Nimeshindwa kuvumilia, naomba msaada wenu jinsi ya kuachana na mzazi mwenzangu

Nimeshindwa kuvumilia, naomba msaada wenu jinsi ya kuachana na mzazi mwenzangu

Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.

Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.

NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
Mwanume wa hovyo
 
Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.

Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.

NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
achana nae ila kwanza mfklie mtoto
 
Watu huzaa hufikiria kuwa ndio utamdatisha mwanaume mkiwa na mtoto kumbe wala wenzenu wanaenda oa ambao hawana watoto au wengine wenye watoto
 
na hy ndo silaha aliykuwa nayo huyu mzaz mwenzk ila kuwa na watot sio sabab ya watu wasiachane
Kuna mdau kanishauri niende ustawi wa jamii nipewe muongozo wa kuhudumia mtoto.
Tareh 16 nitaenda niwasikilize wanasemaje, Kama watakuwa na suluhu sawa kama hawatakuwa nalo nitajua Cha kufanya nishayakanyaga hamna namna.
 
Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.

Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.

NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
Sasa shida ipo wapi na mmeishaachana maana hamuishi pamoja?kuhusu matunzo lazima utoe tu,kiwango nenda ustawi wa jamii au dawati la jinsia kwenye kituo Cha polisi, utapata mwongozo
 
ila fkiria maamuz yako mara 10 10 je n kwel unatakiw kuachana nae ucje ukajtia maamuz yako baadae
Kiukweli Mimi na huyu mama tulishakubaliana HAKUNA NDOA kati yetu. Lakini niliahidi kumtumza na kumhudumia katika Kila Hali kipindi alipobeba mimba. Akaamua kuvua majukumu yake yote nikabeba Mimi kwa kisingizio Cha mimba, nikaona sio mbaya nikafanya Kila kitu nadhani mshahara wake Kama alikuwa hasaidii ndugu zake basi upo wote bank mpaka leo.

Sasa nashangaa mambo yanazidi kuwa mengi.
 
Sasa shida ipo wapi na mmeishaachana maana hamuishi pamoja?kuhusu matunzo lazima utoe tu,kiwango nenda ustawi wa jamii au dawati la jinsia kwenye kituo Cha polisi, utapata mwongozo
Nashukuru mkuu
 
Habarini za asubuhi waungwana.

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapa HESHIMA ya pekee wale wote mlioko kwenye ndoa.

Turudi kwenye mada, Nimebahatika kupata mtoto na sasa ana miezi miwili, lakini vitimbi ninavyokutana navyo kwakweli nimeshindwa kuvumilia.

Ombi langu kwenu ni hili, nahitaji kuachana kabisa na huyu mzazi mwenzangu, KABISA, isiwepo hata chembe ya mawasiliano.

Je, inawezekana kwa umri wa huyu mtoto? Kama inawezekana naomba ufafanuzi wa hatua za kuchukua ili mtoto awe katika mazingira salama. Pia Kama haiwezekani (DAAH) japo itaniumiza nishaurini cha kufanya sababu nipo mwisho.

NB:
Huyu mtu hatuishi pamoja, anaishi na mtoto na mimi naishi kivyangu ila nahusika kwa kila kitu kuhusu yeye na mtoto.

Ahsanteni.
Hii ni ngumu hatuwezi kusikiliza upande mmja tu na kutoa ushauri.......Siku zote Kuna mmja tu lazima atataka aonekana yeye si mdhambi
Yani ww lea mtoto ako basi mambo mengine yote ni ujinga wako plus wa huyo mwanamke wako
 
Huyu mdada kipindu amebeba mimba, alisitisha huduma zote alizokuwa akijihudumia na kusema nimhudumie Mimi coz nimempa mimba, nikakubali. Akahama alikuwa amepanga(vyumba viwili na sebure) akahamia nyumba mzima, Kodi kwangu, nikakubali. Akalazimisha nitoke kazini nikaishi nae au nihakikishe Kila baada ya wiki naenda kumuona kitu ambacho hakiwezekani Kwa mazingira ya kazi yangu. Hapo ndipo mtiti uliopoanza.

Akaanza kwenda Kwa waganga usiku na mchana. Huko akaambiwa Mimi Nina mke na watoto wawili ndio maana siendi kwake muda mwingi nipo Kwa hiyo mke wangu(kifupi Mimi sijawahi kuoa na hiyo mtoto wake ndio mtoto wangu wa kwanza).

Ikafika kipindi akahamia kabisa Kwa huyo sijui ndo ostadh sijui vitu gani Kila siku ni kupigwa Dua ili nirudishe mapenzi kwake niachane na huyo anaedai ni mke wangu. Kwangu nikawa nachukulia Kama ujinga flan tu. Mambo ni mengi mkuu.

Aiseh
 
Kiukweli Mimi na huyu mama tulishakubaliana HAKUNA NDOA kati yetu. Lakini niliahidi kumtumza na kumhudumia katika Kila Hali kipindi alipobeba mimba. Akaamua kuvua majukumu yake yote nikabeba Mimi kwa kisingizio Cha mimba, nikaona sio mbaya nikafanya Kila kitu nadhani mshahara wake Kama alikuwa hasaidii ndugu zake basi upo wote bank mpaka leo.

Sasa nashangaa mambo yanazidi kuwa mengi.
Sababu ilikua ipi ya nyie kukubaliana kuwa hamna ndoa kati yenu?

Wewe ni dini gani??

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Sababu ilikua ipi ya nyie kukubaliana kuwa hamna ndoa kati yenu?

Wewe ni dini gani??

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mimi sikuwa tayari kuoa kwa muda ule nakutana nae mpaka Sasa. Ikabidi nimueleze uwazi kabisa ajue sio mwisho aje kunilaumu nimepoteza muda wake.

Na kabla hajapata mimba nilimpa uhuru ukipata mtu ana malengo na wewe endelea nae Mimi Bado sana mambo ya kuoana
 
Kiumri ni 23, pia Hilo la kikundi Cha watu amewahi kunigusia staff mwenzie kwamba Kuna watu wanamjaza aolewe na Mimi kwa gharama yoyote.
Miak 23[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ukampa na ATM card??? Wew ndo mwenyw matatizoo..
 
Kwakweli hapa nilifanya kosa kubwa linalonigharimu pakubwa kiongozi.

Kiongozi i[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nmecheka kinoma
 
Huyu mdada kipindu amebeba mimba, alisitisha huduma zote alizokuwa akijihudumia na kusema nimhudumie Mimi coz nimempa mimba, nikakubali. Akahama alikuwa amepanga(vyumba viwili na sebure) akahamia nyumba mzima, Kodi kwangu, nikakubali. Akalazimisha nitoke kazini nikaishi nae au nihakikishe Kila baada ya wiki naenda kumuona kitu ambacho hakiwezekani Kwa mazingira ya kazi yangu. Hapo ndipo mtiti uliopoanza.

Akaanza kwenda Kwa waganga usiku na mchana. Huko akaambiwa Mimi Nina mke na watoto wawili ndio maana siendi kwake muda mwingi nipo Kwa hiyo mke wangu(kifupi Mimi sijawahi kuoa na hiyo mtoto wake ndio mtoto wangu wa kwanza).

Ikafika kipindi akahamia kabisa Kwa huyo sijui ndo ostadh sijui vitu gani Kila siku ni kupigwa Dua ili nirudishe mapenzi kwake niachane na huyo anaedai ni mke wangu. Kwangu nikawa nachukulia Kama ujinga flan tu. Mambo ni mengi mkuu.
Fanya umuoe mtoto wa watu atatulia huyo[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom