Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

Nilidhani unashangaa professa kusali kabisa.

Yani mtu amesoma halafu bado anaamini akifumba macho kuna invisible man hewani huko juu ya mawingu anamsikiliza na atakuja kumsaidia???

Kweli sisi bado tuna unyani fulani ndani yetu.
Ndomaana wanasema DNA ya Binadamu na ya nyani vinapishana 2% tu
Dah! kaazi kwelikweli.
Nimecheka kweli
 
Ndio , ni Muumba mbingu , Ardhi vilivyomo na viumbe wote hana mshirika , hafanani na kitu wala kiumbe chochote ndiye muangalizi na muendaeshaji wa ulimwengu wote.
Allah anapenda kuwa lonely,

Kwani wewe unafanana na nani?
 
Wewe unamshangaa profesa,na Mimi nakushangaa wewe.

Fanya marekebisho Yesu sio mungu.

Yohana 5:37

"Naye baba aliyenituma amenishuhudia.Sauti yake hamkuisikia wakati wowote.wala SURA yake hamkuiona ."

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unakuta unaamini na unaona maji ya H2O vitu vitatu unakubali ndio ukamilifu wa maji

Jua lina object , joto na mwanga na unakubali

Ila Mungu akisema Kuna baba mwana na Roho mtakatifu unakataa

Mungu ata aseme amejigwa mara million 5 haibadilishi kitu yeye ni muweza wa yote
 
Ila alieandika Koran 😂😂😂 Allah anawachamba watu balaa 😂😂😂

Chupi imepotea wafuasi wa muhammad wanasema Muhammad kaiba , badala Allah amtaje Alie iba ana wachamba tu

Koran 3:161. Haisihi kuwa Nabii yeyote kukhuni katika ngawira kama walivyo eneza kwa uzushi wanaafiki waongo.... Tafsir al-Jalalayn 3:161 When some red velvet cloth went missing on the Day of Badr and some people began to say ‘Perhaps the Prophet took...
Qur'an 3:161
Na haiwezekani kwa nabii yeyote kufanya khiyana.na atakayefanya khiyana,atayaleta siku ya kiyama aliyoyafanyia khiyana Kisha kila mtu atalipwa kwa aliyoyachuma,kwa ukamilifu Wala hatodhulumiwa
Qur'an gani unatumia!?
 
Qur'an 3:161
Na haiwezekani kwa nabii yeyote kufanya khiyana.na atakayefanya khiyana,atayaleta siku ya kiyama aliyoyafanyia khiyana Kisha kila mtu atalipwa kwa aliyoyachuma,kwa ukamilifu Wala hatodhulumiwa
Qur'an gani unatumia!?
Acha kuleta Koran fake, nimekuwekea mpaka tafsir nenda kasome


Aya ilishuka sababu ya Muhammad kuiba chupi nyekundu

Allah badala amtaje mwizi anawachamba waliomwambia Muhammad kaiba
 
Acha kuleta Koran fake, nimekuwekea mpaka tafsir nenda kasome


Aya ilishuka sababu ya Muhammad kuiba chupi nyekundu

Allah badala amtaje mwizi anawachamba waliomwambia Muhammad kaiba
Unahangaika Sana na Qur'an mzee,wewe siyo wa kwanza, hahahaaa uliokota wapi ile Aya!?..pole
 
Unahangaika Sana na Qur'an mzee,wewe siyo wa kwanza, hahahaaa uliokota wapi ile Aya!?..pole
Soma vizuri na soma tafsir ya Kwanini Aya ilishuka kama kingereza hujui sema

Koran 3:161. Haisihi kuwa Nabii yeyote kukhuni katika ngawira kama walivyo eneza kwa uzushi wanaafiki waongo.... Tafsir al-Jalalayn 3:161 When some red velvet cloth went missing on the Day of Badr and some people began to say ‘Perhaps the Prophet took...
 
Soma vizuri na soma tafsir ya Kwanini Aya ilishuka kama kingereza hujui sema

Koran 3:161. Haisihi kuwa Nabii yeyote kukhuni katika ngawira kama walivyo eneza kwa uzushi wanaafiki waongo.... Tafsir al-Jalalayn 3:161 When some red velvet cloth went missing on the Day of Badr and some people began to say ‘Perhaps the Prophet took...
Pole mzee,tafuta Aya nyingine
 
Unadhani Execute una cha kuwasilisha katika jamii ya kikristo ya catholic kuhusu Mariam ukaeleweka au ukabadilisha mtazamo walio nao kuhusu Maria.

Au unadhani wewe ndie ulie na ufahamu mkubwa wa biblia kuliko wengine wote na kwamba wewe ndie sasa unakua mkombozi wa wengi walio kwenye upotofu kwa mijibu wako?

Kama ni imani ambayo haina mahusiano na wewe au haina athari na wewe unaweza ukaachana nao tu .

Maana imani na dini na madhehebu yapo kila mahali na kila jamii na kila mmoja wao ana mafundisho ya aina yake yasiyo ingiliana na wengine na maisha yanaendelea.

Huwezi kuongeza au kupunguza kitu kwenye mjadala wa Maria kuhusu kuwa mama wa Mungu , huo mjadala ulishajadiliwa miaka na miaka karne na karne, ulileta athari mpaka kutokea kugawanyika kwa kanisa katoliki la rumi na kanisa katoliki la mashariki.
Pamoja na hayo ni zaidi ya miaka 1000 sasa Maria anatajikana kama mama wa Mungu so usidhani kwamba wewe ndie uko bora zaidi kuliko wengine wote au Mungu anae ona hayo na kuyaacha yaendelee.
Muache aseme,wapo atakowasaidia kutoka gizani. Watakaoona ni Sawa kuamini katika Maria pia waendelee kuutumia uhuru wao kuamini hivyo.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Kwanza ndg umeshanipoteza yesu ni binadam ila kristo ni mwana wa mungu?
 
Pole mzee,tafuta Aya nyingine
Pole Sana 😂😂😂😂 ndio hivyo fikiria watu wa karibu na Muhammad wanasema kaiba chupi kutoka kwenye ngawira,

Allah badala aseme nani kaiba yeye anasema Muhammad hajaiba ma kuwachamba waliosema
 
Moja kati ya mambo ambayo yapo wazi kabisa katika biblia ni maelekezo ya namna maombi yanatakiwa kufanywa. Agizo la maombi lipo very open.

Yesu Kristo alisema mara nyingi sana kwenye injili ya Yohana kwamba tuombe kwa jina lake. Mtume Paulo ameandika tufanye yote katika jina la Yesu Kristo.

Sasa profesa ambaye ameandika paper kibao na amefanya literature review za kutosha ameshindwa kusoma biblia kufahamu tunapaswa kuomba kwa jina gani?

Hakuna sehemu hata moja mitume waliomba kwa jina la Maria. Yule Maria mama wa Yesu alikaa pamoja na mitume na walijazwa Roho Mtakatifu pamoja na wakanena kwa lugha.

Maria alimzaa Yesu lakini hakumzaa Mungu. Kuna tofauti kati ya Yesu na Kristo. Maria sio mama wa Mungu bali ni mama yake Yesu. Yesu ni mwanadamu na Kristo ni Mwana wa Mungu.

Hivyo Yesu Kristo ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja. Asomaye na afahamu.
Ufahamu wa Mungu hautegemei ufahamu wa dunia hii. Unaweza ukawa na PhD ya dunia hii lakini ukawa Kindergarten Kwa habari ya Mungu na ufalme wake. Uprofesa sio tija.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Soma vizuri na soma tafsir ya Kwanini Aya ilishuka kama kingereza hujui sema

Koran 3:161. Haisihi kuwa Nabii yeyote kukhuni katika ngawira kama walivyo eneza kwa uzushi wanaafiki waongo.... Tafsir al-Jalalayn 3:161 When some red velvet cloth went missing on the Day of Badr and some people began to say ‘Perhaps the Prophet took...
It is not for a prophet to defraud,and whoever defrauds shall bring with him fruits of his fraud on the day of resurrection,when every human being shall be paid in full what he has earned,and shall not be wronged
 
It is not for a prophet to defraud,and whoever defrauds shall bring with him fruits of his fraud on the day of resurrection,when every human being shall be paid in full what he has earned,and shall not be wronged
Acha kutumia Koran fake

Embu weka
Asbab al-Nuzul ya verse husika
 
Pole mzee,tafuta Aya nyingine
Kama mtu alikufa na Allah akatoa codes zake za kufufua kwa kupiga na pande la nyama ya ng'ombe 😂😂😂

Alishindwa Nini kumtaja Alie iba chupi kama so Muhammad?

Kwa Musa alipiga na nyama mbichi ya ng'ombe kama wa Hindu

Koran 2:73. Tukasema: Mpigeni kwa kipande chake (huyo ng'ombe). Ndivyo hivi Allah huwahuisha wafu;
 
kiufupi mme changanyikiwa.hamueleweki🤣🤣🤣 Kuna jinga linaitwa mokiti ndio mfano wawatu wote mlivyo.
 
Back
Top Bottom