Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Inawezekana ni aina ya wanawake unaowataka wanafanania wa bongo movie. Nina dada yangu ana mtoto mmoja na ni kibonge mwepesi🙃
Kama kaka yake ningependa apate mchumba unasemaje hapo. Kaka lazima apate shemeji.
Ahahahahaha nimecheka ahahaha kweli jf kuna mabaharia sana ahahahaha
 
Tafuta mwanamke wa hadhi yako mkuu watakuja mpaka utawakimbia mwenyewe.

Alafu kumtongoza binti kwa kumuambia utamuoa haikufanyi uaminike kwa huyo mwana mke kwa sababu wakati ww una muambia hivyo wenda amesha ambiwa na wanaume wengi tu lakini mwisho wakamla na kumkimbia kwa hiyo na ww ukimuingia kwa gia hiyo anakuona ni wale wale.
 
Pole sana Mkuu. Fika Njombe utapata wabena wanzuri
 
Kama swaga zako ni za kujifanya unataka kuowa utasubiri sana.

Ndoa huwa inaanzia kwenye mahusiano kwanza chemistry zikikubali mtoto wa kike anakutambulisha kwao.

Ukitaka hao wa kuowa bila dating nenda makanisa ya walokole huko ndio kila siku wanaombewa kutafuta wachumba, muone Mchungaji umpe na fungu lake la kumi akuunganishe.
 
Wajumbe baadhi hawasikii katazo la kikao cha mwisho wajumbe kwa sauti moja tukiwa na kwikwi tulipiga kelele KATAAAA KATAAA KATAA NDOAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…