Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Mwelevu haambiwi maana hakika nimekuelewa mkuu ramadhan kareemNimesoma hapo tasfsiri nashukuru mana hyo sura singeeweza kuisoma mana mie sjui kiarabu wala pakukipata hcho ktabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwelevu haambiwi maana hakika nimekuelewa mkuu ramadhan kareemNimesoma hapo tasfsiri nashukuru mana hyo sura singeeweza kuisoma mana mie sjui kiarabu wala pakukipata hcho ktabu
InshaallahJazzakallah khaira 👃👃 mmungu akulipe na atukubalie swaum nzetu👃👃
Huu mjadala ni mzitoMimi nazungumzia akina Al qaeda na IS
Kwa niniHuu mjadala ni mzito
Wewe DOCTOR TITO wacha kuvuruga watu humu jukwaani,Mumeleta maandiko marefu sana bila kuweka andiko wapi Mungu anampa muislam amri ya kuoa!.
Nilipenda kuona hiyo amri, vigezo na masharti ya kuoa. Lakini maandiko yenu yote yame skip hitaji langu mama
Huo unahitaji wachambuzi wa sera za kimataifa kuja kutuambia alqaida ni kundi la aina ganiKwa nini
Ni kundi la magaidi tuHuo unahitaji wachambuzi wa sera za kimataifa kuja kutuambia alqaida ni kundi la aina gani
Inawezekana unajua au hujui kuhusu Al qaeda this is untold storyNi kundi la magaidi tu
Ninachojua ni magaidiInawezekana unajua au hujui kuhusu Al qaeda this is untold story
Ukitaka uitekeleze Quran kwa vitendo utaitwa gaidiNinachojua ni magaidi
Kwa hiyo nianze sasa kuua mmoja mmoja au vipi sijaelewaUkitaka uitekeleze Quran kwa vitendo utaitwa gaidi
Iqra bismirabika aradhii khalaqaKwa hiyo nianze sasa kuua mmoja mmoja au vipi sijaelewa
What???Iqra bismirabika aradhii khalaqa
Amri = Lazima,Mumeleta maandiko marefu sana bila kuweka andiko wapi Mungu anampa muislam amri ya kuoa!.
Nilipenda kuona hiyo amri, vigezo na masharti ya kuoa. Lakini maandiko yenu yote yame skip hitaji langu mama
Soma kwa jina la mola wako alieumba kwa maana tutafute elimu kabla ya kufanya jamboWhat???
OkSoma kwa jina la mola wako alieumba kwa maana tutafute elimu kabla ya kufanya jambo
Wanaolewa wanawake wanne maana kila mmoja ana haki ya tendo na wanaume ni wachache na wengine ni wajane na wanauhitaji mkubwa sana wa tendo.Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Sipo hapa kwa kubeza wala kukejeli nataka kupewa elimu kutoka kwa muislamu aliyesoma Quran tukufu ambayo ndio muongozo wa muislamu na usinilete hadithi kutoka muslim na tilmizu eti alimsikia mtume akisema hapana.
Nataka kwa mwenye andiko kutoka kwenye kitabu (Qur-an
- wapi Mungu kasema tuoane
- wapi Mungu kasema uoe wanawake wanne
- wapi Mungu kasema ukioa mkigombana umpe taraka na watoto.
- wapi Mungu kasema ukimkumbuka uende kwao ukamlejee.
Asanteni.
Makafiri ni kama kusema makolo ama nini?Hawezi kuona Kafiri Aya hizi mana amekusudia ubishi