Nimeshangazwa na kauli ya Rais kudharau msimamo wa Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje

Mwaka 2025 ndio wakati muafaka kuwaondoa CCM chama kinachonuka ufisadi kila kona.
Ukishajijibu swali la “kwanini hawakung’oka mwaka 2020 (au 2010 na 2015 for that matter...) utaelewa kwanini hawatang’oka mwaka 2025

Efforts are being misplaced. Kizazi cha kulalamika tuu bila kuchukua hatua stahiki.
 
Yaani mtoto wa kike kumuita mwanaume nonsense
 
SISI KAMA CCM TUNATAKA WENZETU WAPIGAJI NA SIYO WAZARENDO, NDO MAANA HATA MAGUFURI TULIMUCHUKIA KWANI ALIENDEKEZA UZALENDO KULIKO KUTURUHUSU TUPIGE WAKATI TULIMUSAIDIA
 
Miaka yote nchini Tanzania kunakuwa na upungufu wa sukari, na lazima serikali inaagiza sukari nje ya nchi suala la waziri kusema hadharini kwamba hatotoa vibali wakati anajua lazima serikali itaagiza nje sio sahihi. Na pia kabla ya kusema hayo, walau angepata ushauri kutokana kwa kiongozi wa nchi, lile ni suala la diplomasia pia, sio biashara tu.
 
Ndo ubaya wa kuwapa Makatibu Muhtasi kuongoza nchi. Mara nyingi huwa hawana kifua. Ona sasa! Ungaunga mwana eti anaita maamzi ya Prof Nonsense kweli Madaraka yamekaa juu ya mabega sasa.
 


Tunapenda kelele. Sukari imeagizwa kutoka Uganda lakini zimeagizwa na makampuni ya sukari sio watu binafsi.
 
Ndo ubaya wa kuwapa Makatibu Muhtasi kuongoza nchi. Mara nyingi huwa hawana kifua. Ona sasa! Ungaunga mwana eti anaita maamzi ya Prof Nonsense kweli Madaraka yamekaa juu ya mabega sasa.
Laana ya uchaguzi. Je Mkemda jimbo lake alishinda au alipita kimagumashi?
 
Hivi wakati wa tumbua tumbua ulikuwa umezaliwa?
Wakati waziri mkuu anadhalilishwa kwenye kikao chake mwenyewe na wafanyabiashara ya korosho ulikuwa hospital?

Mwacheni mama afanye kazi , acheni chokochoko za kipuuzi!
Waziri mkuu aliambiwa nini, weka hapa maneno aliyoambiwa unayoita udhalilishaji tulinganishe.
 
SISI KAMA CCM TUNATAKA WENZETU WAPIGAJI NA SIYO WAZARENDO, NDO MAANA HATA MAGUFURI TULIMUCHUKIA KWANI ALIENDEKEZA UZALENDO KULIKO KUTURUHUSU TUPIGE WAKATI TULIMUSAIDIA
Nonsense
 
Maskini wengi Tz ni wakulima kwa kukosa soko la mazao yao. Uwepo wa viwanda unaongeza soko la mazao ya wakulima. Kitendo cha kuagiza sukari kutoka Uganda, kwa mfano, wakati viwanda vyetu vinapanuka ni kuua kilimo cha miwa na kuathiri wakulima.

Nosense decision
 
Bukoba mfuko wa sementi ya ni TZS 24,000, inahitajika sana, inatafutwa sana, haipatikani!.
Sementi ikiingizwa kutoka Kenya mfuko ni TZS 12,000!.
Kama tuna upungufu, why not?.

P
Waziri amesema anazuia uagizaji kama hakuna upungufu ili kulinda viwanda vyetu na soko la mazao (km kilimo, mifugo na uvuvi). Lakini Rais kamdharilisha kinyume na Ilani ya CCM, 2020 iliyokiingiza madarakani.

Katika miaka mitano ijayo, CCM itazisimamia Serikali zake ili ziendeleze juhudi za kuleta mageuzi ya kiuchumi kwa kuendelea kujenga Tanzania ya viwanda na uchumi fungamanishi, jumuishi na shindani unaotumia sayansi na teknolojia za kisasa na ambao unahimili utandawazi na unaoweza kutumia kikamilifu fursa zake kwa kuuza zaidi bidhaa za viwandani na bidhaa nyingine nje ya nchi. CCM inatambua fika kwamba ili kutimiza azma ya kujenga uchumi shindani wa viwanda na huduma, ni lazima kila Mtanzania afanye kazi kwa bidii, kujituma, na kutumia maarifa, hekima na ubunifu (Ilani ya Uchaguzi CCM, 2020, Sura ya Pili)
 

Attachments

  • VID-20211129-WA0010.mp4
    1.1 MB
  • VID-20211129-WA0011.mp4
    532.8 KB
Waziri amesema anazuia uagizaji kama hakuna upungufu ili kulinda viwanda vyetu na soko la mazao (km kilimo, mifugo na uvuvi). Lakini Rais kamdharilisha kinyume na Ilani ya CCM, 2020 iliyokiingiza madarakani.
Mkuu mwengeso , usemayo ni kweli, Waziri is right, hatuagizi bidhaa kama hakuna upungufu. Tanzania tuna upungufu wa sukari na upungufu wa sementi, hivyo japo siungi mkono matumizi ya neno nonsense, lakini Rais Sa100 is right kuruhusu sukari ya Uganda kuingia nchini kupunguza nakisi ya sukari. sasa bado kuruhusu cement ya Kenya, kuingia nchini kukabiliana na upungufu uliopo.
P
 
Bado Kuna uhaba ndo Mana sukari inapanda bei ovyo, mpaka 3200
Sawa Ila huwezi kumwita waziri wako nonsense! Km Kuna uhaba si ndiyo inaagizwa.

Mimi kimsingi sipingi sukari kuagizwa kwasababu sukari ya nje inapoingizwa sokoni inafanya hata bei inakuwa ya chini na upandishaji bei holela unakuwa haupo. Kwasababu sukari ya nje ni Bei nafuu sana.

Wao serikali ni kulinda viwanda vya ndani lkn tatizo hawana udhibiti wa bei. Sasa hivi watu wanapandisha bei wanavyojisikia. Unajiuliza ni gharama gani za uzalishaji zinaongezeka kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…