Nimeshindwa kuacha kujichua
dronedrake njoo huku kijana anataka aisaliti kambi. Ila mwamba umekubuhu 7 times per day inahitaji maombi kabisa.

Fanya kazi, fanya mazoezi sana hakikisha unablock site zote chafu.
 
Wewe ndio mmiliki wa mwili wako mkuu, ukishindwa kujitawala mwenyewe nafikiri kutakua na tatizo mahali

Tafuta mwanamke ambaye ukihitaji tu anakuja chap itakusaidia!!
 
Kma ilivyo kichwa cha habari hapo juu. Wadau naombeni msaada. Wa kuhusu namna ya kuacha huu mchezo wa kujichukulia sheria mkononi. Nimekuwa addicted nao sana yani naona kunako elekea kubaya maana niliamza mdogo mdogo ila sasa nishazoea naweza hata kufanya mara saba kwa siku . Niokoen8 vijana wenzangu. Asante nawasilisha
Kisaikolojia,kuacha tabia ukiyoizoea hasa tabia has Kama punyeto na kuangalia porn inakuwa ni Vita kubwa ya kupambana na nafsi yako na wengi wameshindwa hiyo Vita.

Wengi wanapoamua kuacha punyeto wanadeal na mwili ambao wenyewe ni Kama unapata to maelekezo kutoka ndani (nafsini)

Punyeto inakuweka mbali na Mungu maana inachafua ROHO.

punyeto kills your sexual desire.

Punyeto corrodes your mind.

Punyeto inakufanya uwe msahaulifu (kupoteza kumbukumbu).

Punyeto ni malango(mlango) wa kuingia rohoni kutoka kwenye nafsi. Once u are addicted,unakuwa mtumwa.

Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa shoga Ukiwa mpiga nyeto. How? Unapozoea punyeto unajikuta unafanya staili mbalimbali Iili mradi tu ujiridhishe na happy ndiyo unakuwa mwanzo wa kujaribu kufanya mambo ya kishetani zaidi na wengi hujitia kidole kwenye tupu ya nyuma. Hiki kipengere waangalia porn panawahusu Sana)

MBINU ZA KUACHA PUNYETO.

1. Futa video za ngono zote kwenye simu/computer yako.

2. Unfollow na block accounts zote zenye maudhui ya ngono. Mfano kule Twitter account zinazoandika "muda wa kupost picha watoto wameshalala"

3.Tafuta mwanamke. Yes,tabia uliyoizoea inaachwa kwa kuadapt tabia mpya. Ukwa mtu wa kula mbususu automatically unakosa muda wa kufanya masturbation. Hapa zingatia Kama unataka kuacha kweli maana Kuna walio kwenye ndoa wengi tu wanapiga punyeto.

4. Fanya mazoezi. Nenda gym au jifunze martial arts.

5. Anza kusali. Ukiwa mtu we dini unajenga hofu ya Mungu.

6.Fanya meditation ili ku-purify your dirty soul. Roho ikiwa Safi mwili utakuwa safi pia na hautakumhuka Tena huo uchafu. Hapa ndipo penye matibabu kamili maana roho ikiwa chafu Mara nyingi utakuwa mtu wa kukumbuka tabia ya zamani,hatimaye utajikuta unarudia kupiga nyeto.

Asante.
 
Hii kama sigara tu au ulevi mwingine kuna mmoja atavuta sigara mwezi tu atapata na atayaona madhara yake kuna mwingine mpaka uzeeni anadunda tu na misigara yake mfuko wa shati- bi kidude

So fanya ukiona uume hausimami vizuri acha anza mazoezi kurudisha dhakari yako katika usawa unaotakiwa Na mwenye kupiga punyela na anaona apati tatzo lolote aendelee tu kujichukulia sheria mkononi mwingine akipiga punyela na akipiga shoo moto ule ule tu apunguzi kitu yaani kazi kazi

NB
PUNYELA ina upigaji wake na ukikosea ndio inakudhuru ila ukipatia ndio dawa ya uume kusimama sawa sawa kwani hakuna kiungo katika mwili ambacho hakitakiwi kufanyishwa mazoezi

So chukulia punyela kama unaufanyisha uume mazoezi unaunyoosha vizuri then unapiga kimoja then baada ya wiki tena ukifanya punyeto tofauti itakudhuru ukifanya sawa sawa unakuwa unapata afya nzuri ya uume
Kumbe unajua mkuu
 
Kisaikolojia,kuacha tabia ukiyoizoea hasa tabia has Kama punyeto na kuangalia porn inakuwa ni Vita kubwa ya kupambana na nafsi yako na wengi wameshindwa hiyo Vita.

Wengi wanapoamua kuacha punyeto wanadeal na mwili ambao wenyewe ni Kama unapata to maelekezo kutoka ndani (nafsini)

Punyeto inakuweka mbali na Mungu maana inachafua ROHO.

punyeto kills your sexual desire.

Punyeto corrodes your mind.

Punyeto inakufanya uwe msahaulifu (kupoteza kumbukumbu).

Punyeto ni malango(mlango) wa kuingia rohoni kutoka kwenye nafsi. Once u are addicted,unakuwa mtumwa.

Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa shoga Ukiwa mpiga nyeto. How? Unapozoea punyeto unajikuta unafanya staili mbalimbali Iili mradi tu ujiridhishe na happy ndiyo unakuwa mwanzo wa kujaribu kufanya mambo ya kishetani zaidi na wengi hujitia kidole kwenye tupu ya nyuma. Hiki kipengere waangalia porn panawahusu Sana)

MBINU ZA KUACHA PUNYETO.

1. Futa video za ngono zote kwenye simu/computer yako.

2. Unfollow na block accounts zote zenye maudhui ya ngono. Mfano kule Twitter account zinazoandika "muda wa kupost picha watoto wameshalala"

3.Tafuta mwanamke. Yes,tabia uliyoizoea inaachwa kwa kuadapt tabia mpya. Ukwa mtu wa kula mbususu automatically unakosa muda wa kufanya masturbation. Hapa zingatia Kama unataka kuacha kweli maana Kuna walio kwenye ndoa wengi tu wanapiga punyeto.

4. Fanya mazoezi. Nenda gym au jifunze martial arts.

5. Anza kusali. Ukiwa mtu we dini unajenga hofu ya Mungu.

Asante.
Chai
 
Kma ilivyo kichwa cha habari hapo juu. Wadau naombeni msaada. Wa kuhusu namna ya kuacha huu mchezo wa kujichukulia sheria mkononi. Nimekuwa addicted nao sana yani naona kunako elekea kubaya maana niliamza mdogo mdogo ila sasa nishazoea naweza hata kufanya mara saba kwa siku . Niokoen8 vijana wenzangu. Asante nawasilisha
Kuacha huu mchezo sio rahisi
Ushauri wangu ni huu
-Epuka kukaa ndani mwenyewe jitahidi ukae na watu au ukiwa mwenyewe basi jipe vikazi vya hapa na pale
-Kama unaangalia porn, acha.
-Ukienda kuoga oga chap utoke bafuni
-Wakati wa kulala epuka kushika sehemu za siri
-Kama we ni mtu wa dini basi piga maombi muombe sana Mungu
Anza kufanya
#No-fab challenge
 
Kisaikolojia,kuacha tabia ukiyoizoea hasa tabia has Kama punyeto na kuangalia porn inakuwa ni Vita kubwa ya kupambana na nafsi yako na wengi wameshindwa hiyo Vita.

Wengi wanapoamua kuacha punyeto wanadeal na mwili ambao wenyewe ni Kama unapata to maelekezo kutoka ndani (nafsini)

Punyeto inakuweka mbali na Mungu maana inachafua ROHO.

punyeto kills your sexual desire.

Punyeto corrodes your mind.

Punyeto inakufanya uwe msahaulifu (kupoteza kumbukumbu).

Punyeto ni malango(mlango) wa kuingia rohoni kutoka kwenye nafsi. Once u are addicted,unakuwa mtumwa.

Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa shoga Ukiwa mpiga nyeto. How? Unapozoea punyeto unajikuta unafanya staili mbalimbali Iili mradi tu ujiridhishe na happy ndiyo unakuwa mwanzo wa kujaribu kufanya mambo ya kishetani zaidi na wengi hujitia kidole kwenye tupu ya nyuma. Hiki kipengere waangalia porn panawahusu Sana)

MBINU ZA KUACHA PUNYETO.

1. Futa video za ngono zote kwenye simu/computer yako.

2. Unfollow na block accounts zote zenye maudhui ya ngono. Mfano kule Twitter account zinazoandika "muda wa kupost picha watoto wameshalala"

3.Tafuta mwanamke. Yes,tabia uliyoizoea inaachwa kwa kuadapt tabia mpya. Ukwa mtu wa kula mbususu automatically unakosa muda wa kufanya masturbation. Hapa zingatia Kama unataka kuacha kweli maana Kuna walio kwenye ndoa wengi tu wanapiga punyeto.

4. Fanya mazoezi. Nenda gym au jifunze martial arts.

5. Anza kusali. Ukiwa mtu we dini unajenga hofu ya Mungu.

6.Fanya meditation ili ku-purify your dirty soul. Roho ikiwa Safi mwili utakuwa safi pia na hautakumhuka Tena huo uchafu. Hapa ndipo penye matibabu kamili maana roho ikiwa chafu Mara nyingi utakuwa mtu wa kukumbuka tabia ya zamani,hatimaye utajikuta unarudia kupiga nyeto.

Asante.
[emoji120][emoji120][emoji120] nashukuru sana aisee
 
[emoji41]
1434839365.jpg
 
[emoji120][emoji120][emoji120] nashukuru sana aisee
Mwanzo itakuwa ngumu Sana.

Ila itaanza wiki haujapiga,Kisha jipongeze,baadae weka malengo ya mwezi,Kisha miezi na hatimaye utaanza kusahau na kuichukia punyeto moja kwa moja.

Kila la heri mkuu katika safari yako ya maamuzi magumu.
 
Kma ilivyo kichwa cha habari hapo juu. Wadau naombeni msaada. Wa kuhusu namna ya kuacha huu mchezo wa kujichukulia sheria mkononi. Nimekuwa addicted nao sana yani naona kunako elekea kubaya maana niliamza mdogo mdogo ila sasa nishazoea naweza hata kufanya mara saba kwa siku . Niokoen8 vijana wenzangu. Asante nawasilisha
Usikae peke yako, usikae gizani, usiangalie video za ngono.
 
Ndiyo hii haiitaji maelezo mengi, kama kichwa kinavyojieleza "nimeshindwa kuacha punyeto" nimejikuta naskip tu siku lakin siku mizuka ya punyeto ikija nashindwa kujizuia[emoji16][emoji16]

Nakirusha tu shwaaa[emoji23][emoji23] dah unyamaa sana. Mliobarkiwa karama za maombi mtuombeee plzz hali ni mbaya[emoji120]
Ukitaka kuacha punyeto soma kitabu kimoja kinaitwa THE POWER OF POSITIVE THINKING na MAGIC OF THINKING BIG ukimaliza kusoma hivyo na bado unaendelea na punyeto nitafute

Pornography and homosexuality are connected with spiritual health you can't quit it without a spiritual power.
 
Punyeto nimeanza kupiga toka niko darasa la sita mpaka leo nakimbiza 35+ nipo vizur tu na show napiga vizur tu
Maajabu yake sasa; Siku utayoamua kuacha ndo utapoanza kuona madhara. Ni vema usiache.

Madhara ya awali ya kujichua, ni, kutoacha kujichua.
 
Back
Top Bottom