Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una matatizo wewe [emoji3][emoji3][emoji3]Mi mwenyewe nimemuona Jakaya jana, nikasema kumbe uzee ukifika umefika.
![]()
Kijana baro baro aliwah kukosa urais kwa nyerere kwasababu ya kuvaa mapete kwenye vidole vya mkono wa kushoto na kulia eti leo nae kakubali kuzeek
Kikubwa ni kujiandaa, vijana watambue uzee haukwepeki, hivyo wajipange kwa maisha ya uzeeni kuanzia sasa, si kwa fedha tu, na afya ni muhimu.Uzee ukifika huna ujanja
Na wewe utakua umezeeekaNilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala,zikaja Training Day,dejavu,man on fire,inside job,amwrican gangster,grear debetors,malcom x,manchurian candidate,antwone fisher nk.
Huko kote alionekana akizeeka taratiiibu
Juzi nimeona picha yake akiwana miaka 70,amezeejabi babu,uzee is real.
Mke wake ambaye ni mkubwa kiumri kumzidi miaka4,mshangaziPaulleta bado mbichi kabisa.
Wanawake wamarekani na ulaya hawazeeki ovyoView attachment 3214316
Nyie vi elfu 20 mnakuja kulalamika JFUnapenda sana kuzunguuka🤣🤣🤣 sisi tusiojua mwaka wetu wa kutoboa huu
Nitake radhi kwanza ndio tuendelee na mjadala, Denzel ni braza tu kwangu.🤣Nyie vi elfu 20 mnakuja kulalamika JF
Sawa sawaNakaribia nusu karne si haba jambo la kumshukuru Mungu
Arnold SchwarzeneggerKama Anorldshwaziniga
Mbavu nene kwenye Commando ilitisha,kweli uzeeni baraka,unajiona mwenyewe ukipitia phase mbalimbali za maisha yakoHow time flies, moja kati ya mahendisam men kwenye tasnia ya filamu duniani...
Mimi namuangalia sana Shwarzenegger na kujisemea wakati ukuta, kawa mzee kabisa yani, moja kati ya watu strong kabisa.
Arnold Schwarzenegger
Tuko wengi, actors na actresses pamoja na musicians and sports personalities ni wengi wamekua mpaka kuzeeka before our own eyes 👁️ 👁️.Nilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala,zikaja Training Day,dejavu,man on fire,inside job,american gangster,great debetors,malcom x,manchurian candidate,antwoine fisher nk.
Huko kote alionekana akizeeka taratiiibu
Juzi nimeona picha yake akiwa na miaka 70,amezeeka ni babu,uzee is real.
Mke wake ambaye ni mkubwa kiumri kumzidi miaka4,mshangazi Paulleta bado mbichi kabisa.
Wanawake wamarekani na ulaya hawazeeki ovyoView attachment 3214316
Anodi(komandoo kipensi/komando Joni)Kama Anorld shwaziniga
Huyu jamaa sionagi kama anazeekaMi mwenyewe nimemuona Jakaya jana, nikasema kumbe uzee ukifika umefika.
![]()
Muangalie kwa makini sasa, mzee Kikwete kazeeka..Huyu jamaa sionagi kama anazeeka
Picha ya mshangazi Paulleta tafadhaliNilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala,zikaja Training Day,dejavu,man on fire,inside job,american gangster,great debetors,malcom x,manchurian candidate,antwoine fisher nk.
Huko kote alionekana akizeeka taratiiibu
Juzi nimeona picha yake akiwa na miaka 70,amezeeka ni babu,uzee is real.
Mke wake ambaye ni mkubwa kiumri kumzidi miaka4,mshangazi Paulleta bado mbichi kabisa.
Wanawake wamarekani na ulaya hawazeeki ovyoView attachment 3214316