Nimetafuta kazi nimechoka, naweza kufanya biashara gani na laki tatu?

Nimetafuta kazi nimechoka, naweza kufanya biashara gani na laki tatu?

Yeah.

Ni mtaji tena mtaji mkubwa sana.

Kama huyo dada anataka kuanza biashara kwa mtaji wa laki 3 vipi mimi nkitaka kunuoa na kumpa mahari milioni tano ambazo kisheria ni pesa zake uoni kwamba huo ni mtaji?

Anaweza kuanzishia biashara yoyote na kisheria ikawa ni yake na hata mkiachana bado hiyo biashara itabaki kuwa yake.
We jamaa nikiazi sana
 
Kwanza Hongera kwakuchukua Hatua kwaajili ya kesho yako",

Pili Hakuna mtaji mdogo,Ila ulicholenga kufungua ndo kinaweza kikubwa kuliko mtaji ulionao",

Cha kwanza kubariana na hali halisi,usilenge vitu vikubwa kwasasa anza kidogo kidogo.

pili na nakushauri usiwaze frame tafuta saiti ya kukodi maeneo yaliochangamka mkubaliane na mwenye eneo kias cha kumlipa kama ni 10000 au 15000 kwa mwezi kisha tengeneza banda lako la mbao na mabati",

Nenda mjini nunua mitumba kwa bei ya jumla mitumba 70000 si haba kuanzia,Nunua yebo na ndala hazina bei sana ni kuanzia 2000 mpk 7000 kwa bei ya jumla kutokana na zilivyo,pia nunua vitu vya urembo kama heleni,cheni,saa havina bei sana afu nenda kafungue banda lako",

Naamin hutokosa chochote kwasiku kila lakheri kwako".
Laki 3 haitoshi kabisa.
 
Habari Za sahivi wanajamii wenzangu. Mimi ni msichana nina miaka 29. Natamni Sana kujiajiri Kwa sababu kazi zimekuwa ngumu Sana, nimetafuta mpaka nimechoka sasa nimeuza simu yangu Na radio yangu nimejikuta mkononi nina laki 3 Tu.

Naombeni ushauri japo wa mawazo nifanyie biashara Gani ambayo naweza nikazalisha na kupata walau faida Na baadae hata kurudisha both vilivyopotea.

Nawaza biashara Nyingi Lakin Naona kama mtaji hautoshi. NB: Msiniseme naombeni mawazo mazuri ya kunijenga natamni nisimame mwenyewe kama wengine.

Location nipo Dar es Salaam
Hii post umetumia simu gani?? Au umeazima??
Ukijibu hili.
Nakushauri uza na hii uliopostia uongezee kisha nikupe wazo
 
masanjuo mbona Dar ina kazi nyingi sana za kuingiza pesa?

Nunua nguo uza mikoani au nunua viatu karume tembeza mitaani

Fanya udalali wa vitu kariakoo

USIKUBALI KUOLEWA kama wengine wanavyoshauri

ukihitaji tubadilishane mawazo zaidi nipe namba inbox...
 
Habari Za sahivi wanajamii wenzangu. Mimi ni msichana nina miaka 29. Natamni Sana kujiajiri Kwa sababu kazi zimekuwa ngumu Sana, nimetafuta mpaka nimechoka sasa nimeuza simu yangu Na radio yangu nimejikuta mkononi nina laki 3 Tu.

Naombeni ushauri japo wa mawazo nifanyie biashara Gani ambayo naweza nikazalisha na kupata walau faida Na baadae hata kurudisha both vilivyopotea.

Nawaza biashara Nyingi Lakin Naona kama mtaji hautoshi. NB: Msiniseme naombeni mawazo mazuri ya kunijenga natamni nisimame mwenyewe kama wengine.

Location nipo Dar es Salaam
Jaribu kuuza maziwa fresh na mtindi maeneo kama k/koo naamini hautatoka kapa
 
Mtu anaomba ushauri wa kumuinua kiuchumi unaleta comment za kipuuzi sio kila Mada ucomment mkuu maana Kuna Mada zinaweza kuzidi upeo wako wa akili Kama hii. Ambapo inakufanya uropoke ujinga bila kujijua
Wewe ni mpumbavu.

Kuoa ni jambo baya?

Unaelewa kwamba hata ndoa inaweza ikawa chanzo cha kumuinua mtu kiuchumi.

Unafahamu kwamba kuna watu wamekuwa matajiri kwa sababu ya kuoa au kuolewa na matajiri.

Halafu kuna ubaya gani kumuuliza mtu kama yupo tayari kuolewa?

Kwani kuoa ni kitu kibaya?
 
Wewe ni mpumbavu.

Kuoa ni jambo baya?

Unaelewa kwamba hata ndoa inaweza ikawa chanzo cha kumuinua mtu kiuchumi.

Unafahamu kwamba kuna watu wamekuwa matajiri kwa sababu ya kuoa au kuolewa na matajiri.

Halafu kuna ubaya gani kumuuliza mtu kama yupo tayari kuolewa?

Kwani kuoa ni kitu kibaya?
Unaona unavyojibu kimaandazi , huyo aliyeleta mada ameomba ushauri wa kuoa au kuolewa? Je kuoa na kuolewa nibiashara? Wewe huna tofauti na wanawake wanaojua kuolewa ndio kujikomboa kiuchumi, wakati tunataka wanawake wafanye kazi wajikwamue kiuchumi unaleta pumba zako sijui wakati unaandika kichwa kinakuwa kimekatwa au vip
 
Unaona unavyojibu kimaandazi , huyo aliyeleta mada ameomba ushauri wa kuoa au kuolewa? Je kuoa na kuolewa nibiashara? Wewe huna tofauti na wanawake wanaojua kuolewa ndio kujikomboa kiuchumi, wakati tunataka wanawake wafanye kazi wajikwamue kiuchumi unaleta pumba zako sijui wakati unaandika kichwa kinakuwa kimekatwa au vip
Kuolewa ni biashara.

Kama ulikuwa hujui anza kulijua hilo sasa.

Sawa we zezeta?
 
Habari Za sahivi wanajamii wenzangu. Mimi ni msichana nina miaka 29. Natamni Sana kujiajiri Kwa sababu kazi zimekuwa ngumu Sana, nimetafuta mpaka nimechoka sasa nimeuza simu yangu Na radio yangu nimejikuta mkononi nina laki 3 Tu.

Naombeni ushauri japo wa mawazo nifanyie biashara Gani ambayo naweza nikazalisha na kupata walau faida Na baadae hata kurudisha both vilivyopotea.

Nawaza biashara Nyingi Lakin Naona kama mtaji hautoshi. NB: Msiniseme naombeni mawazo mazuri ya kunijenga natamni nisimame mwenyewe kama wengine.

Location nipo Dar es Salaam
Kama huna familia naweza kuja pma tuunganishe mawazo na mimi.

Nna mtaji mara kumi ya huo ulio nao ila bado nazubaa napata woga wa kuanza kwa sababu sina experience sana na biashara yeyote ile
 
Kuolewa ni biashara.

Kama ulikuwa hujui anza kulijua hilo sasa.

Sawa we zezeta?
Sijawahi kukutana na mjinga Kama wewe 🥺 jitambue mkuu acha mawazo ya kipumbavu jaribu kushirikisha ubongo una mikono yako ili utambue unachoandika
 
Back
Top Bottom