Nimeshangaa Mufti kuongea maneno ya kujipendekeza kuwa Rais awasamehe kina Mbowe

Nimeshangaa Mufti kuongea maneno ya kujipendekeza kuwa Rais awasamehe kina Mbowe

Angalia coment ya sesten zakazaka hata mtoa maada akiisoma atajiona kaachwa uchi na anaweza kufuta andiko lake akaja na maada mpya kurekebisha alipo kosea ila wewe unahamisha mjadala na kuvuruga kuvuraga kabisa Hongera sana zakazaka. Prof koboko kwenye kuandika au kuongea unaweza ukapoteza maana ya kila kitu ulichokusudia kwa kuweka neno moja tu. Kuna watu hawana elimu ila wana ushauri wa kiwango cha juu kuna watu wana elimu ya mdrasa ila wana upeo wa kiwango cha juu and the vise vesa is true kuna ma profesor ila upeo zero na wengi tumewashuhudia. Heshim elimu za watu heshimu upeo dini za watu.
Mfano, kwa wakristo hata akitokea mjinga na mpumbavu mmoja wa imani na dini yoyote akaweka kiti chake juu ya mlima Kilimanjaro na vipaza sauti vyake na kuanza kumtukana Mungu ama Yesu Kristo mchana kutwa na usiku kucha , nakuhakikishia hakuna mkristo yeyote atakayemjali mjinga na mpumbavu huyu kwa sababu maneno au matusi yake hayabadili au kupunguza ama kuongeza chochote katika imani yao....

Ndugu unakumbuka chanzo cha mauaji ya Mwembechai wakati wa Urais wa Benjamin Mkapa?
 
Una msongo wa mawazo

Hii ni stress mbaya sana

Mpaka Leo umekuwa mtu mzima bado unaandika kama mtoto wa chekechea

Hakika una msongo wa mawazo
Yamekuingia. Ndii ndi ndi. Uki beep tunapiga, hutugeuzi la pili. Kumbuka hilo.

"Msongo" wangu mimi, wewe uumwe, makubwa haya!
 
Bibi yetu babu hakukufikishi udzungwa nini mbona kidomodomo sana?
Huwa unamuuliza na mama yako swali kama hilo?
Kwa sababu dalili kubwa ya uanaharamu ni hata akiingizwa kwenye pipa atatoa kidole.
 
Umejitahidi na umefanya kila njia ku "provoke" Waislam, wala huna haja ya kuuficha ujinga wako, upo wazi kabisa, kote kote, kuanzia Sunday School mpaka Kinywani mwako. Kuwa mkweli wa nafsi yako tu, tatizo lako sio Mufti, tatizo lako ni Samia Suluhu. Unaona donge mama wa Kiislaam leo hii kuwa ndio kashika turufu zote. Hilo la Mufti lilihusu nini "madrasa"? Fumbo mfumbie mjinga mwenzio.

Kumbuka tu, elimu ya madrasa haifundishi ukipigwa la kulia ugeuze na la kushoto. Elimu ya madrasa inafundisha kisasi ni haki. Umekuwapweza kujipapalia mkaa mwenyewe. Wewe kamaunatafita Waislam, walahatupo mbali, wala usipate shida za sunday school. Wanafunzi wa madrasa tupo hapa, kinaga ubaga.

Wewe huna elimu ya kushindana hata na mtoto wa mwaka wa kwanza wa madrasa. Unafundishwa nini Sunday School zaidi ya kila siku tunasikia mkilawitiana tu na mapadri na maaskofu, ndio maana hata hapa umeandika ushoga wako.

Ungejua maana ya neno "madrasa" usingeandika utumbo. Madrasa, Kiswahili chake ni madarasa.

Elimu iliyotoka huko ndio mpaka wewe leo unazo "alphabet" ambalo ni Alif Be Te.

Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - courtesy - JF Founder.

Punguani wahed.
Pamoja na matusi mengi, mtoa uzi siyo mkristo. Hapo vip!!
 
Totally Crap

Thibitisha hapa elimu ya mufti au onyesha cheti chake cha Kidato Cha nne,

Thibitisha hapa hii ni kesi ya kubumba,

Kelele bila uthibitisho unapoteza muda hapa JF

Unaokoteza habari za mitaani halafu unaunganisha na hisia na ndoto zako unasema Mufti hana akili, Wewe kama una akili kwanini unatumia fake ID hapa JF

Kama wewe unajiamini na una akili zaidi ya Mufti weka hapa Kitambulisho chako cha NIDA, Kadi ya kupiga kura, Leseni au passport ili tuone kweli wewe unajiamini kuliko Mufti

Wewe ni muoga namba moja ndio maana unatumia fake ID

Wewe hufai kuongoza hata familia yako bora hata ya Mufti anaongoza mamilioni ya watu na tunamuona

Sio kila ukiwashwa unakuja kuandika hapa JF

Ukiona povu limekuzidi Jaribu kulimwaga sehemu husika na sio kuendelea kudekia ndani utasababisha uterezi, Mtu mzima umejaa udini

Kwa hiyo Gwajima na ule mkono wa baunsa ndio tabia ya wakristo?

Kwa hiyo konyagi na upako ndio tabia ya wakristo?

Mimi ni mkatoliki lakini kwa huu utoto na ujinga Siungi mkono, Mapadre wetu wana watoto mitaani huko lakini hawana uhusiano na Imani yetu, Padre kuzaa hayo ni matakwa yake na Imani yake

Dkt Slaa alikuwa padre na Katibu wa baraza la maaskofu TEC akaamua kuoa hiyo haina uhusiano kuwa kila padre ana wanawake wakati wa utumishi wake
Wewe Ni mkatoliki feki.Wakatoriki hawakurupuki, hawatukani na si wabishi katika mambo yanayogusa imani ya mtu
 
Yamekuingia. Ndii ndi ndi. Uki beep tunapiga, hutugeuzi la pili. Kumbuka hilo.

"Msongo" wangu mimi, wewe uumwe, makubwa haya!
Huyu Mufti ni kilaza, mnafiki na zandiki, kama yule dalali ,Mbowe Hana kosa alilofanya likathibitika, FAM anatakiwa kurudishiwa haki yake ya Uhuru bila masharti, Hii yakusema eti wakirudia,wakirudia kufanya nini,upuuzi mtupu!
 
Nimemshangaa Mufti Abubakar Zuberi kwa maneno yake baada ya kukutana na Mhe Rais kuhusu Mhe Freeman Mbowe. Yaani kiongozi mkubwa kama mufti unaongea maneno ya uoga uoga na kujipendekeza eti Rais awasamehe kina Mbowe eti wakirudia tena wachukuliwe hatua.

Yaani kiongozi anayewaza adhabu tu wakati wote badala ya huruma na misingi ya tatizo ni mbaya sana. Huyu mufti ana roho mbaya sana pamoja na tunajua ndiyo ni kada wa CCM. Anajivunija tu heshima sana, sijui hajui nini aongee mobele ya macho ya umma. Au yawezekana haya mambo ya kimahakama hajui kitu na hata kesi zinazosemwa hazijui na hana uelewa nazo. Hivi hua hawangalii kina Dr Shoo wanaongeaje?

Unaambiwa mtu ameshtakiwa makosa yote ni kesi ya Kubumba wewe unaropoka tu, hujui kulimbikiza mtu kesi ni dhambi? Asemehewe amekosea kipi wakati hata hukumu bado? Wasubiri Mbowe afungwe jela kwa hukumu ndiyo waniombee msamaha.

Kiongozi mwenye busara angeomba busara zitumike katika kufungua na kuendesha kesi, maana yake kesi zisiendeshwe kisiasa. Eti mtu ananyanyuka bila hata haya wasamehewe, wamekosa nini?

Yaani yeye yupo kimaslahi tu hata delegations za nafasi yake hazijui. Mtu unazungumzia kitu hujui msingi wake wala outcome ya utakachosema unaropoka tu.

Kwakweli Waislam kwa huyu kiongozi tumepigwa. Hakuna kiongozi hapa na huu ndio ukweli. Ifike mahali uchaguaji viongozi wa nafasi uangalie wenye elimu zote, wenye experience kwenye mambo yote.

Siye hawa walimu wa madrassa ambao mtu anapewa nafasi hajui azungumze nini anajikuta anaropoka tu.

Sheikh Zuberi alichosema tofauti na wenziwe:

IMG_20220303_122227_245.jpg
 
Ujuha huo umeanza. Wala sikushangai, nilitegemea mtakuja wengi tu mlioenda kusomeshwa ujinga na kina Father Kit Cunningham.
Huyu Mufti amekosa adabu !! Eti wakirudia hilo kosa tena ndio uwachukulie hatua! Kwani Samia ni Mahakama? Huyu Mufti ashatumika!!

Wale mashehe na maustaadhi wa uamsho waliteseka miaka 8 ndani huyu alikaa kimya tuli kama anafinya ubwabwa!! Kuna mashehe kibao bado ndani!! Kuna 22,000 mahabusu bila dhamana miaka 2 hadi 6!! Eti mama waonee huruma, what a F**!
 
Hahahaha!!!!

Waislamu bhana mbona mnatumia mapungufu ya bible kuonyeshesha strength.

Au bila bible kuwa na mapungufu(amabayo kwa wenye bible yao wanajua sio mapungufu)
hamuwezi kuwa sahihi.

Kila mahali mkitaka kusema dini yenu ni bora lazima muanze kuusema kwanza ukristo
kati ya dini 3000 mmeona ukristo tu?
Hiyo principle mbona ipo wazi? Unawezaje kusoma hiki ni Kizuri kama hakuna kibaya? Au hichi kikubwa pasipo kulinganisha na kilicho kidogo? Ukisema huyu ni mweupe sn ni lazima umemlinganisha na aliye mweusi.

Kwa kupitia ulinganifu ndio utaona kwa uwazi uzuri na ubaya wa vitu. Rejea topic ya superative and comparative ya drs 4.
 
Prof Koboko hakuandika lolote la msingi dhidi ya Mufti. Mbowe ana kesi ya kujibu, mahakama imeshaamua, kwa hiyo kusema ni kesi ya kubumba ni kudharau mahakama. Kumtaka Rais afute kesi ni kuvunja katiba.

Kama ukweli huu haujaingia kichwani mwa CHADEMA basi lipo tatizo kubwa. Mbowe ni gaidi, ushahidi umeonyesha, kaambiwa ajitetee. Ndiyo maana Mufti anamuomba akiri kosa, asamehewe, lakini asirudie tena. Huu ndiyo msimamo wa Viongozi wa dini kwa Rais.
Kama iko hivyo kwa nini viongozi wa dini wakamwambie Rais? Mahakama ndiyo inashughulikia kesi, anatakiwa ajitetee, lakini kabla hajajitetea yanazuka mambo haya ya kipuuzi toka kwa wapuuzi.
Kama Mbowe ana kesi ya kujibu, kwa nini watu wasitulie akajibu?
Endapo majibu yake yatakosa mantiki mahakama itamfunga, akijibu vizuri mahakama itamwachia.
Huu upuuzi wa watu kujidai Wana huruma na Mbowe unatokana na siasa za kijinga zilizopo Tanzania.
Hata Raisi kuwasikiliza mpaka mwisho na kuondoka bila kusema chochote ni upuuzi mwingine, maana huko nyuma alishasema mahakama iachiwe. Kwa nini sasa bado anasikiliza upuuzi na kuacha uendelee?
Tunataka utetezi ufanywe, mbivu na mbichi zijulikane!!!!!!!
 
Nimemshangaa Mufti Abubakar Zuberi kwa maneno yake baada ya kukutana na Mhe Rais kuhusu Mhe Freeman Mbowe. Yaani kiongozi mkubwa kama mufti unaongea maneno ya uoga uoga na kujipendekeza eti Rais awasamehe kina Mbowe eti wakirudia tena wachukuliwe hatua.

Yaani kiongozi anayewaza adhabu tu wakati wote badala ya huruma na misingi ya tatizo ni mbaya sana. Huyu mufti ana roho mbaya sana pamoja na tunajua ndiyo ni kada wa CCM. Anajivunija tu heshima sana, sijui hajui nini aongee mobele ya macho ya umma. Au yawezekana haya mambo ya kimahakama hajui kitu na hata kesi zinazosemwa hazijui na hana uelewa nazo. Hivi hua hawangalii kina Dr Shoo wanaongeaje?

Unaambiwa mtu ameshtakiwa makosa yote ni kesi ya Kubumba wewe unaropoka tu, hujui kulimbikiza mtu kesi ni dhambi? Asemehewe amekosea kipi wakati hata hukumu bado? Wasubiri Mbowe afungwe jela kwa hukumu ndiyo waniombee msamaha.

Kiongozi mwenye busara angeomba busara zitumike katika kufungua na kuendesha kesi, maana yake kesi zisiendeshwe kisiasa. Eti mtu ananyanyuka bila hata haya wasamehewe, wamekosa nini?

Yaani yeye yupo kimaslahi tu hata delegations za nafasi yake hazijui. Mtu unazungumzia kitu hujui msingi wake wala outcome ya utakachosema unaropoka tu.

Kwakweli Waislam kwa huyu kiongozi tumepigwa. Hakuna kiongozi hapa na huu ndio ukweli. Ifike mahali uchaguaji viongozi wa nafasi uangalie wenye elimu zote, wenye experience kwenye mambo yote.

Siye hawa walimu wa madrassa ambao mtu anapewa nafasi hajui azungumze nini anajikuta anaropoka tu.
Msameheni kwani aliandaliwa kumbuka kwa Zitto na aliandaliwa ikabuma kwani waje kwa njia nyingine ili isizidi kumwingiza mtu ktk tope.
Kwani anatakiwa atoke kabla Lisu hajaja ili vuguvugu lisiwe kubwa ndo hapo tunamtoaje Mwamba kwa hiyo hii njia raisi kwao
 
Huyu Mufti amekosa adabu !! Eti wakirudia hilo kosa tena ndio uwachukulie hatua! Kwani Samia ni Mahakama? Huyu Mufti ashatumika!!

Wale mashehe na maustaadhi wa uamsho waliteseka miaka 8 ndani huyu alikaa kimya tuli kama anafinya ubwabwa!! Kuna mashehe kibao bado ndani!! Kuna 22,000 mahabusu bila dhamana miaka 2 hadi 6!! Eti mama waonee huruma, what a F**!
Basi angesema, wasamehe na wakirudia tena endelea kusamehe". Sawa sawa?
 
Huyu Mufti ni kilaza, mnafiki na zandiki, kama yule dalali ,Mbowe Hana kosa alilofanya likathibitika, FAM anatakiwa kurudishiwa haki yake ya Uhuru bila masharti, Hii yakusema eti wakirudia,wakirudia kufanya nini,upuuzi mtupu!
Tunaiachia mahakama. Mufti ndio kishasema yake. Lissu alisema nini alipokutana na Mama Samia Ubelgiji?
 
Back
Top Bottom