bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,334
- 2,463
Huyu ashukuru aliwahi kudhibiti tezi dume, la sivyo angekuwa mavumbiniMi mwenyewe nimemuona Jakaya jana, nikasema kumbe uzee ukifika umefika.
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ashukuru aliwahi kudhibiti tezi dume, la sivyo angekuwa mavumbiniMi mwenyewe nimemuona Jakaya jana, nikasema kumbe uzee ukifika umefika.
![]()
Acha urohoLakini bado analipa 🤭
1995 kwenye kikao dodoma alibadilisha suit mara kadhaa ndani ya cku 1,Mzee wa butiama akaona huyu mbona mtoto hivii.Kijana baro baro aliwah kukosa urais kwa nyerere kwasababu ya kuvaa mapete kwenye vidole vya mkono wa kushoto na kulia eti leo nae kakubali kuzeeka
Hiyo muvi inaitwa inside job au inside man? Halafu kama book of eli hujaiona kaitafute hutojutiaNilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala,zikaja Training Day,dejavu,man on fire,inside job,american gangster,great debetors,malcom x,manchurian candidate,antwoine fisher nk.
Huko kote alionekana akizeeka taratiiibu
Juzi nimeona picha yake akiwa na miaka 70,amezeeka ni babu,uzee is real.
Mke wake ambaye ni mkubwa kiumri kumzidi miaka4,mshangazi Paulleta bado mbichi kabisa.
Wanawake wamarekani na ulaya hawazeeki ovyoView attachment 3214316
Bila kumsahau jean Claudevp kuhusu chuck norris, schwarzeneger na bolo yeung!
Hauna mmbadala mkuu,makunyazi ni lazima, wengine hata meno hupotea,uzee sawa ila noma!Kijana baro baro aliwah kukosa urais kwa nyerere kwasababu ya kuvaa mapete kwenye vidole vya mkono wa kushoto na kulia eti leo nae kakubali kuzeeka
Aisee..Huyu ashukuru aliwahi kudhibiti tezi dume, la sivyo angekuwa mavumbini
Si nasikiaga ni mlokoleKuezeka bwana kunaanzaga mdogo mdogo utaanza kusikia unaitwa we mtoto mara ghafla wew kijana ,inakuja wew kaka mara wew mkaka, mara unaitwa wew baba ,mara wewe mbaba hapo ujue kinacho fuatia ni kuitwa mzeze mwisho babu. Ila kwa Denzel naona pombe ndo zinamzeesha.
Walokole wa US ni kama Wakatoliki tu, tungi kwa sana.Si nasikiaga ni mlokole
Au ndio ulokole wa USA
Nimefurahi kuskia hvLakini bado analipa 🤭
Ronnie Ameisha vibaya🙌Ukimuangalia Arnold Shwarzenneger au Ronie Coleman,ukawakumbuka ujana wao na yale manguvu yao,ndio utaamini kua Time ndio kila kitu,muda hua hausimami wala haumsubiri mtu,
Just enjoy life where you are now,Time slips like grains of sand never to return again.