Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hiyo $80 bilion tumedandia tu bado hatujafika huko, japo kelele ni nyingi kuliko vitendo.Kumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
Kumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
Watu wamegeuzwa machawa, leo wanasifia halafu akitumbuliwa wanamponda only kuanza kusifia tena akirudishwa.Kwa Sasa Tanzania hatuna independent thinkers. Kila mtu anasubiria huruma ya Rais. Na pia kila mmoja anafanya Jambo kumfurahisha Rais.
Hauko sahihi. High population sio kigezo cha GDP, bali ni uimara wa uchumi wa nchi.Mkuu ulinganishi wa Nigeria yenye population ya 213 milll na Tanzania 63 mill..automatically GDP yao itakuwa kubwa .mahitaji na uzalishaji wao ni mkubwa kwa hiyo pupolutaion...halafu mambo ya wazungu kutuletea GDP kama kipimo cha uchumi imepitwa na wakati maana haileflect maisha halisi ..
We jifariji tu.Mkuu ulinganishi wa Nigeria yenye population ya 213 milll na Tanzania 63 mill..automatically GDP yao itakuwa kubwa .mahitaji na uzalishaji wao ni mkubwa kwa hiyo pupolutaion...halafu mambo ya wazungu kutuletea GDP kama kipimo cha uchumi imepitwa na wakati maana haileflect maisha halisi ..
Nigeria wana Mafuta na Bati wewe Tanzania una nini zaidi ya kodi?Kumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
Kwenye uchumi huwa wanalingaisha nchi zinazoendana...huwezi lingaisha Tanzania na marekani au nakuwait....popoluation it's matter kwenye GDP ndio maana mwisho wa siku Kuna kitu kinaitwa GDP PER CAPITA yaani wanagawa hiyo GDP Kwa popoluation. ..Hauko sahihi. High population sio kigezo cha GDP, bali ni uimara wa uchumi wa nchi.
Kwanini Qatar inaizi GDP Tanzania? Je, nao wana population kubwa kuliko Tanzania?
Moja ya changamoto ya GDP haileflect uhalisia wa maisha ..ndio maana huku kwetu tuna lugha maarufu UCHUMI WA KWENYE MAKARATASI yaani BOT inatwambia UCHUMI umekua lakini maisha ya wananchi bado Duni..maana sekta nyingi zinazolisha Pato kwa wingi hazitokani na wananchi walio wengi Mfano madini etc...so unapojumlisha mapato yote then ukagawa Kwa popoluation haileflect uhalisia..ndio nachomaanisha.We jifariji tu.
Kwahiyo tofauti ya GDP ya Nigeria na Tanzania haileflect tofauti ya maisha ya raia wa nchi hizo? Unayajua maisha wanayoishi Nigerians?
Hata na sisi tuna Green guard ila uchumi upo hoiKumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?