Nimeshindwa kuacha kujichua
Aaah unamzungumzia Mantak Chia au sio?
Mkuu kama unaendelea kushuoaza shingo basi Sina jinsi.

Ila unapomwaga mbegu hovyo inje unamwaga na kuua kiumbe ambacho hakustahili kuuliwa.

Pia unapomwaga Kwa nyeto unatumia nguvu nyingi mno pasipo uhalisia.
 
Ndiyo hii haiitaji maelezo mengi, kama kichwa kinavyojieleza "nimeshindwa kuacha punyeto" nimejikuta naskip tu siku lakin siku mizuka ya punyeto ikija nashindwa kujizuia[emoji16][emoji16]

Nakirusha tu shwaaa[emoji23][emoji23] dah unyamaa sana. Mliobarkiwa karama za maombi mtuombeee plzz hali ni mbaya[emoji120]
Punguza kwa schedule ya miezi,ukiendelea siku ukiwa nae pembeni utaona kama yeye sio kitu.
 
Ila punyeto ni uraibu mbaya sana. It takes an extra effort especially the spiritual efforts to stop doing it. Unahitaji msaada wa koroho kijana
Sio spiritual dawa ni kuoa mwanamke, kua na mwanamke au kua na jimama anaependa kupigwa mashine uwe unampelekea mashine kila unapojisikia kupiga puli yaan ukihisi kupiga unamsalandia hata km chini anavuja damu yupo kwenye siku zake basi akunyonye hata kwa mdomo wake ummwagie mbegu kiu ikate apart from that utapiga nyeto for the rest of your life, Mantak Chia sawa TAO
 
Aaah unamzungumzia Mantak Chia au sio?
Mkuu kama unaendelea kushupaza shingo basi sina jinsi.

Ila unapomwaga mbegu hovyo inje unamwaga na kuua kiumbe ambacho hakustahili kuuliwa.

Pia unapomwaga Kwa nyeto unatumia nguvu nyingi mno pasipo uhalisia..

Unajimaliza mwenyewe kisayansi na kiroho.
 
Mkuu kama unaendelea kushuoaza shingo basi Sina jinsi.

Ila unapomwaga mbegu hovyo inje unamwaga na kuua kiumbe ambacho hakustahili kuuliwa.

Pia unapomwaga Kwa nyeto unatumia nguvu nyingi mno pasipo uhalisia.
Mamilion ya mbegu unazomwaga kwa mshindo mmoia kwa mwanamke ni Mbegu mmoja tu inayotunga mimba kama ni Kuua basi umeua izo zingine zote zilizosalia
 
Ila unapomwaga mbegu hovyo inje unamwaga na kuua kiumbe ambacho hakustahili kuuliwa.

Pia unapomwaga Kwa nyeto unatumia nguvu nyingi mno pasipo uhalisia.
Hakuna kiumbe kinachoweza kuwepo bila muunganiko wa chromosome mbili yaan XX na XY so jitafakari mkuu, hakuna kitu km hicho hizo nguvu sijui power zinazopotea hakuna power inayopotea nguvu yako ipo pale pale, km ni hivyo wale wazee wenye kuoa mitala huko Singida na Manyara na kuazalisha watoto wengi km wanavyofanya Wasukuma na Wamasai wasingefikia umri wa uzee, emu njoo na nadharia nyingine kuhusu hilo hio bado haujanishawishi mkuu
 
Una umri gani kwa sasa? jitahidi uache maana majibu utayapata ukifika miaka 40 kwenda mbele.

ingawa si kwamba inatarajiwa uwe na uwezo ule ule unaokuwa nao kwenye 20's lakini kwa kujichua kulikokithiri utafika umri huo ukiwa umechoka mara dufu.
 
Mkuu kama unaendelea kushupaza shingo basi sina jinsi.

Ila unapomwaga mbegu hovyo inje unamwaga na kuua kiumbe ambacho hakustahili kuuliwa.

Pia unapomwaga Kwa nyeto unatumia nguvu nyingi mno pasipo uhalisia..

Unajimaliza mwenyewe kisayansi na kiroho.
Kumwaga kwa nyeto hautumii Nguvu nying kama Kusex na mwanamke ndo maana Nyeto unaweza ukapiga ukarudia ata mara tano kwa siku.

lakini Kwa mwanamke ukilala nae ukapiga mshindo wa kueleweka unaishiwa nguvu na unaweza kaa ata siku tatu au wiki mzima bila kuwa na hamu ya kusex.

Kingine Kusex na wanawake wengi ndo kuna hatari zaidi maana kusex na mwanamke kuna connection kubwa zaidi kirohoo
 
Hakuna kiumbe kinachoweza kuwepo bila muunganiko wa chromosome mbili yaan XX na XY so jitafakari mkuu, hakuna kitu km hicho hizo nguvu sijui power zinazopotea hakuna power inayopotea nguvu yako ipo pale pale, km ni hivyo wale wazee wenye kuoa mitala huko Singida na Manyara na kuazalisha watoto wengi km wanavyofanya Wasukuma na Wamasai wasingefikia umri wa uzee, emu njoo na nadharia nyingine kuhusu hilo hio bado haujanishawishi mkuu
Hao wazee wanajichuwa Kwa nyeto?
 
kujichua kulikokithiri
Sasa wewe ndio umeongea lugha nzuri na kiswahili fasaha, too much is harmful ndio maana hata kret la bia lenye chupa za bia 24 huwezi ukanywa zote kwa mkupuo tutakuokota kwenye mtaro ukiwa ushavunjiwa mayai ya kutosha, kila kitu fanya kwa kiasi na afya unafanya kupitiliza unamkomoa nani kwa mfano?

Kuna kitu kinaitwa ndoto nyevu au wet dream unakijua na kimeshawahi kukipata? Ushawahi kuambiwa pahala kwamba wet dream Ina madhara au ni dhambi kwamba ukofanya utakufa au unapoteza nguvu zako?
 
Hao wazee wanajichuwa Kwa nyeto?
Mkuu haujajibu swali umesema nguvu zinapotea unapomwaga mbegu zako je kwa hao wazee wanapomwaga mbegu zao na mpaka leo wapo na wana wake wengi na watoto kibao au upotevu wa nguvu ya kupiga bao ukiwa umemkunja mwanamke na ukiwa unajichukulia sheria mkononi ni tofauti yaan ukiwa unapiga puli nguvu ndio zinapotea kwenye mbegu Ila ukiwa unamkamua mwanamke nguvu hazipotei kwenye mbegu?
 
Wanaokushauri kuhusu punyeto mbaya wengi ndo wanaongoza kwa kupiga punyeto....amin we jikubar piga nyetoo one day God can stand with you ila hizo zingine sijui uoe, usiangalie porn ni mbwembwe tu....Punyeto wanapiga mpaka maskofu,masheee ndo usisema wa mama tena wengine mama zenu kabisa ,madigii ,vipofuu ndo balaaaa na vilema, mademu ndo wanaongoza .......wa bibi ...wa babu......hata Mim pia......one of them......P U N Y E T O
[emoji16][emoji16][emoji16]mtetezi wa wanyonge wa chaputa huyu
 
Ndiyo hii haiitaji maelezo mengi, kama kichwa kinavyojieleza "nimeshindwa kuacha punyeto" nimejikuta naskip tu siku lakin siku mizuka ya punyeto ikija nashindwa kujizuia[emoji16][emoji16]

Nakirusha tu shwaaa[emoji23][emoji23] dah unyamaa sana. Mliobarkiwa karama za maombi mtuombeee plzz hali ni mbaya[emoji120]
Weye bila shaka hujaoa,oa na jaribu kutoa huduma ipasavyo kwa familia,epuka mazingira ya upweke ya kujificha.🤔
 
Back
Top Bottom