Nimetafuta kwenye Quran hakuna sehemu Mungu amesema waislamu muoane

Nimetafuta kwenye Quran hakuna sehemu Mungu amesema waislamu muoane

2:231 Qur’an

And when you divorce women and they have [nearly] fulfilled their term, either retain them according to acceptable terms or release them according to acceptable terms, and do not keep them, intending harm, to transgress [against them]. And whoever does that has certainly wronged himself. And do not take the verses of Allah in jest. And remember the favor of Allah upon you and what has been revealed to you of the Book and wisdom by which He instructs you. And fear Allah and know that Allah is Knowing of all things.
Usisahau kuwa tuna hadithi na sunnah au ulikuwa ujui
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Sipo hapa kwa kubeza wala kukejeli nataka kupewa elimu kutoka kwa muislamu aliyesoma Quran tukufu ambayo ndio muongozo wa muislamu na usinilete hadithi kutoka muslim na tilmizu eti alimsikia mtume akisema hapana.

Nataka kwa mwenye andiko kutoka kwenye kitabu (Qur-an
  • wapi Mungu kasema tuoane
  • wapi Mungu kasema uoe wanawake wanne
  • wapi Mungu kasema ukioa mkigombana umpe taraka na watoto.
  • wapi Mungu kasema ukimkumbuka uende kwao ukamlejee.

Asanteni.
Kweli wewe hujawahi kusoma Quran kabisa!
Maswali yako mengi majibu yake yapo kwenye suuratul Annisaa mwanzonimwanzoni ngoja nikipata nafasi nitakudadavulia!.
 
Kila kilichoelekezwa katika quran ni amri hamna siasa ukiambiwa , Simamisha swala nenda kasali kweli, ukiambiwa acha zinaa acha kweli, usipoacha umekufuru, ila yako mambo yaliyoelekezwa na kutolewa option ya pili mfano unaruhusiwa kuoa wake wanne ila kama huna uwezo oa mmoja na uwe muadilifu, kwenda kuhiji ni kwa yule mwenye uwezo usipokua na uwezo basi hamna namna kwahiyo hakuna negotiation ni maelekezo vipi muumini aishi.

Unasema haujaamrishwa kuoa sasa mwanaume uliekamilika unaweza vipi kuishi bila mke? Kama unaweza sawa ishi bila mke ila hakikisha haufanyi zinaa maana zinaa ni uchafu na ni katika dhambi zenye kuangamiza zilizokatazwa kwenye Quran

Jazakallah khairun akhi

Kama umesoma post yangu vizuri utagundua ulichofanya ni kujazia nyama , ndoa ni moja ya mambo haliyopewa machaguzi kwa waumini kutokana na sababu fulani fulani .

Mfano mwanaume mwenye matatizo ya nguvu za kiume na anajua kabisa hawezi kumridhisha mwenza wake huyu ndoa kwake ni mpaka pale atakapopona maana akioa fitna itakuwa kubwa zaidi , vivyo hivyo mwanaume khanithi haruhusiwi kuoa kabisa maana atashindwa kumtimizia huyo mwenza wake na kuleta fitna kubwa zaidi .

Kwa wanaume marijali basi wataoa pindi tu watakapokuwa na angalau uwezo wa kutunza mke/familia la! Basi wajizuilie kwa kufunga mpaka pale Allah (the almighty ) atakapowafanyia wepesi dalili ni hadithi hii hapa.

Hadith

حَدَّثَنَا يَحْيَى بْنُ يَحْيَى التَّمِيمِيُّ، وَأَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ وَمُحَمَّدُ بْنُ الْعَلاَءِ الْهَمْدَانِيُّ جَمِيعًا عَنْ أَبِي مُعَاوِيَةَ، - وَاللَّفْظُ لِيَحْيَى أَخْبَرَنَا أَبُو مُعَاوِيَةَ، - عَنِ الأَعْمَشِ، عَنْ إِبْرَاهِيمَ، عَنْ عَلْقَمَةَ، قَالَ كُنْتُ أَمْشِي مَعَ عَبْدِ اللَّهِ بِمِنًى فَلَقِيَهُ عُثْمَانُ فَقَامَ مَعَهُ يُحَدِّثُهُ فَقَالَ لَهُ عُثْمَانُ يَا أَبَا عَبْدِ الرَّحْمَنِ أَلاَ نُزَوِّجُكَ جَارِيَةً شَابَّةً لَعَلَّهَا تُذَكِّرُكَ بَعْضَ مَا مَضَى مِنْ زَمَانِكَ ‏.‏ قَالَ فَقَالَ عَبْدُ اللَّهِ لَئِنْ قُلْتَ ذَاكَ لَقَدْ قَالَ لَنَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏"‏ يَا مَعْشَرَ الشَّبَابِ مَنِ اسْتَطَاعَ مِنْكُمُ الْبَاءَةَ فَلْيَتَزَوَّجْ فَإِنَّهُ أَغَضُّ لِلْبَصَرِ وَأَحْصَنُ لِلْفَرْجِ وَمَنْ لَمْ يَسْتَطِعْ فَعَلَيْهِ بِالصَّوْمِ فَإِنَّهُ لَهُ وِجَاءٌ ‏"‏ ‏.‏

'Alqama reported:
While I was walking with 'Abdullah at Mina, 'Uthman happened to meet him. He stopped there and began to talk with him. Uthman said to him: Abu 'Abd al-Rahman, should we not marry you to a young girl who may recall to you some of the past of your bygone days; thereupon he said: If you say so, Allah's Messenger (ﷺ) said: 0 young men, those among you who can support a wife should marry, for it restrains eyes from casting (evil glances). and preserves one from immorality; but those who cannot should devote themselves to fasting for it is a means of controlling sexual desire.

Sahih

Sahih Muslim, 1400 a
In-Book Reference: Book 16, Hadith 1

Na Allah (the almighty ) anajua zaidi.
 
Kwa kiswahili na ni aya ipi
Suratul Annisaa aya ya 3
{ فَٱنكِحُواْ مَا طَابَ لَكُم مِّنَ ٱلنِّسَآءِ مَثۡنَىٰ وَثُلَٰثَ وَرُبَٰعَۖ فَإِنۡ
خِفۡتُمۡ أَلَّا تَعۡدِلُواْ فَوَٰحِدَةً أَوۡ مَا مَلَكَتۡ أَيۡمَٰنُكُمۡۚ ذَٰلِكَ أَدۡنَىٰٓ أَلَّا تَعُولُواْ }
basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea msikithirishe wana.
 
A. KUOANA /NDOA

1. Surah Ar-Rum (30:21)
2. Surah An-Nisa (4:1)
3. Surah Al-Baqarah (2:221)
4. Surah An-Nur (24:32)
5. Surah Al-Ma'idah (5:5)
6. Surah An-Nisa (4:19)
7. Surah Al-Baqarah (2:228)
8. Surah An-Nisa (4:34)
9. Surah Al-Baqarah (2:187)
10. Surah Al-Baqarah (2:231)
11. Surah At-Talaq (65:2-3)

B. KUOA WANAWAKE WANNE

1. Surah An-Nisa (4:3)

C. TALAKA

1. Surah Al-Baqarah (2:226-232)
2. Surah Al-Baqarah (2:236-237)
3. Surah Al-Baqarah (2:241-242)
4. Surah An-Nisa (4:19-21)
5. Surah An-Nisa (4:127-130)
6. Surah At-Talaq (65:1-7)

D. KUMREJEA MTALAKA

1. Surah Al-Baqarah (2:228)
2. Surah Al-Baqarah (2:229)


Unaweza kupitia hizo verses zipo very direct haihitaji maelezo meeengi
Maa shaa Allaah.
Naona waislamu wanajitahidi sana kukariri aya zinazohusiana na mambo ya ndoa na talaka.
Allaah atuwafikishe kuzifanyia kazi ili familia zetu ziwe katika mfumo ambao Allaah anauridhia!.
 
Back
Top Bottom