Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Ndo umesema nini mbona huelewekiHavina maana yatima usioe kwa dhulma ila badala yake oa 2,3,4 kwa haki na uadilifu 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo umesema nini mbona huelewekiHavina maana yatima usioe kwa dhulma ila badala yake oa 2,3,4 kwa haki na uadilifu 😂
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Sipo hapa kwa kubeza wala kukejeli nataka kupewa elimu kutoka kwa muislamu aliyesoma Quran tukufu ambayo ndio muongozo wa muislamu na usinilete hadithi kutoka muslim na tilmizu eti alimsikia mtume akisema hapana.
Nataka kwa mwenye andiko kutoka kwenye kitabu (Qur-an
- wapi Mungu kasema tuoane
- wapi Mungu kasema uoe wanawake wanne
- wapi Mungu kasema ukioa mkigombana umpe taraka na watoto.
- wapi Mungu kasema ukimkumbuka uende kwao ukamlejee.
Asanteni.
Manenoo ya din ya kiislam mazuri na matam haswa .sa sjui wale jamaa wakuchinjia wenzao nyuma ya shingoo wanakitabu chao au ni hchihch wanatafsir wanavyoo pekeyao
Surah An-Nur (24:31)Sijui wapi imesema wanawake wavae Hijab, Nicab etc.
Itakuwa wana kitabu chao!!!Manenoo ya din ya kiislam mazuri na matam haswa .sa sjui wale jamaa wakuchinjia wenzao nyuma ya shingoo wanakitabu chao au ni hchihch wanatafsir wanavyoo pekeyao
We Mwanamke Wa Kikafiri Si Tembea Tu Kichwa Wazi Ya Waislamu Yanakuwashia Nini?Sijui wapi imesema wanawake wavae Hijab, Nicab etc.
Mumeleta maandiko marefu sana bila kuweka andiko wapi Mungu anampa muislam amri ya kuoa!.
Nilipenda kuona hiyo amri, vigezo na masharti ya kuoa. Lakini maandiko yenu yote yame skip hitaji langu mama
Sijui wapi imesema wanawake wavae Hijab, Nicab etc.
Sasa wewe eleza wamekatazwa na nani?Wanaruhusiwa na nani?
Kama unajpenda unapoenda kuishsi maisha marefu na familia yako achana nayo hayo...Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Sipo hapa kwa kubeza wala kukejeli nataka kupewa elimu kutoka kwa muislamu aliyesoma Quran tukufu ambayo ndio muongozo wa muislamu na usinilete hadithi kutoka muslim na tilmizu eti alimsikia mtume akisema hapana.
Nataka kwa mwenye andiko kutoka kwenye kitabu (Qur-an
- wapi Mungu kasema tuoane
- wapi Mungu kasema uoe wanawake wanne
- wapi Mungu kasema ukioa mkigombana umpe taraka na watoto.
- wapi Mungu kasema ukimkumbuka uende kwao ukamlejee.
Asanteni.
Kuvaa hijabSijui wapi imesema wanawake wavae Hijab, Nicab etc.
Kila kilichoelekezwa katika quran ni amri hamna siasa ukiambiwa , Simamisha swala nenda kasali kweli, ukiambiwa acha zinaa acha kweli, usipoacha umekufuru, ila yako mambo yaliyoelekezwa na kutolewa option ya pili mfano unaruhusiwa kuoa wake wanne ila kama huna uwezo oa mmoja na uwe muadilifu, kwenda kuhiji ni kwa yule mwenye uwezo usipokua na uwezo basi hamna namna kwahiyo hakuna negotiation ni maelekezo vipi muumini aishi.Kingine unaposema "amri" hii moja kwa moja inakuwa ni lazima kuifuata hiyo amri waislamu hatujaamrishwa kuoa , Allah (the almighty) ametupa machaguzi na mtume muhammad (peace be upon him ) akasisitizia sana kwa mwenye uwezo na aoe maana ni bora sana kwake kuliko kutofanya hivyo na kwa sababu tunawafuata mitume kama walimu wetu na kuoa ni sunna ya mitume wote hadi nabii isa bin maryam ( peace be upon him) akirudi kwa mara nyengine ataoa ataishi duniani kwa wakati alioandikiwa na atakufa pia.
Ila si lazima kuoa na hapa kuna maelezo meengi sana ya mtu wa aina gani hatakiwi kabisa kuoa /kuolewa , mtu wa aina gani kwake ni lazima kuoa / kuolewa na asipofanya hivyo atajiingiza kwenye madhambi but hii ni topic ya muda mwengine uzuri swali lako limeshajibiwa .
Kasome Surat taubahManenoo ya din ya kiislam mazuri na matam haswa .sa sjui wale jamaa wakuchinjia wenzao nyuma ya shingoo wanakitabu chao au ni hchihch wanatafsir wanavyoo pekeyao
Itakuwa wana kitabu chao!!!
Jazzakallah khaira 👃👃 mmungu akulipe na atukubalie swaum nzetu👃👃Surah An-Nur (24:31)
31. Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao, na wala wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa yale yanayodhihirika. Na waangushe khimaar (shungi) zao mpaka vifuani mwao, na wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume wao, au wana wao wa kiume, au wana wa kiume wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kiume wa kaka zao, au wana wa kiume wa dada zao, au wanawake wao (wa Kiislamu), au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio ya jimai miongoni mwa wanaume au watoto ambao hawatambui kitu kuhusu sehemu za siri za wanawake. Na wala wasipige miguu yao yakajulikana yale wanayoyaficha katika mapambo yao (vikuku na kadhaalika). Na tubuni kwa Allaah nyote, enyi Waumini mpate kufaulu.
Surah Al-Ahzab (33:59)
59. Ee Nabiy! Waambie wake zako, na mabinti zako, na wanawake wa Waumini wajiteremshie jilbaab zao.Hivyo kunapeleka karibu zaidi watambulikane (kwa heshima) wasiudhiwe. Na Allaah daima Ni Mwingi wa Kughufuria, Mwenye Kurehemu.
Nimesoma hapo tasfsiri nashukuru mana hyo sura singeeweza kuisoma mana mie sjui kiarabu wala pakukipata hcho ktabuKasome Surat taubah