Nimetafuta kwenye Quran hakuna sehemu Mungu amesema waislamu muoane

Nimetafuta kwenye Quran hakuna sehemu Mungu amesema waislamu muoane

Mumeleta maandiko marefu sana bila kuweka andiko wapi Mungu anampa muislam amri ya kuoa!.

Nilipenda kuona hiyo amri, vigezo na masharti ya kuoa. Lakini maandiko yenu yote yame skip hitaji langu mama
Wewe DOCTOR TITO wacha kuvuruga watu humu jukwaani,

Umesema upewe ayaa umepewa,Sasa unahamisha magoli na kuleta hoja mfu.
 

Attachments

  • Screenshot_20250304-124613.png
    Screenshot_20250304-124613.png
    145.4 KB · Views: 1
Mumeleta maandiko marefu sana bila kuweka andiko wapi Mungu anampa muislam amri ya kuoa!.

Nilipenda kuona hiyo amri, vigezo na masharti ya kuoa. Lakini maandiko yenu yote yame skip hitaji langu mama
Amri = Lazima,

Muislamu halazimishwi kuoa, anoa kama ana uwezo wa kuoa
Kama unaweza kutokuzini maisha yako yote hadi kifo, fresh usioe
 
Na Allah Amekuumbieni wake katika jinsi yenu, na Akakujaalieni kutoka kwa wake zenu watoto na wajukuu (16: 72).

Na katika Ishara Zake ni kuwa Amekuumbieni wake zenu katika jinsi yenu ili mupate utulivu kwao, Naye Amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Bila shaka katika hayo zimo Ishara kwa watu wanaofikiri (30: 21).
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Sipo hapa kwa kubeza wala kukejeli nataka kupewa elimu kutoka kwa muislamu aliyesoma Quran tukufu ambayo ndio muongozo wa muislamu na usinilete hadithi kutoka muslim na tilmizu eti alimsikia mtume akisema hapana.

Nataka kwa mwenye andiko kutoka kwenye kitabu (Qur-an
  • wapi Mungu kasema tuoane
  • wapi Mungu kasema uoe wanawake wanne
  • wapi Mungu kasema ukioa mkigombana umpe taraka na watoto.
  • wapi Mungu kasema ukimkumbuka uende kwao ukamlejee.

Asanteni.
Wanaolewa wanawake wanne maana kila mmoja ana haki ya tendo na wanaume ni wachache na wengine ni wajane na wanauhitaji mkubwa sana wa tendo.
 
Back
Top Bottom