Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Dah unakosaje wanawake mkuu ,nenda kwenye mikutano ya mwamposa Vizia wadada wa huko mikutanoni utimize miujiza yao mkuu.
Sio wote wana shida hiyo mkuuuu

Wanatema big G kwa karanga za kuonjeshwa
 
Yani wewe unaonekana una porojo Sana fanya chit chat za hapa na pale osha rungu kwao kwa Sana ndo itakuja tu wewe

Hao wanawake nimewala Sana Nina ambao wameshaolewa ninaweza wachukua muda wowote, ambao wanataka ndoa ninao watano , wanaotaka mtoto wako wanne,

Ila wewe unatafuta mmoja ,unaanza ongea mambo ya serious aliekwambia hawa ndugu zetu wanapenda ukweli Ni Nani, ?
Duuh bahati yako mkuuu
 
Mimi ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
Pole mkuu
 
Ugumu ni nini?
Mkuu kuna watu tunagundu kwenye suala zima la mapenzi aseee

Maana unaweza kuta mwanaume wa kawaida, dereva tax, lakini anagombaniwa na wanawake wa aina zote kimatabaka ya kiuchumi

Na pia unaweza kuta mwanaume mwingine hana mvuto au ana look average lakini kila mwanamke anamkimbia tu

We utasemaje sasa hapo

Hivi vitu ni changamoto kwa kweli kuna mwanangu kamuoa muhindi lakini alikuwa muuza flash buguruni saivi anasomeshwa UK na muhindi kamjaza mimba na alikuwa mtu wa kawaida kabisa


So sad 😔
 
Mkuu kuna watu tunagundu kwenye suala zima la mapenzi aseee

Maana unaweza kuta mwanaume wa kawaida, dereva tax, lakini anagombaniwa na wanawake wa aina zote kimatabaka ya kiuchumi

Na pia unaweza kuta mwanaume mwingine hana mvuto au ana look average lakini kila mwanamke anamkimbia tu

We utasemaje sasa hapo

Hivi vitu ni changamoto kwa kweli kuna mwanangu kamuoa muhindi lakini alikuwa muuza flash buguruni saivi anasomeshwa UK na muhindi kamjaza mimba na ni mtu wa kawaida kabisa


So sad 😔
Labda kuna tabia unazo zinawakimbiza wanawake.
 
Labda kuna tabia unazo zinawakimbiza wanawake.
Duuuh sidhani aseee watu wana nyota zao maana ukisema utangulize pesa utakutana na malaya tu upende, usipende

Na hapo nina mifano hai anyway acha tuamishie nguvu sehemu zingine tu sasa
 
Mimi ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
Wa kupoozea unapata lakini?

Duh.. halafu mbona unajihukumu mwenyewe...
👇👇
Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
Utapata bhana, wacha kujikatia tamaa
 
Hiki kitu watu wengi hawajui kuna tofauti ya sex na love, fedha inakupa gurantee ya sex na sio love
Malaya anakupa sex ila mke anakupa love
Kuwa makini mkuuu 👇👇👇👇👇👇

Screenshot_20230413-165847~2.png
 
Back
Top Bottom