Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Wandugu; kuna inquiry kutoka nje (mimi ni mwanachama kwenye forum fulani inayojihusisha na investments kwenye agribusiness na SMEs). Kuna potential investor ameniuliza maoni yangu - akinukuu alichosema Dangote miaka miwili iliyopita na kuhusu maneno yasemwayo na watawala wetu - kuhusu hali ya uwekezaji hapa nchini kwa sasa.
Anataka kuwekeza kwenye food processing. Nimeshindwa kumpa maneno matamu ili aje awekeze (kumbuka kuna uwezekano wa mimi binafsi kufaidika na yeye kuwekeza hapa). Nimempa facts zifuatazo:
1. Huwezi ku-predict sasa hivi kuwa serikali itafanya nini katika mazingira yeyote
2. TRA wanaweza kukudai kiwango chochote cha kodi watakayojisikia (na ili ukate rufaa ni lazima ulipie theluthi moja ya hicho walichokuambia kuwa wanakudai; na hata ukishinda rufaa hawarudishi ulicholipa).
Nimemshauri asubiri angalau miaka 5 ijayo kunako majaaliwa tuone hali itakuwaje.
Mataga mnaruhusiwa kunitukana muwezavyo; LAKINI huo NDIO Ukweli halisi.
Anataka kuwekeza kwenye food processing. Nimeshindwa kumpa maneno matamu ili aje awekeze (kumbuka kuna uwezekano wa mimi binafsi kufaidika na yeye kuwekeza hapa). Nimempa facts zifuatazo:
1. Huwezi ku-predict sasa hivi kuwa serikali itafanya nini katika mazingira yeyote
2. TRA wanaweza kukudai kiwango chochote cha kodi watakayojisikia (na ili ukate rufaa ni lazima ulipie theluthi moja ya hicho walichokuambia kuwa wanakudai; na hata ukishinda rufaa hawarudishi ulicholipa).
Nimemshauri asubiri angalau miaka 5 ijayo kunako majaaliwa tuone hali itakuwaje.
Mataga mnaruhusiwa kunitukana muwezavyo; LAKINI huo NDIO Ukweli halisi.