Tajiri mkopeshaji
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 613
- 1,445
Luca Graham-- 7 yearsZawadi ni kitu muhimu sana kwenye maisha ya Ndoa.
Ukikosa zawadi ya laki 1 mpelekee hata Ice cream ya Barhessa.
Huwa inasaidia sana kumfanya mwenza wako kuwa na furaha
Do you have a son with such a name?Luca Graham-- 7 years old
hapana ni nyimbo tuu bt ni nzuri sana nlimfahamu huyo msanii miaka 8 imepita bt nyimbo yake inaishi na inafunza.Do you have a son with such a name?
Usifanye nitafute Watoto wa Uzeeni Kwa jina hilo pia ๐
Okay.....nilidhani ni jina la Kijana wako ๐คhapana ni nyimbo tuu bt ni nzuri sana nlimfahamu huyo msanii miaka 8 imepita bt nyimbo yake inaishi na inafunza.
yaah bt ni nzuri sana ni moja ya nyimbo yake pekee yenye views bilion 1.5 ni story ya kila kijana anapokuwa mpaka anakuwa mzee.Okay.....nilidhani ni jina la Kijana wako ๐ค
Ngoja nami nim-google niweze kumfahamu
Ngoja niicheki soonyaah bt ni nzuri sana ni moja ya nyimbo yake pekee yenye views bilion 1.5 ni story ya kila kijana anapokuwa mpaka anakuwa mzee.
Hebu tumuone huyo mke tukushauri kulingana na mwonekano wakeWakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
asante hutojuta mfanyie hata mwanao ambae hajaingia kwenye majukumu kama dedication ni njema sana haahaa! inanitoaga machozi mda mwingine kuna vitu nawazaga ni vya kufanya mapema mana muda ndio huu.Ngoja niicheki soon
Shukrani Kwa kuniongezea jambo jipya
Rule namba moja: MKE HAPIGWIWakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba.
Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code zinazotokana na experince ni nzuri zaidi
Hizi ni nzuri ziwe experience ambazo Wakuu wau wanachama mmejifunza kwenye ndoa sio tu ushauri.
Barikiwa Mkuu ๐asante hutojuta mfanyie hata mwanao ambae hajaingia kwenye majukumu kama dedication ni njema sana haahaa! inanitoaga machozi mda mwingine kuna vitu nawazaga ni vya kufanya mapema mana muda ndio huu.
Tengeneza salary slip ya uongo, jifanye umeisahau mahali ambapo unajua ataiona.Hii asijuie kipato changu alivokingโangโanizi huyu si atanitoa koromeo na anajua nafanya kazi
๐๐๐๐ Japo nimecheka ila ni kweli.Kula maisha. Ndoa ni wewe unavyoiset. Ukipenda ugomvi utakuja, ukipenda amani furaha na maendelea yatakuja.
Makosa yote ya ndoa wa kulaumiwa huwa ni mwanaume. Mwanamke yeye ni fuata upepo tu
Wahaya ni tatizoKama babake ni m'mbulu mama ake muhaya, hakuna formula itakayo kusaidia hapo๐๐๐๐๐๐๐
Mwanangu we ni mwana๐๐๐๐ค๐ค๐คkunywa pepsi bigTengeneza salary slip ya uongo, jifanye umeisahau mahali ambapo unajua ataiona.
AmaaaWahaya ni tatizo
he he he he we jamaaa khaaah sasa maisha si yatakua magumu kwetuHakikisha anakutegemea na unamuongoza. Kuna mdau juu kasema kama anakuzidi hela, mfanyie fitina afukuzwe kazi au ashushwe cheo.