Wewe hujui mpiraJibu swali timu iliyocheza na yanga ni ya 15 mbona imeichezeshea kichapo yanga ambayo bingwa sio unaniletea mifano ambayo haitotokea Sasa yanga ya tanzania uipeleke ulaya kufanya nini
Wewe ndio hujui mpira hivi Zee Zima unafananisha yanga na timu za Europe hata gamondi atakushangaa wajinga kumbe mnazeeka aiseeWewe hujui mpira
Unanipotezea usingizi sikujibu tena
Sifanyi huo ujinga kwenda kuangalia mechi za watu wamekaa wanavuta bangi visu kiunoni wanasubiri mpira uishe waanze kuiba na kutukana matusi uwanjani ndondo utaangalia peke yakoMtz mpaka afe ndo utajua maisha yake halisi
Akiwa mzima lifestyle yake mtandaoni hua ni full ushua hata kama hana..
Mtu wa soka tena ambaye hupenda kuangalia na kulisataka (baadhi yetu) hua tunapata burudani tu hata tukiangalia ndondo.
N.B Tunaheshimu maamuzi yako mkuu.
Ngoja nikuchangamshe kidogo pm naona huna adabuSifanyi huo ujinga kwenda kuangalia mechi za watu wamekaa wanavuta bangi visu kiunoni wanasubiri mpira uishe waanze kuiba na kutukana matusi uwanjani ndondo utaangalia peke yako
Yaani hata Mimi hivyo hivyo yaani naona kama matuta ya viazi viwanja vya bongo kama jalalani yaani ni uchafu Fulani hiviMimi mwenyewe mpira WA bongo siupendi kabisa ....
Quality mbaya ...
Viwanja vibaya ,vinavipara ....
Hata uchezaji Ni mbovu Hakuna vipaji kiufupi tunaforce ....
Nikitoka kwenye screen ya mpira WA ulaya ,ball la man city lilivokuwa linatembea kwenye kapeti aisee harafu ukarudi kwenye screen mpira WA kibongo sijui singida vs Yanga aiseee mpaka mood ya kuangalia mpira inaisha 😂...
Labda Kwa vile nimekuwa nikiangalia mpira WA ulaya Kwanza ,harafu ndio nikafata WA bongo ....
Sifanyi huo ujinga kwenda kuangalia mechi za watu wamekaa wanavuta bangi visu kiunoni wanasubiri mpira uishe waanze kuiba na kutukana matusi uwanjani ndondo utaangalia peke yako
Mkuu mim Naona tatizo Ni mwonekano aisee ,sijui azamu wanatumia camera za tecno ,...Yaani hata Mimi hivyo hivyo yaani naona kama matuta ya viazi viwanja vya bongo kama jalalani yaani ni uchafu Fulani hivi
Kilichonishinda kwenye soka la bongo ni uswahili kwenye hizi timu za Kariakoo.
Ligi ina timu zenye mambo ya kiduanzi sana. Ukiangalia social media pages ndio utajua soka la bongo ni ujinga tu. Wala huna haja kutazama mechi kujua aina ya ligi tuliyonayo.
Pia, ligi yetu imejaa "glory hunters" kitu kinachopelekea ushabiki maandazi. Kila mtu yupo Simba au Yanga na vitu wanavyobishania ni vya kijinga-jinga tu.
Timu zinaongozwa kama vile zipo amateur level. Ukisikiliza wasemaji wa timu unabaki kujiuliza hivi kweli huyu ni mtu ameajiriwa kusema huu utumbo kwenye media?
Club officials unawakuta kwenye social media wakipigana vijembe na kubishana tu.
Yaani ligi ya bongo kama uchafu Fulani hivi ukiangalia kitimu kidogo ulaya na ukifananisha na simba na yanga ambazo tanzania ndio timu kubwa yaani ni mbingu na ardhiKilichonishinda kwenye soka la bongo ni uswahili kwenye hizi timu za Kariakoo.
Ligi ina timu zenye mambo ya kiduanzi sana. Ukiangalia social media pages ndio utajua soka la bongo ni ujinga tu. Wala huna haja kutazama mechi kujua aina ya ligi tuliyonayo.
Pia, ligi yetu imejaa "glory hunters" kitu kinachopelekea ushabiki maandazi. Kila mtu yupo Simba au Yanga na vitu wanavyobishania ni vya kijinga-jinga tu.
Timu zinaongozwa kama vile zipo amateur level. Ukisikiliza wasemaji wa timu unabaki kujiuliza hivi kweli huyu ni mtu ameajiriwa kusema huu utumbo kwenye media?
Club officials unawakuta kwenye social media wakipigana vijembe na kubishana tu.
Yaani ni kituko aisee hata viwanja ni vioja fikiria Benjamin mkapa ndio uwanja Bora tanzania aisee ni kituko hichiMkuu mim Naona tatizo Ni mwonekano aisee ,sijui azamu wanatumia camera za tecno ,...
Viwanja vichovu ,bado camera zenye ukungu ,Hakuna uangavu wowote ...
Bora hata wawe wanacheza Simba na Yanga camera zinakuwa nyingi nzuri ,aisee zikicheza timu nyingine Ni majanga camera moja ya infinix ndio inakuwa inazunguka uwanjan mzima ,kuna muda hata mchezaji Haonekana ,inaonekana jezi ....
Technology mbovu mnoo
Kweli aiseeKuangalia mpira wa Bongo ni matumizi mabaya ya macho.
Kweli aisee ngoja na Mimi niachane nao maana nimejilazimisha naona kama naangalia wakulimaMimi nadhani nina miaka 20 niliachana na habari za kuangalia mipira ya ligi ya Tanzania!