bopwe
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 1,773
- 1,460
Escrow ilianzishwa kwa madhumuni gani ?
Inavo tajwa ni kuwa Tanesco kwa mujibu wa mkataba na IPTL wanapaswa kulipa capacity charges za 7 billion kila mwezi.
Sasa kukawa na mgogoro hivyo wahusika wakaenda mahakamani.
Ila kwa sababu pesa inayo daiwa kila mwezi ni nyingi ikaamuliwa Tanesco walipe hizo pesa kuziweka account maalum. Ndio hilo dude Escrow account.
Hivyo hela ilowekwa mule ni capacity charges tu. Hakuna pesa ingine yoyote ile....
Kesi ikaisha ikaamriwa IPtl walipwe...wakalipwa. Lakini ikawa Iptl imeuzwa hivyo wakalipwa PAP...
Hivyo hapa hakuna hela ya umma .
Ni wenyewe tunajipiga kwenye mikataba.
Wa kukamata sio huyu singa wala tuge bali waloingia hii mikataba mibovu.
Tatizo letu tanzania huwa tunapenda sana kuwona wafanya biashara kuwa ndio matatizo kumbe chanzo ni wenyewe .
Sioni nafasi ya kushinda hii kesi ....unless kila aliehusika hata kwa kiduchu aingizwe mbivu mbichi ijulikane.
Inavo tajwa ni kuwa Tanesco kwa mujibu wa mkataba na IPTL wanapaswa kulipa capacity charges za 7 billion kila mwezi.
Sasa kukawa na mgogoro hivyo wahusika wakaenda mahakamani.
Ila kwa sababu pesa inayo daiwa kila mwezi ni nyingi ikaamuliwa Tanesco walipe hizo pesa kuziweka account maalum. Ndio hilo dude Escrow account.
Hivyo hela ilowekwa mule ni capacity charges tu. Hakuna pesa ingine yoyote ile....
Kesi ikaisha ikaamriwa IPtl walipwe...wakalipwa. Lakini ikawa Iptl imeuzwa hivyo wakalipwa PAP...
Hivyo hapa hakuna hela ya umma .
Ni wenyewe tunajipiga kwenye mikataba.
Wa kukamata sio huyu singa wala tuge bali waloingia hii mikataba mibovu.
Tatizo letu tanzania huwa tunapenda sana kuwona wafanya biashara kuwa ndio matatizo kumbe chanzo ni wenyewe .
Sioni nafasi ya kushinda hii kesi ....unless kila aliehusika hata kwa kiduchu aingizwe mbivu mbichi ijulikane.