Nimeshuhudia kwa macho yangu Denzel Washinton akizeeka

Nimeshuhudia kwa macho yangu Denzel Washinton akizeeka

Mi mwenyewe nimemuona Jakaya jana, nikasema kumbe uzee ukifika umefika.
hq720.jpg
Huyu ashukuru aliwahi kudhibiti tezi dume, la sivyo angekuwa mavumbini
 
Ukimuangalia Arnold Shwarzenneger au Ronie Coleman,ukawakumbuka ujana wao na yale manguvu yao,ndio utaamini kua Time ndio kila kitu,muda hua hausimami wala haumsubiri mtu,

Just enjoy life where you are now,Time slips like grains of sand never to return again.
 
Kuezeka bwana kunaanzaga mdogo mdogo utaanza kusikia unaitwa we mtoto mara ghafla wew kijana ,inakuja wew kaka mara wew mkaka, mara unaitwa wew baba ,mara wewe mbaba hapo ujue kinacho fuatia ni kuitwa mzeze mwisho babu. Ila kwa Denzel naona pombe ndo zinamzeesha.
 
Nilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala,zikaja Training Day,dejavu,man on fire,inside job,american gangster,great debetors,malcom x,manchurian candidate,antwoine fisher nk.
Huko kote alionekana akizeeka taratiiibu

Juzi nimeona picha yake akiwa na miaka 70,amezeeka ni babu,uzee is real.

Mke wake ambaye ni mkubwa kiumri kumzidi miaka4,mshangazi Paulleta bado mbichi kabisa.
Wanawake wamarekani na ulaya hawazeeki ovyoView attachment 3214316
Hiyo muvi inaitwa inside job au inside man? Halafu kama book of eli hujaiona kaitafute hutojutia
 
Kuezeka bwana kunaanzaga mdogo mdogo utaanza kusikia unaitwa we mtoto mara ghafla wew kijana ,inakuja wew kaka mara wew mkaka, mara unaitwa wew baba ,mara wewe mbaba hapo ujue kinacho fuatia ni kuitwa mzeze mwisho babu. Ila kwa Denzel naona pombe ndo zinamzeesha.
Si nasikiaga ni mlokole
Au ndio ulokole wa USA
 
Back
Top Bottom