Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Mbona umri bado sana? Nilioa nikiwa na 40
Duh 40, mm nlioa na 29 aisee nlikua nimepanga nyumba nzima mke wangu alikuwa na 22 yrs siku moja akaja mgeni akatukuta mm na mke wangu tumekaa nje mida ya jioni tunapiga stor na mtoto wetu mta huo ana miaka 2 akatusalimia akauliza naomba mniitie baba mwenye nyumba, mke wangu akacheka kwanza then akasema huyu unayemwona ndo baba mwenye nyumba na mm ndo mama mwenye nyumba. Mzee yule hakuamini coz nyumba ilikuwa kubwa na sisi tunaonekana wadogo sana.
 
Tatizo ukiwatongoza unaenda Moja Kwa moja na mada ya kuonana, Kwa wanawake ambao bado wapo kwenye 20 - 30 ni ngumu sana kukubali sababu wengi bado wanakuwa unsettled.

Ushauri wangu tafuta mwanamke lakini usimwambie unataka ndoa direct , ukifika muda utaona tu yeye mwenyew ataonyesha dalili.

Bado muda upo usikate tamaa , kuwa bachelor is a lonely life hasa ukifika 40+.
Oya mi ninavyojua mtt wa kike ukimtangazia ndoa mapema anaelewa km amekulewa sema ndo unatakiwa ukae Kwenye huo mstar wa ndoa ila ukianza kuleta hbar za kutaka kuichakata mbususu kabla atahic ndoa ilikuwa gia tu
 
Mim ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
Tafuta mwanamke utakayeweza kuvumilia mazaifu yake na mwenye uwezo wakuvumilia mazaifu yako ,hakuna mkamilifu hata wewe una mazaifu kibao.

So kupitia ndoa mnakamilishana na kurebishana mazaifu yenu.Upweke ni mbaya kuliko ugonjwa wowote ule duniani,usikie tu kwa wenzio.

Hiyo situation sio peke yako wanaume wengi tunakutana nazo ila bado haujakata tamaa tunaamini tutapata.
 
Duh 40, mm nlioa na 29 aisee nlikua nimepanga nyumba nzima mke wangu alikuwa na 22 yrs siku moja akaja mgeni akatukuta mm na mke wangu tumekaa nje mida ya jioni tunapiga stor na mtoto wetu mta huo ana miaka 2 akatusalimia akauliza naomba mniitie baba mwenye nyumba, mke wangu akacheka kwanza then akasema huyu unayemwona ndo baba mwenye nyumba na mm ndo mama mwenye nyumba. Mzee yule hakuamini coz nyumba ilikuwa kubwa na sisi tunaonekana wadogo sana.
Mzee ulichukua kinda kabisa[emoji23] hongera sana kwakweli
 
Miaka 30 bado kinda kabisa. Akina hayati MENGI na MREMA Wameoa walioa tena uzeeni huko. Simple logic; "pesa" na "mipango". Wanawake wenye tamaa ya pesa watakuganda ukiwa na pesa hata uwe mshenzi kivipi. Angalia kwenye jamii yako, kuna wanaume ni washenzi na wanamiliki wake kadhaa. Lakini pia hata kama huna pesa, kuna wanawake hata hawana shida na pesa zako ila wanataka mwanaume mwenye mipango yenye matumaini. Ukiwa na mipango bora mwanamke yupo tayari kuwa nawewe hata nje mkiweka net na kulala kwenye mkeka tu...ila ahakikishiwe kesho yake!. Ama sivyo unahangaika na wasio na hulka ya kuolewa
 
Kama swaga zako ni za kujifanya unataka kuowa utasubiri sana.

Ndoa huwa inaanzia kwenye mahusiano kwanza chemistry zikikubali mtoto wa kike anakutambulisha kwao.

Ukitaka hao wa kuowa bila dating nenda makanisa ya walokole huko ndio kila siku wanaombewa kutafuta wachumba, muone Mchungaji umpe na fungu lake la kumi akuunganishe.
Dah [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom