miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
Watengenezee banda la nje hao,Kupunguza kero najifanya naumwa ili watulie walau kidogo... Sofa wamevunja, nimewapambia kamti ka krismas kamenyofolewa kote sebule iko Kama karakana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watengenezee banda la nje hao,Kupunguza kero najifanya naumwa ili watulie walau kidogo... Sofa wamevunja, nimewapambia kamti ka krismas kamenyofolewa kote sebule iko Kama karakana
Wakienda nje nusu saaa nyingi mama we miss u!!!! Tuimbie, tucheze yaani ni balaaWatengenezee banda la nje hao,
Hii sio chai ni ukweli mtupu watoto raha hivi zile clip za mtoto kachezea kopo la rangi akapaka makochi yote na yeye akaoga rangi unafikiri uongo, mmoja alioga rangi akaenda kumuonyesha mama yakeMkuu acha uongo... Hii chaii
Ndio Raha za utoto hizoKuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Mmh nyie wakishua, kuimbiana tena, au ndo jingle bell🙌Wakienda nje nusu saaa nyingi mama we miss u!!!! Tuimbie, tucheze yaani ni balaa
Doh! Kwamba ubongo wako iko this much slow?!Sasa inahusiana vp pia kusema hao waalimu ndo walichagua kufanya hyo kazi?
Kama mzazi unawachoka wanao kwa hadi kusema vipi huko shule mnakotaka warudi? Funzeni watoto good mannersKuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.
Average mind....wale wale tu..imagn na wanao wameridhi akili zako...hao waalimu wanashida sanaaDoh! Kwamba ubongo wako iko this much slow?!
Kaendelee kupondwa na jua.
Wamelelewa kwa misingi mizuriWatoto ni malezi
Nina watoto wa sis wamekuja likizo
Ni watulivu na kazi zote wanafanya
Wanajua kujipangilia na muda wa kucheza wanapata..walikuja watoto wa jirani basi wakipiga kelele tu utasikia usipige kelele aunt atawafukuza hapendi kelele
Ndo anakupa taarifa na ww uzae hahaah🤣 Jana tu nimetoka kusema hili, kuna watoto wa jirani hapa wanakusanya watoto wenzao niambie huo mkutano ni kelele tupu!. mara wapigane mara wacheze kombolela mwengine anaacha kulilia huko anasogea ulipo analia mpk unaona kidaka tonge!.
Mimi wangu ni shidaa nikilewa wanachukua tambo langu wanaingia utubu wanakula bando loteMimi ninao wawili pasua kichwa uyo mmoja kidog sio msumbufu huyu mwingine acha kabisa ukiamka naye kaamka kaenda kwenye ps game ukizubaa katoroka kumpata iyo usiku ata umpigaje kesho anafanya ivyo ivyo
Mama mzuri wewe, watoto wasituendeshe hata kidogo. Wafundishwe namna ya kuishi kwa nidhamuWakwangu huwa haharibu vitu, wee anajua mziki wake, atapata adhabu hata ya kufagia uwanja. Si endekezaji mtoto mimi. Sasa hivi wanacheza mpira na wenzake au michezo mingine nje. Ndani marufuku, anaangalia katuni kwa adabu zote bila kuharibu. Hata mtoto wa mdogo wangu akiwepo wanajua hakuna kuharibu vitu.
Watakuwa wa kiumeKuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi hawachoki, kuanzia asubuhi hadi usiku wapo active tu.
Bora warudi shule.