Nimesikitishwa na huu ubaguzi na udhalilishaji uliofanywa MwanaCHADEMA. Siasa sio uadui

Kwahiyo alichofanya huyo kijana kwako ni sawa?

Kwa unyama ccm mliofanyia wapinzani nchi hii, inatakiwa yatokee machafuko watu walipe kisasi kama wahutu na watusi. Iko siku isiyo na jina hamtaamini macho yenu.
 
Mi mwenyewe kama wewe ni CCM ukija kwangu hupati kazi.
Hicho ni kigezo changu kikubwa zaidi kuhusu dini hapo huwa sina kaubaguzi kabisa lakini ukiwa CCM aisee hata nikikuta unakufa njaa nitakuacha ufe.
Huo ndio ukweli nisifiche.
 
Unamdhalilisha sana Mh. Rais Samia kwa kutumia jina na picha yake huku ukipost mambo ya kipuuzi na kimalaya malaya tu.
 
Unamdhalilisha sana Mh. Rais Samia kwa kutumia jina na picha yake huku ukipost mambo ya kipuuzi na kimalaya malaya tu.
Ndugu Sagai mbona umekuwa mpuuzi kiasi hiki? Au ndo Mbowe aliwaelekeza muwe mnaingia mitandaoni kutukana?
 
Alipaswa kumheshimu tu kama baba yake! Hii ni ishara ya malezi mabovu kabisa. 🙏🙏🙏
 
Ndugu Sagai mbona umekuwa mpuuzi kiasi hiki? Au ndo Mbowe aliwaelekeza muwe mnaingia mitandaoni kutukana?
Wewe ndiye mpumbavu unatumia jina na picha ya Rais ilhali maudhui ya threads na post zako ni ya kimalaya malaya,au mwenyekiti mwenyewe anabariki huu udhalilishaji unaomfanyia? Nakushauri usitumue hiyo picha kwenye avatar yako na hiyo jina badili kwa kulinda heshima ya Mh. Rais. Moderators please take note.
 
Mwenye hii ID UKIONA JINA langu utakuwa umenifahamu ni shakugundua .sina la kukulaumu ujinga punguza
 
Kwahiyo alichofanya huyo kijana kwako ni sawa?
Wewe ulishasikia matukio yoyote yasio sawa waliyofanyiwa CHADEMA, au hili ndilo tukio pekee ulilowahi kuona hadi likakufanya ukimbilie hapa kuonyesha unafiki wako ulivyo?
 
Chama cha tozo! Kweli kabisa. Huyo mzee naye anatakiwa kujitambua. Hata mimi siwezi kuvaa dekio bhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…