri na soma tafsir ya Kwanini Aya ilishuka kama kingereza hujui sema
Koran 3:161. Haisihi kuwa Nabii yeyote kukhuni katika ngawira kama walivyo eneza kwa uzushi wanaafiki waongo.... Tafsir al-Jalalayn 3:161 When some red velvet cloth went missing on the Day of Badr and some people began to say ‘Perhaps the Prophet took...
Muache aseme,wapo atakowasaidia kutoka gizani. Watakaoona ni Sawa kuamini katika Maria pia waendelee kuutumia uhuru wao kuamini hivyo.Unadhani Execute una cha kuwasilisha katika jamii ya kikristo ya catholic kuhusu Mariam ukaeleweka au ukabadilisha mtazamo walio nao kuhusu Maria.
Au unadhani wewe ndie ulie na ufahamu mkubwa wa biblia kuliko wengine wote na kwamba wewe ndie sasa unakua mkombozi wa wengi walio kwenye upotofu kwa mijibu wako?
Kama ni imani ambayo haina mahusiano na wewe au haina athari na wewe unaweza ukaachana nao tu .
Maana imani na dini na madhehebu yapo kila mahali na kila jamii na kila mmoja wao ana mafundisho ya aina yake yasiyo ingiliana na wengine na maisha yanaendelea.
Huwezi kuongeza au kupunguza kitu kwenye mjadala wa Maria kuhusu kuwa mama wa Mungu , huo mjadala ulishajadiliwa miaka na miaka karne na karne, ulileta athari mpaka kutokea kugawanyika kwa kanisa katoliki la rumi na kanisa katoliki la mashariki.
Pamoja na hayo ni zaidi ya miaka 1000 sasa Maria anatajikana kama mama wa Mungu so usidhani kwamba wewe ndie uko bora zaidi kuliko wengine wote au Mungu anae ona hayo na kuyaacha yaendelee.
Kwanza ndg umeshanipoteza yesu ni binadam ila kristo ni mwana wa mungu?Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.
Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.
Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?
Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.
Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.
Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Kuheshimu haimaanishi kuwa upotofu usisemwe!Ume
Umenena vema kiongozi nimalize kwa kusema Kila mtu aheshimu dini ya mwenzake
Pole Sana 😂😂😂😂 ndio hivyo fikiria watu wa karibu na Muhammad wanasema kaiba chupi kutoka kwenye ngawira,Pole mzee,tafuta Aya nyingine
Ufahamu wa Mungu hautegemei ufahamu wa dunia hii. Unaweza ukawa na PhD ya dunia hii lakini ukawa Kindergarten Kwa habari ya Mungu na ufalme wake. Uprofesa sio tija.Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.
Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.
Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?
Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.
Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.
Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
It is not for a prophet to defraud,and whoever defrauds shall bring with him fruits of his fraud on the day of resurrection,when every human being shall be paid in full what he has earned,and shall not be wrongedSoma vizuri na soma tafsir ya Kwanini Aya ilishuka kama kingereza hujui sema
Koran 3:161. Haisihi kuwa Nabii yeyote kukhuni katika ngawira kama walivyo eneza kwa uzushi wanaafiki waongo.... Tafsir al-Jalalayn 3:161 When some red velvet cloth went missing on the Day of Badr and some people began to say ‘Perhaps the Prophet took...
Hapa kwa kweli waitaly walituwezaNgoja niweke kapicha cha kusindikizia uzi , watu wanaacha kuabudu Mungu wa kweli Kazi kuabudu viumbe wenzao #InasikitishaSanaView attachment 2465677
Nb: Huyo picha siyo mtajwa katika uzi bali ni mfano tu jinsi gani watu wanavyoabudu kivyao kama content ya uzi unavyosema.
Acha kutumia Koran fakeIt is not for a prophet to defraud,and whoever defrauds shall bring with him fruits of his fraud on the day of resurrection,when every human being shall be paid in full what he has earned,and shall not be wronged
Kama mtu alikufa na Allah akatoa codes zake za kufufua kwa kupiga na pande la nyama ya ng'ombe 😂😂😂Pole mzee,tafuta Aya nyingine