Nimeshindwa kuvumilia, naomba msaada wenu jinsi ya kuachana na mzazi mwenzangu

Nimeshindwa kuvumilia, naomba msaada wenu jinsi ya kuachana na mzazi mwenzangu

Wewe jamaa una akili nyingi sana. Huo ndio ukweli na nimekubali kubeba Kila aina ya jukumu kwake na kwa mtoto lakini naona mapichapicha. Na wasiwasi wangu mkubwa ni hizi tabia za kishirikiana, kiburi, ujinga uliopitiliza na mengine mengi. Natamani nimtoe mtoto wangu mikononi mwa huyu mama ili akapate malezi sehemu nyingi.

Hili ndilo lililofanya Mimi kuja hapa.
Kuna watu wanahoji sababu nadhan umeshaziweka wazi hapo ingawa mengine mengi hujayaeleza

Ila nikwambie kitu kimoja km umeteleza ukamtia mimba huyo ni wako haijarishi ni mshirikina au ana kiburi na mengineyo ila huyo ni wa kwako kwa hio nenda nae sawa angalia yeye anataka nini kile ambacho una uwezo nacho mfanyie usichokua na uwezo nacho usimfanyie

Nitakupa mfano wa mwanandoa mmoja ni ndugu yangu, yeye kuna kipindi alikua ana shida ya km 2 Million, aliekua anataka kumkopa akamwambia njoo uchukue nyumbani kwangu zipo, Jamaa akaongea na mkewe akamwambia anaenda kuchukua/kukopa 2 Million kwa mtu fulani kwa ajili ya matumizi ya hapo nyumbani, mwanamke akamwambia km anataka kwenda kwa mahawala zake kwa gia hio hataki aende popote akiondoka tu ajue na yeye akirudi hamkuti,

Basi Jamaa ikabidi apige simu aeleze kwamba zile pesa hatozifuata akaulizwa imekuaje akasema mkewe amesema asiende kuzichukua kwa hio amechukua maamuzi hayo ili kuepusha Shari,

Ndoa nyingi unazoziona zinaendeshwa kisharishari yaan linazushwa jambo la ajabu tu ambalo hukulitegemea anytime anything can happen mda wowote kinaweza kikanuka

Tukija kwenye suala la mtoto, inaonyesha wazi weewe ulikua unataka kujipooza tu na sio kuzaa na huyo mwanamke, sasa imekuaje umeanza kuganda unamtaka mtoto awe wa kwako peke ako na sio mtoto wa kwenu wewe na yeye?
Hapo ndipo ninapokosa uelekeo

Nitarudi tena mkuu..
 
Kuna watu wanahoji sababu nadhan umeshaziweka wazi hapo ingawa mengine mengi hujayaeleza

Ila nikwambie kitu kimoja km umeteleza ukamtia mimba huyo ni wako haijarishi ni mshirikina au ana kiburi na mengineyo ila huyo ni wa kwako kwa hio nenda nae sawa angalia yeye anataka nini kile ambacho una uwezo nacho mfanyie usichokua na uwezo nacho usimfanyie

Nitakupa mfano wa mwanandoa mmoja ni ndugu yangu, yeye kuna kipindi alikua ana shida ya km 2 Million, aliekua anataka kumkopa akamwambia njoo uchukue nyumbani kwangu zipo, Jamaa akaongea na mkewe akamwambia anaenda kuchukua/kukopa 2 Million kwa mtu fulani kwa ajili ya matumizi ya hapo nyumbani, mwanamke akamwambia km anataka kwenda kwa mahawala zake kwa gia hio hataki aende popote akiondoka tu ajue na yeye akirudi hamkuti,

Basi Jamaa ikabidi apige simu aeleze kwamba zile pesa hatozifuata akaulizwa imekuaje akasema mkewe amesema asiende kuzichukua kwa hio amechukua maamuzi hayo ili kuepusha Shari,

Ndoa nyingi unazoziona zinaendeshwa kisharishari yaan linazushwa jambo la ajabu tu ambalo hukulitegemea anytime anything can happen mda wowote kinaweza kikanuka

Tukija kwenye suala la mtoto, inaonyesha wazi weewe ulikua unataka kujipooza tu na sio kuzaa na huyo mwanamke, sasa imekuaje umeanza kuganda unamtaka mtoto awe wa kwako peke ako na sio mtoto wa kwenu wewe na yeye?
Hapo ndipo ninapokosa uelekeo

Nitarudi tena mkuu..
Yani mkuu niliyoandika hapa yanastahili kuandikwa Kuna majanga mengi nimeamua kufukia. Mfano Kuna kipindi alisema pesa ninayompa haimtoshi(200k Kwa mwezi) wakati huo nyumba nalipa Mimi Kodi yake na baadhi ya vitu vya msingi Kama mchele, sukari, mafuta, gas Kuna sehemu nilishamlink vikiisha analetewa Mimi natuma hela Kwa hao watu Kwa wangu.

Basi nikaona isiwe tabu Kuna acc nilikuwa naweka vipesa vyangu vya madeal kadhaa nikampa Ile kadi kwamba hela ikiisha utaenda kutoa humo ili umalize matatizo Yako.

Aisee sijui alijenga huyu mtu? Kuanzia mwezi Jana tareh Kama 10 mpaka juzi tarehe 9 mwezi huu nilivyokwenda kuchungulia acc kidogo nizimie.
 
Yani mkuu niliyoandika hapa yanastahili kuandikwa Kuna majanga mengi nimeamua kufukia. Mfano Kuna kipindi alisema pesa ninayompa haimtoshi(200k Kwa mwezi) wakati huo nyumba nalipa Mimi Kodi yake na baadhi ya vitu vya msingi Kama mchele, sukari, mafuta, gas Kuna sehemu nilishamlink vikiisha analetewa Mimi natuma hela Kwa hao watu Kwa wangu.

Basi nikaona isiwe tabu Kuna acc nilikuwa naweka vipesa vyangu vya madeal kadhaa nikampa Ile kadi kwamba hela ikiisha utaenda kutoa humo ili umalize matatizo Yako.

Aisee sijui alijenga huyu mtu? Kuanzia mwezi Jana tareh Kama 10 mpaka juzi tarehe 9 mwezi huu nilivyokwenda kuchungulia acc kidogo nizimie.
Duh! Ulimpa hadi card ya bank aisee
 
Tundika Daluga kwa muda mkuu,mpe muda mtatafutana huko mbeleni
Niliwaza hivi ila... Namfikiria sana huyu dogo. Na hawa wanakujaga kusema walitelekezewa watoto na mengine mengi. Ila muda unavyozidi kwenda Kuna kitu nitaamua tu hakuna namna.
 
Waambie ndoa imenishinda bas,maana taarifa ni muhimu sana
Kifupi hatuna ndoa na Kila mtu anaishi kivyake ila nahudumia Mimi hiyo familia ya yeye na mtoto.
 
Huyu mdada kipindu amebeba mimba, alisitisha huduma zote alizokuwa akijihudumia na kusema nimhudumie Mimi coz nimempa mimba, nikakubali. Akahama alikuwa amepanga(vyumba viwili na sebure) akahamia nyumba mzima, Kodi kwangu, nikakubali. Akalazimisha nitoke kazini nikaishi nae au nihakikishe Kila baada ya wiki naenda kumuona kitu ambacho hakiwezekani Kwa mazingira ya kazi yangu. Hapo ndipo mtiti uliopoanza.

Akaanza kwenda Kwa waganga usiku na mchana. Huko akaambiwa Mimi Nina mke na watoto wawili ndio maana siendi kwake muda mwingi nipo Kwa hiyo mke wangu(kifupi Mimi sijawahi kuoa na hiyo mtoto wake ndio mtoto wangu wa kwanza).

Ikafika kipindi akahamia kabisa Kwa huyo sijui ndo ostadh sijui vitu gani Kila siku ni kupigwa Dua ili nirudishe mapenzi kwake niachane na huyo anaedai ni mke wangu. Kwangu nikawa nachukulia Kama ujinga flan tu. Mambo ni mengi mkuu.

Leta majibu haya kisha nikupe way forward:
1. UNAMPENDA? kwa moyo wako na unadhani uko tayari kuishi naye?

2.Una uhakika na hayo mambo ya kilozi/uganga uliyosema?

3.Mmewahi kuongea kwa uwazi nini hasa tatizo maana isije ikawa mtoto wa watu anakupenda hadi hawezi kuishi bila wewe?

4.Wakati mnaanza uhusiano plan zako zilizkua ni zipi?

5. Iwe mvua au jua kama mtoto ni wako angalia namna nzuri ya kutoa matunzo .

Kila la heri
 
Kifupi sisi sio wanandoa mkuu. Ni kwamba nimempa mimba na tukakubaliana nitamtunza mpaka mtoto akifika umri wa kwenda shule namchukua mtoto maisha mengine yanaendelea.

Mahusiano Mimi na yeye yamekoma tangu akiwa na mimba ya miezi minne baada ya kuona mambo yanakuwa mengi Mimi nikabaki kumhudumia tu

Mkumbushe kua utatunza mtoto, pia ajue wazi wewe HUTAOA!
 
Story ipo nusu sasa hilo tatizo la kukushauri lipo wapi hapo?

Ila usimuache mtoto wako wala usije ukakubali alelewe na baba mwingine lazima baadae ujutie
Mtt hawezi kuwa fimbo ya kunichapia hata siku moja,mzazi mwenzangu akizingua sitaangalia eti tuna mtt,acha niwe baba jina tuu
 
Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.

Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.

NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
Tafuta anamna mtoto kumchukua sasa huwezi. Hata huyo mzazi mwenzio bila shaka ni mwanamke na yeye anampenda mtoto maana kambeba tumboni miezi 9. Usijiwazie wewe tu kuwa ndo una haki na unastahili mtoto kuliko aliye mbeba tumboni
 
Back
Top Bottom